nyangau mkenya
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,056
- 1,296
things start to unveil and the reality starts to hit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Any link to that ecuador video? nimeitafuta sijaipataHii iko all over the internet, ni Guayaquil, Ecuador.
It can be DSM but not nkurumah street. Cars do not parallel to the road on NkurumahThis was nkurumah street, Dar es salaam
Hivi kwanini wakenya hamuwezagi kufuata mambo yenu?
Corona kills
Huyo huwaga sio mzima, wana wagonjwa mia ngapi sijui, vifo mob afu eti anaomba serikali yao isiwafikishe wapi sijuiYaani we unaongeaga kama taahira eti "tunaomba serikali yetu isitufikishe huku"
Hivi we huwaga mzima kichwani?
Hivi kwanini wakenya hamuwezagi kufuata mambo yenu?
Hivi kwa hali ilivyo worsen Kenya, mnapata wapi muda wa kuikalia kitako Tanzania?
hapo sio bongo bwaasheee
At least sisi tunafanya hapa jukwaani sababu ya leagues zetu humu jukwaani
Ndio Nimemuuliza hapo naona hajibu, ana matatatizo sana, Kenya imemegwa na Corona back and forth like a sandwich lakini nyani haoni kunduleHuyo huwaga sio mzima, wana wagonjwa mia ngapi sijui, vifo mob afu eti anaomba serikali yao isiwafikishe wapi sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Any link to that ecuador video? nimeitafuta sijaipata
nimeziona nyingi tu ila hii sijaiona ndio maana nikaomba link.Mkuu, nenda Google utaziona tena zaidi ya hii, it's been in the news weekend nzima.
Mkuu hii ni bongo.Kuna mtu kasema nkurumah karibu na clock tower.Angalia plate number za magar ni ya Tz kabisa.Inatisha kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hii video iko YouTube inaonyesha hali ya majirani zetu imekua mwendo wa kuondoa maiti kwenye manyumba, jameni naomba serikali yetu isitufikishe huku, pima pima pima, fuata kila mtu mtaani, hata kwa virungu ikitokea kuna mbishi yeyote, nimeogopa sana.