Wakenya tuongeze kasi ya kupima yasije kutokea kama haya majirani ambapo wanatupi video za kutisha jameni

Wakenya tuongeze kasi ya kupima yasije kutokea kama haya majirani ambapo wanatupi video za kutisha jameni

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kuna hii video iko YouTube inaonyesha hali ya majirani zetu imekua mwendo wa kuondoa maiti kwenye manyumba, jameni naomba serikali yetu isitufikishe huku, pima pima pima, fuata kila mtu mtaani, hata kwa virungu ikitokea kuna mbishi yeyote, nimeogopa sana.

 
Kuna hii video iko YouTube inaonyesha hali ya majirani zetu imekua mwendo wa kuondoa maiti kwenye manyumba, jameni naomba serikali yetu isitufikishe huku, pima pima pima, fuata kila mtu mtaani, hata kwa virungu ikitokea kuna mbishi yeyote, nimeogopa sana.

hapo sio bongo bwaasheee
 
Inawezekana kweli sio Bongo, japo kwenye audio ukiskliza kuna mtu ainaita "brazaee", kiswahili cha mtaani.
Anyway naomba isiwe nchi yoyote jirani, iwe mbali sana maana itatuhusu pia.
sauti inaweza kuingiziwa na watu wahuni kama yule kigogo2014
 
Yaani we unaongeaga kama taahira eti "tunaomba serikali yetu isitufikishe huku"

Hivi we huwaga mzima kichwani?
 
Upumbavu tu
Leo ndio mara ya kwanza mtu kufia nyumbani duniani?

Au sababu ya hizo protective gears? Ni tahadhari na huenda kafa kwa pressure.

Wewe unafyatuka fyatuka nini haswa, inabidi nikupuuze tu, kuna siku ulifyatuka hivi hivi iliposemekana kuna waziri kajificha kwenye hospitali ya kawaida huku akiumwa Corona, ukatokwa povu sana humu ukikanusha, watu walipopiga kelele sana ndio waziri akaondoshwa kwa kasi na kupelekwa karantini.
Leo pia umeibuka huku ukifyatuka kama kawaida.
 
Wewe unafyatuka fyatuka nini haswa, inabidi nikupuuze tu, kuna siku ulifyatuka hivi hivi iliposemekana kuna waziri kajificha kwenye hospitali ya kawaida huku akiumwa Corona, ukatokwa povu sana humu ukikanusha, watu walipopiga kelele sana ndio waziri akaondoshwa kwa kasi na kupelekwa karantini.
Leo pia umeibuka huku ukifyatuka kama kawaida.
Serikali yenu imeshaua wagonjwa zaidi ya 10 wa Corona na wengine zaidi ya 10 kwenye matukio ya kipigo cha police na stampede chini ya uangalizi wa serikali yenu

Sasa sijui unasema serikali yenu isiwafikishe kwengine kupi pa ajabu ambapo hamjafika?
 
hapo sio bongo bwaasheee
Obviously inaweza kuwa ni Tanzania hapa ndo tuna huu ujinga wa kujikusanya mahali pamoja wengi kushangaa matukio ya hatari,ndo mwaka mmoja early 2000s wakati ule matukio ya wizi yamejaa kwenye jiji la Dar kukatokea sehemu majibizano ya risasi kati ya polisi na majambazi katikati ya mji cha ajabu watu wamejikusanya huku na huku wanaangalia.

Kwa mtu anayejua show ya hiki kitu kinaitwa Corona hawezi sogea hapo,na hivi wabongo hatuna kawaida ya kupima afya zetu basi mtihani kweli kweli.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Inawezekana kweli sio Bongo, japo kwenye audio ukiskliza kuna mtu ainaita "brazaee", kiswahili cha mtaani.
Anyway naomba isiwe nchi yoyote jirani, iwe mbali sana maana itatuhusu pia.
Mkuu hii ni bongo.Kuna mtu kasema nkurumah karibu na clock tower.Angalia plate number za magar ni ya Tz kabisa.Inatisha kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatamba na kupima utadhan vifaa mumenunua kumbe vya msaada ngoja viishe hivyo ndo tutaona kerere zako
Kuna hii video iko YouTube inaonyesha hali ya majirani zetu imekua mwendo wa kuondoa maiti kwenye manyumba, jameni naomba serikali yetu isitufikishe huku, pima pima pima, fuata kila mtu mtaani, hata kwa virungu ikitokea kuna mbishi yeyote, nimeogopa sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom