pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
- Thread starter
-
- #21
Vetting ni process na kikatiba nchini KenyaAcha kuongea vitu ambavyo huvielewi.
Eti usaili ndiyo vetting.
Bure kabisa wewe. Enda kule kaongee na wenzako kule gologocho.
Katika yao hata miaka 3 haijaisha, hao mbio, wanaanza kuibadilisha. Maajabu ya Kenya, hayatawahi kuisha.
Kwa akili yako unahisi hajui kusoma? Mtu mwenye masters of finance na DED wa Council kwa zaidi ya miaka mi5 ashindwe kusoma?I thought English was the problem. Kumbe ata huko Bongo Kiswahili ni shida tupu!!!! π³ π³ And here i am thinking my swahili is substandard π‘π‘
Hahahaha eti vetting ππππVetting ni process na kikatiba nchini Kenya
huwa inajumuisha vitu kadhaa ikiwemo uhakiki usaili ndio huwa hatua ya mwisho kabla ya kuapisha. Alafu vipi jombaa, imekuwaje wewe unayejiita mwalimu ukashindwa kuhesabu kwamba 2010-2020 ni zaidi ya miaka mitatu? Siungetumia vidole au hata vijiti? [emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1] Ulidhani nawasingizia? Ulitegemea mtu kama eliakeem aweze kuhesabu kutoka 1 hadi kumi? Wakati mbunge tena aliyeteuliwa kuwa naibu waziri anashindwa kukariri tu kiapo, achia mbali kusoma? πKatiba ya 2010 ndio bado haijamaliza miaka 3? Mleta mada alikuwa sahihi aliposema kuwa education system yenu ni mbovu. Hata kuhesabu 1 mpaka 10 imekushinda.
Mbona ndio hao hao kila siku wsnapatikana na scandals za rushwa na matumizi mabovu ya pesa za serikali, kushindwa kusoma kiapo na kutumia mabilioni ya pesa za umma kipi ni tatizo?.Mataga nawahurumia sana, naona mlitagishwa mayai hadi mkawehuka. Eti kwamba hamna uhusiano wowote kati ya aibu hizi na ukosefu wa usaili wa walioteuliwa kabla ya kuapishwa au kukubaliwa kuanza kazi? Mnajua maana ya vetting(usaili) nyie? Usaili kama unaofanywa nchini Kenya huwa unazingatia mambo mengi kando na kiwango cha elimu. 'Confidence', 'leadership skills', 'communication skills', historia ya wateuliwa huwa vinazingatiwa. Hadi na vyeti vya walioteuliwa huwa vinafanyiwa 'authentification'.
Wacha ujinga wewe, unajua ugonjwa wa anxiety disorder una yotokea, amehojiwa na kujibu kwamba alipofika mbele ya rais alipoteza total control ya kila kitu, sasa hiyo aibu inatoka wapi wakati ni ugonjwa kama "blood pressure", Kifafa na magonjwa mengine?, tatizo elimu yenu katika haya mambo ni ndogo sana[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahivyo amerogwa? [emoji1] Wabongo buana, mwenzako amesema ni anxiety disorder. Sijui kama ana diagnosis kutoka kwa daktari? Ndio point yangu hiyo, hayo masuala yote yangeanikwa wazi kabla ya kufikia hatua ya jamaa kuinua bibilia juu na kuleta aibu za ajabu ajabu. Ndio njia pekee ya kuzuia rais kuwateua watu kiholela holela, hata wale wasiofaa, kisa eti ni ma'yes men' au kwa sababu zake binafsi. Tumekubaliana kufikia hapo?
Master in Finance with four years experience as District Executive Director, many other experiences in politics[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Illetracy ya huyo mtu ndio sababu ya yeye kushindwa kusoma.
Eti vetting kwenye tovuti? [emoji1] Ebu jifunze kwanza, ndio ujue vetting ni nini na huwa inafanyajwe kabla ya kuendelea kujiaibisha. https://nation.africa/kenya/videos/news/live-vetting-of-cs-nominees-getHahahaha eti vetting Kwa hiyo kwenye katiba yenu ndipo palipovunbuliwa suala la vetting ulimwenguni? Yaani issue ya vetting nayo ni kitu cha kuandika kwenye katiba? Mbona sasa katiba yenu itakuwa na utopolo mwingi mno kiasi kwamba litakua ni lijikitibu likubwa sana Tanzania mambo ya vetting ni kanuni sio katiba na, katiba ipo wazi kwenye uteuzi wa mawaziri Rais hushauriwa na makamu wake, waziri mkuu, katibu kiongozi na maafisa wengine kabla ya uteuzi Kwenye vetting ndio usiongee kabisa sababu bunge tu huwa linafanya hiyo shughuli kwa kila mbunge hata kabla ya kuapishwa, ninyi mna vetting au mnaangalia tu kabila? Zama kwenye wavuti wa bunge na wewe ujifanyie vetting Huyo mbunge ana elimu kumzidi Rais wenu
View attachment 1647270
Ndio maana education system yenu iko ranked low[emoji23][emoji23], how can a person with a master degree ashindwe kusoma? Ama alinunua certificates?[emoji23][emoji23][emoji23]Master in Finance with four years experience as District Executive Director, many other experiences in politics[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vetting ni process na kikatiba nchini Kenya
huwa inajumuisha vitu kadhaa ikiwemo uhakiki usaili ndio huwa hatua ya mwisho kabla ya kuapisha. Alafu vipi jombaa, imekuwaje wewe unayejiita mwalimu ukashindwa kuhesabu kwamba 2010-2020 ni zaidi ya miaka mitatu? Siungetumia vidole au hata vijiti? [emoji1]
Vetting ni Pamoja na CV mzee, punguza ukichwa panzi, Hahahaha eti Kenya ndio ya kumfundisha Magufuli vetting, Magufuli hateui mtu kifala, sikiliza comments zake baada ya kuapisha kiongozi yeyote usikie jinsi huwa anawachambua mpaka mara ya mwisho wao wa kula pilau π π πEti vetting kwenye tovuti? [emoji1] Ebu jifunze kwanza, ndio ujue vetting ni nini na huwa inafanyajwe kabla ya kuendelea kujiaibisha. https://nation.africa/kenya/videos/news/live-vetting-of-cs-nominees-get
Wacha kuamini mambo za kishetani na mapepoWw jamaa uyo ameshindwa kuapa inasemekana kuna issue za mambo ya giza sana uko lindi wamempika sasa serikali haiwezi kumngoja kisa eti aliteuliwa tu,na vp akishindwa kusign mikataba na mambo mengine
Hahaha gologocho ndio wapi? Ama unamaanisha Korogocho?Acha kuongea vitu ambavyo huvielewi.
Eti usaili ndiyo vetting.
Bure kabisa wewe. Enda kule kaongee na wenzako kule gologocho.
Hahaha gologocho ndio wapi? Ama unamaanisha Korogocho?
Certificate pengine sio original maana nadhani huyo mtu alienda shuleni kunywa uji tu ila hakutilia maanani masomo. Hapa kenya hata mtu wa form four anachapa kingereza hadi mtu anahisi kutoroka. The level of education ya Kenya haiwezi kulinganishwa na education ya kuku ya Malazy wa south.Ndio maana education system yenu iko ranked low[emoji23][emoji23], how can a person with a master degree ashindwe kusoma? Ama alinunua certificates?[emoji23][emoji23][emoji23]