radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Hakuna fisadi aliyechota 1.5 trillion. Kwenye report ya CAG hakuainisha:
1. Manunuzi ya ndege
2.Ujenzi wa majengo ya serikali unaoendelea Dodoma.
3. Ununuzi wa Rada
4. Ujenzi wa majengo ya Magereza na Magomeni Kota
5. Ununuzi wa vichwa vipya vya treni.
Nipesa ambayo haikuanishwa kwenye report ya CAG lakini îmetumika kwa masilai ya nchi.
CAG amesema pesa ilitumika katika maeneo mengine ya serikali.
Wapinzani wanatafuta pakushika.
Hizo takataka umezitoa wapi kama hawa walipewa siku 21 wameshindwa kuzichomeka?