Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Ni bongo mkuuMkuu hii ni bongo.Kuna mtu kasema nkurumah karibu na clock tower.Angalia plate number za magar ni ya Tz kabisa.Inatisha kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bongo mkuuMkuu hii ni bongo.Kuna mtu kasema nkurumah karibu na clock tower.Angalia plate number za magar ni ya Tz kabisa.Inatisha kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
sauti inaweza kuingiziwa na watu wahuni kama yule kigogo2014
Baada ya kufuatilia kwa kina nimejiridhisha kwamba hiyo video ni ya BongoKwanza hiyo sauti Kwenye video hii au anayo yeye nyengine maana mimi nimesikilizs mwanzo mwisho hamna sauti yeyote inayoeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtizamo mufu huo.Kuna hii video iko YouTube inaonyesha hali ya majirani zetu imekua mwendo wa kuondoa maiti kwenye manyumba, jameni naomba serikali yetu isitufikishe huku, pima pima pima, fuata kila mtu mtaani, hata kwa virungu ikitokea kuna mbishi yeyote, nimeogopa sana.
Mkuu hii ni bongo.Kuna mtu kasema nkurumah karibu na clock tower.Angalia plate number za magar ni ya Tz kabisa.Inatisha kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watu wanazungumza kiswahili cha bongo bwasheehapo sio bongo bwaasheee
Wacha kiburi brazaWhatever, kwani Tanzania ndio nchi ya kwanza mgonjwa wa Corona kufa?
If you look closely there is a police officer on the scene whose uniform resembles that of Tanzania police.Mkuu hii ni bongo.Kuna mtu kasema nkurumah karibu na clock tower.Angalia plate number za magar ni ya Tz kabisa.Inatisha kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukimuangalia vizuri huyo polisi ni kama sale za polisi wa hapa bongoObviously inaweza kuwa ni Tanzania hapa ndo tuna huu ujinga wa kujikusanya mahali pamoja wengi kushangaa matukio ya hatari,ndo mwaka mmoja early 2000s wakati ule matukio ya wizi yamejaa kwenye jiji la Dar kukatokea sehemu majibizano ya risasi kati ya polisi na majambazi katikati ya mji cha ajabu watu wamejikusanya huku na huku wanaangalia.
Kwa mtu anayejua show ya hiki kitu kinaitwa Corona hawezi sogea hapo,na hivi wabongo hatuna kawaida ya kupima afya zetu basi mtihani kweli kweli.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Bongo hapo mkuu.Inawezekana kweli sio Bongo, japo kwenye audio ukiskliza kuna mtu ainaita "brazaee", kiswahili cha mtaani.
Anyway naomba isiwe nchi yoyote jirani, iwe mbali sana maana itatuhusu pia.
Kuna hii video iko YouTube inaonyesha hali ya majirani zetu imekua mwendo wa kuondoa maiti kwenye manyumba, jameni naomba serikali yetu isitufikishe huku, pima pima pima, fuata kila mtu mtaani, hata kwa virungu ikitokea kuna mbishi yeyote, nimeogopa sana.
Mpelekeni akapate kikombe cha babu. Labda ndicho alikua anafuata, atakua mpumbavu sana huyo, aonyeshwe video ya kwenye huu uzi aone hali ya huko anakokimbilia.Vipi yule mkenya mliyekuja mkaacha na kumkimbia huku TZ eti kwa sababu ana corona mnakuja kumchukua lini?
Yaani hutaki arudi kwenu ndugu yenu?Mpelekeni akapate kikombe cha babu. Labda ndicho alikua anafuata, atakua mpumbavu sana huyo, aonyeshwe video ya kwenye huu uzi aone hali ya huko anakokimbilia.