Wakenya tushukuru Mungu kwa demokrasia yetu, watani wetu wamebanwa hadi wanalia toshaaa, wanakiri kwamba nchi yao sasa imekuwa 'Police State'

ni kweli kabisa Tanzania inapitia wakati mgumu sana katika historia ya taifa lefu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha this one is ludicrous .LOL..
Mtoto wa Wyatt Mathewson aliona cha mtema kuni πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Umesoma uzi? Umeelewa??

Usini quote kama huwezi kusoma na kuelewa. Elewa kwanza, jenga hoja, jikite wenye mada.
Dude, de other guy asked, JPM ameficha nini? Ukamwambia watu kama yeye ni wajinga ndio wametufikisha hapa, nikakuuliza hapo wapi, ukaanza singizia soma uzi.
Kama JPM kaficha, ungeona wapi hizi reports za CAG? Na unajuaje wewe sio ze mjinga one.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabsaaaa
 
Bull shit post

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…