Wakenya tushukuru Mungu kwa demokrasia yetu, watani wetu wamebanwa hadi wanalia toshaaa, wanakiri kwamba nchi yao sasa imekuwa 'Police State'

Watanzania sijui tuna matatizo gani, kwahiyo hapa ndio umejibu hoja ya mleta mada. Kwa hali hii tutaendelea kuwa mikia miaka nenda rudi
Achana na hawa wakenya. Watatukoma aisee! Wanamtamani sana rais wetu. Uhulu Kenyatta na laila wameshindwa na nchi ndio wanakuja kujiriwaza hapa kwa folums zetu. Bule kabisa hii mikenya.
 
ni upumbavu wa watu wachache tu wanaojiita wapinzani
 
Nini JPM kaficha? Utawalawa wake ni wa uwazi sana, kila siku ana watumbua mawaziri, wakuu wa polisi nkt tena hadharani...Juzi tu kenyatta kaongea kuhusu mafisadi kwa ubabe....ilibidi afute accout zake zote za social media
Inaonekana huyu Kenyatta ni kipenzi cha watu. Rais wa afrika. Unampenda sana na ndio maana namuona kwa hiyo avatar yako akinywa kahawa moto.
 
Huelewi kabisa demokrasia ni nini wakati ipo wazi kabisa kwenye katiba yenu. Au mfalme mtakatifu alishaandika katiba yake mpya na bado hatujajua?
 
Hapo ulipotaja cha Arusha ndio sasa umetia ukakasi. [emoji1] Ila freshi tu, nimekuelewa. Umoja wa taifa la Kenya kisiasa ndio itakuwa legacy kuu ya rais Uhuru Muigai Kenyatta, hilo nalo sio siri.
 
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]...waah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huelewi kabisa demokrasia ni nini wakati ipo wazi kabisa kwenye katiba yenu. Au mfalme mtakatifu alishaandika katiba yake mpya na bado hatujajua?
Hata katiba yenu imeainisha yote hayo lakini bado wanasiasa na wananchi wanazivunja bila kufikishwa mahakamani. Demokrasia kwa Waafrika ni foreign na it will always be foreign hadi vizazi kama viwili vipote.
 
Hata katiba yenu imeainisha yote hayo lakini bado wanasiasa na wananchi wanazivunja bila kufikishwa mahakamani. Demokrasia kwa Waafrika ni foreign na it will always be foreign hadi vizazi kama viwili vipote.
Mihimili yote mitatu Kenya ina uhuru wa kutimiza majukumu yao bila uoga au kushawishiwa. Mahakama zina hadhi na zinaheshimika. Bunge haliendeshwi kwa maagizo kutoka juu. Rais na serikali yake hawawezi wakadhubutu kuteua mazero brain kwasababu waloteuliwa wote lazima wafanyiwe usaili kwanza na wakubaliwe na kamati husika za bunge zote mbili. Raia nao wana uhuru wa kuwasilisha kesi bungeni, za kupinga uteuzi wowote wa rais au maamuzi yeyote ya bunge. Haya yote yanafanywa bila uoga wa kufatafatwa wala kutishiwa na yeyote yule hata awe rais au naibu wake. Bado hatujafikia malengo yetu kama taifa ila safari zote huanza kwa hatua moja. Tutafika tu, Inshaalah.
 
haya wakenya nyingine hii hapa,imagine hapo kenya jubilee ilazimishe primary school students kwenda kusafisha office zake then mtu wa ODM akataze mwanaye halafu district commisoner anaamrisha police wamkamate,hiyo ndiyo NEW TANZANIA najua hamuamini ila ni disaster kwa kifupi tumekatika tumegawanyika kama nchi kuna watoto wapendwa yaani ccm na step kids yaani opposition, ni mateso makubwa tribulation ndugu zetu ,kenya mnayo matatizo yenu tunajua ila sisi tunapoeleka itakuwa the worst tunaongozwa na kichaa a.k,a jiwe,hawezi kushindana hawezi ku argue,ni muoga wa challenges anapenda kusifiwa tu hadi hesabu za serikali anaficha hamtaki CAG sababu anafichua madudu,so far 1 billion dollars hazijulikani zimetumikaje
 
Eti kuosha ofisi za CCM? Kwani kuna sheria ambayo inawalazimisha watu kukubali kuosha ofisi za CCM?
 
Hapo ulipotaja cha Arusha ndio sasa umetia ukakasi. [emoji1] Ila freshi tu, nimekuelewa. Umoja wa taifa la Kenya kisiasa ndio itakuwa legacy kuu ya rais Uhuru Muigai Kenyatta, hilo nalo sio siri.
Cha arusha ndio talk of the world! Au hukusikia ya home boy Obama? Au yab boss wa Tesla?

We support our brethren "Burning spear"
 
Hao walioandika ni tatizo la njaa ndo linawasumbua. Wameandika andiko, ili wapate hela lazima waandike hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…