Wakenya waandamana Nairobi kumpinga Trump, washambuliwa mitandaoni kwa kuingilia yasiyowahusu

Wakenya waandamana Nairobi kumpinga Trump, washambuliwa mitandaoni kwa kuingilia yasiyowahusu

Mimi sioni shida hapo. Hayo maandamano si yamefanyika miji mingi duniani? Naona hao watu wanaowatukana wanawake wa Kenya hawajui sana dhumuni ya hayo maandamano.
 
Ohhh, nakuonea huruma sana, watanzania kwa democrasia bado mko nyuma sana...

You really don't know kenya and Kenyans do you??? mwanzo uanfaa uelewe umuhimu wa maandamano.

1) Maandamanosana sana huanzishwa na watu, its a people led movement, wananchi wako na haki ya kuandamana kwa lolote lile, bora waambie polisi, kwahivyo hapa ukiona wakenya wenye fikiria sawa wanakusanyika ukue unaelewa, Yafanyikayo marekani yanatuhusu, nafikiri nimeshaeleza, hatuwezi kumlazimisha trump kufanya lolote, lakini kwa democrasia, maandamano hutumika kushawishi au kujulisha kwamba hizo ndo fikra zetu, na tuna haki na yhuru wakuambia rais wa warekani fikra na maoni yetu... hatujamlazimisha trump ayaskie, sis tunamjulisha regardless..

2) Maandamano hufanywa na wananchi, pale serikali zao au zengine hazijachukua hatua, yani hua ni kama last resort kiaina. maandamano hutumika ku pressure serikali au kampuni..etc... Utapata wakenya wengi wanaongelea gambia itandaoni lakini maandamano hayakufanyika kwasababu ECOWAS na AU ilichukua hatua mbio mbio, bado mediation inaendelea na tayari yule ex-prez ametishiwa kuondolewa kivita akikataa kung'atuka.... hakuna haja ya maaandamano kama pressure tayari iko....


Wakenya huandamana kusema maoni yao kwa mambo mengi sana, kutokea Edgypt uprising, Tunisia, Palestine, syria... DRC, and ofcourse Burundi.... this are people led protest or vigils to champion for human rights across Africa and the world, kwahivyo usifikiri this is our first rodio...

Hizi hapa za burundi..... ukitaka naeza nikakuletea zengina za palestine,egypt..etc zilizofanywa hapa kenya..

Tafuta [HASHTAG]#WhiteFriday4Burundi[/HASHTAG] kwa twitter, utaona picha zaidi za wakenya wakiandamana for burundi

Maandamano pamoja na night vigil ilifanyika kuanzia saa sita mchana hadi saa sita usiku ndani ya nairobi
View attachment 462617
View attachment 462602 View attachment 462603 View attachment 462605 View attachment 462607 View attachment 462608




REGIONAL PERSPECTIVES: Kenyans protest against violence in Burundi – [HASHTAG]#WhiteFriday4Burundi[/HASHTAG] – Ominde's Words

Even as the AU announced that it will not allow “another genocide” with strong indications that a peace keeping force will be sent to quell the violence in Burundi, Kenyans took to the streets to protest against the “state sponsored” currently being witnessed in Burundi.

White Friday

Rallying each other on social networks such as Facebook and Twitter using the the hashtag [HASHTAG]#WhiteFriday4Burundi[/HASHTAG], a group of young Kenyans walked from the iconic Tom Moboya statute in the heart of Nairobi to the Burundian High Commission.
Nyie mngekua mbele kidemocrasia mngekua mnabaguana kwa kabila zenu?
 
Watanzania mbona mambo ya Kenya yanawahusu? The demonstrations were done majorly by US citizens living in Kenya and it was a similar case in all major cities of the world (Lagos, Accra, Jo'burg, London, Tokyo etc).
Huo ni ushenzi wa CNN na BBC ambao hawamtaki Trump. Sera zenu mbovu za mambo ya kimataifa. Huwezi ukaanzisha mambo ya siasa za nchi tofauti ndani ya nchi nyingine.

Ni ujinga kuanza kufuata mkumbo kwa mambo ambayo ni ya kisiasa ya marekani. Hovyo kabisa.
 
Wananchi Tanzania wamelala sana, wao hungojea serikali iwaambie ni wapi wacheke na ni wapi walie.. manngojea serikali
Huo ni upungufu wa akili na ujinga. Kuandamana ndio democrasia!!? Kuandamana kwaajili ya marekani ndio demokrasia!!!?
Huu ni ushenzi wa wachache Africa wanaotumiwa na wazungu.

Angalia hapa. Tangu uhuru tupo na presidents 5.
Nyie mpo na 4.
Kati ya TZ na kenya ipi ya kidemokrasia?
Nyie kwenye uchaguzi mpaka mchinjane Gikuyu na luo. Huo ni ujinga.
Mko na marais watano wanapishana ndani ya CCM, hio ndo democrasia? he! SMH... inasikitisha sana you cant comprehend thesignificance of people led movements in bringing service and accountability in a democracy....alafu you want to claim to be democratic? CCM iliwafanya nini jameni, sisi tuaongalia kutoka nje tunaona vile mko.... ndio maaana hata mmekua degraded to the same level na DRC

Capture.PNG
 
Wananchi Tanzania wamelala sana, wao hungojea serikali iwaambie ni wapi wacheke na ni wapi walie.. manngojea serikali

Mko na marais watano wanapishana ndani ya CCM, hio ndo democrasia? he! SMH... inasikitisha sana you cant comprehend thesignificance of people led movements in bringing service and accountability in a democracy....alafu you want to claim to be democratic? CCM iliwafanya nini jameni, sisi tuaongalia kutoka nje tunaona vile mko.... ndio maaana hata mmekua degraded to the same level na DRC

View attachment 462636
Kwahiyo nyie mpo macho hamjalala
Kwa kuandamana hamumtaki Trump!!
Mlimpigia kura!!

Uzezeta uliwateka akili ninyi
 
Kwahiyo nyie mpo macho hamjalala
Kwa kuandamana hamumtaki Trump!!
Mlimpigia kura!!

Uzezeta uliwateka akili ninyi
mara nyengine msome kabla kufungua mdomo bana..... Maandamano si kwamba hatumtaki trump awe rais, kama ingekua ni hivyo tungeandamana pindi aliposhinda kura na kabla ya kuapishwa rasmi...... Sisi tunaandamana baada ya trump kuapishwa rasmi kama rais wa taifa lenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani, kupinga sera zake haswa kwa mambo ya haki za wanawake , mazingira, ubaguzi wa watu weusi,.... haya maandamano ni kumpressure au kushawishi asifanye matendoambayo ambayo yanaenda kichume progress ya humanity
 
Wananchi Tanzania wamelala sana, wao hungojea serikali iwaambie ni wapi wacheke na ni wapi walie.. manngojea serikali

Mko na marais watano wanapishana ndani ya CCM, hio ndo democrasia? he! SMH... inasikitisha sana you cant comprehend thesignificance of people led movements in bringing service and accountability in a democracy....alafu you want to claim to be democratic? CCM iliwafanya nini jameni, sisi tuaongalia kutoka nje tunaona vile mko.... ndio maaana hata mmekua degraded to the same level na DRC

View attachment 462636
Nyie issue za uhuru wa kidemokrasia ndio mmenaza miaka 2000s. Na mmechinjana kama kuku. Upuuzi huo huwezi kuusikia TZ. Halafu mnajifanya mpo na democrasia wakati mnaongozwa na familia moja tu.

Nchi inaongozwa na wale wale. Ukoo uleule tangu uhuru. Kwikwikwi. Hivi nchi yenu ni monarch? Wanarithishana wa ukoo uleule.

Ndio mnasema demokrasia hiyo!!?. Wakati hamna uhuru kwenye utawala wa juu. Ni koo zile zile za kina Kenyatta na Oginga Odinga.

Hebu acha kutufanya tuchefuke hapa. Au unataka tuelezee yote!?. Badilisheni nchi yenu ijulikane kama ni monarch.
 
mara nyengine msome kabla kufungua mdomo bana..... Maandamano si kwamba hatumtaki trump awe rais, kama ingekua ni hivyo tungeandamana pindi aliposhinda kura na kabla ya kuapishwa rasmi...... Sisi tunaandamana baada ya trump kuapishwa rasmi kama rais wa taifa lenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani, kupinga sera zake haswa kwa mambo ya haki za wanawake , mazingira, ubaguzi wa watu weusi,.... haya maandamano ni kumpressure au kushawishi asifanye matendoambayo ambayo yanaenda kichume progress ya humanity
Kwanini hamkuandamana pale Obama na Cameroon walipotaka ushoga. Kwahiyo issue za ushoga kwenu ni shega tu? Hebu acha kujitoa ufahamu bana.
 
mara nyengine msome kabla kufungua mdomo bana..... Maandamano si kwamba hatumtaki trump awe rais, kama ingekua ni hivyo tungeandamana pindi aliposhinda kura na kabla ya kuapishwa rasmi...... Sisi tunaandamana baada ya trump kuapishwa rasmi kama rais wa taifa lenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani, kupinga sera zake haswa kwa mambo ya haki za wanawake , mazingira, ubaguzi wa watu weusi,.... haya maandamano ni kumpressure au kushawishi asifanye matendoambayo ambayo yanaenda kichume progress ya humanity
Uzuri nikuwa
Wakenya tabia ya kujikweza ni ya asili
Hivyo najua hamuwezi badilika ninyi
 
Kwanini hamkuandamana pale Obama na Cameroon walipotaka ushoga. Kwahiyo issue za ushoga kwenu ni shega tu? Hebu acha kujitoa ufahamu bana.
Uta tafuta kila aina ya kijisababu Na utapata jibu lake
wp_ss_20170122_0001.png
imagesq=tbnANd9GcRCGeOdLAHFQkjBUDjc7Qqi3Y09FaMCfgjAj-y6vjEER7CrglHw7Q.jpg
wp_ss_20170122_0002.png
imagesq=tbnANd9GcTixgisytHgZG_0n4fIZrx5EK0GmTzGC1tgEVlnPVvZ0B798XpyBg.jpg


Haya Rudi kwa Meza ufikirie kitu chengine ambacho wafikiri wakenya walikua Na opinion lakini hawaku express their opinions
 
Ama kweli waTz ni wapumbavu wa kutupwa.........hayo madawa ya Virusi vya Ukimwi pamoja na maneti na missada mingi tu mnayoyapata toka Marekani yakikatwa ndio mtaona kweli Trump ni wa maana, mbona huwa hamna vision?
Leo hii hizo pesa na miradi ya MILLENIUM DEVELPMENT GOALS MMEZIPOKEA, SCOLARSHIPS,CDC/DISEASE ERADICATIN,MALARIA NETS,CLIMATE FUNDS etc hazijawasaidia, ilhali nyinyi ndio mnaoongoza kwa kupokea misaada lukuki?, hamuoni yote hayo?
Hivi leo KKK wakiitwa Marekani na jinsi walivyo wakaanza kuwaua jamaa zenu walioko kule na kuwatimua mtakenua meno?
Ni nini kimewasibu hadi mu wapumbavu kwa kiasi hiki?
Haki zenu leo zikianza kukiukwa kuanzia Zanzibar hadi hapo Tanganyika ni nani atakuja kuwaokoa?..Mchina ama Muarabu?
Si ndugu zenu wataanza kukimbilia mataifa huru yenye kuzilinda haki za binadamu?
Leo miji mikubwa zaidi ya 370 mataifa makubwa na tajiri ulimwenguni yanaandamana, nyinyi mnafikiri ndiyo werevu sana,wajuvi wakubwa na wenye akili zaidi eeh?

The least you Tzs could do is shut your illiterate mouths, hamjui lolote lile....bado mpo mpo.
Don't you think u know everything...wadvr u re protesting er has no impact to trump..trump gives no flynfk bout u...yes we maybe needy and poor but we re not stupid,our silence has never been our weakness,you as a poor African country re no better than any of us..and u shud learn wat role to play..but not protesting,that's embarrassing and hilarious.U guys better channel that energy to build ur own nation till wen ur say n ur protest in the worldissues matter..
 
Don't you think u know everything...wadvr u re protesting er has no impact to trump..trump gives no flynfk bout u...yes we maybe needy and poor but we re not stupid,our silence has never been our weakness,you as a poor African country re no better than any of us..and u shud learn wat role to play..but not protesting,that's embarrassing and hilarious.U guys better channel that energy to build ur own nation till wen ur say n ur protest in the worldissues matter..
So your advice is if you have an opinion you should always keep it to yourself especially if you think the one you are telling won't listen, you should just shut up and not protest the actions or potential actions of someone whose consiquences will have an effect on you too?
Man, what a nation of cowards, eti embarrassing, in this world of today, never apologies for having an opinion, and never be embarrassed to speak up no matter how big or small the reciever of the messege is, we have protested, we have said our peace, and in case you woke up today, in each country, their are these things called embassies that pass the message from the country that they are located back to HQ, trump himself might not even here about it, but his secretary of state will know about it, and he as the man/woman incharge is responsible for advising the president on matters foreign affairs, and who knows, right before trump makes a decision his advisers might just persuade him otherwise, based on this one protest of Kenyans expressing their views
 
So your advice is if you have an opinion you should always keep it to yourself especially if you think the one you are telling won't listen, you should just shut up and not protest the actions or potential actions of someone whose consiquences will have an effect on you too?
Man, what a nation of cowards, eti embarrassing, in this world of today, never apologies for having an opinion, and never be embarrassed to speak up no matter how big or small the reciever of the messege is, we have protested, we have said our peace, and in case you woke up today, in each country, their are these things called embassies that pass the message from the country that they are located back to HQ, trump himself might not even here about it, but his secretary of state will know about it, and he as the man/woman incharge is responsible for advising the president on matters foreign affairs, and who knows, right before trump makes a decision his advisers might just persuade him otherwise, based on this one protest of Kenyans expressing their views
Nimesema nyie wakenya ni mapimbi sana. USA inafanya kwa maslahi ya USA.
Do your own business. Why don't you protest for your monarch country in the umbrella of democracy.

Wewe nchi yenu inaongozwa na Koo za familia zile zile. Watu wanakufa njaa, Wananchi wa kenya hawana ardhi, doctors wanagoma kufanya kazi, corruption imeshika hatamu, Al shabab wanaua wakenya kila kukicha.

Kwanini msisimame na ku protest kuhusu hayo yanayo wahusu.

Mtashikiwa akili zenu na wazungu mpaka lini. Mnatuaibisha Africa. Ya USA waachieni wao.
 
Sasa hapa ndio unafanya nini? Katiba yenu inaruhusu ushoga. Na kuna shirikisho la mashoga kenya. Ndio maana tunasema nyie ni wanafiki sana
Kenya: Allow Rights Groups to Register
Katiba hairuhusu ushoga, lakini poa ili kulinda Uhuru wa wananchi, haikatazi mkenya yoyote kuunda organization ... Haimanishi hai wako kwa hio organization Ni mashoga, at least not under the law...
Maana ukipatia serikali ruhusa Na Uhuru wa kufunga organizations sababu Tu hawazitaki basi utakuta kesho wanazima stesheni ya radio, Mara ya gazeti Kama vile inavyofanyika Tz
 
Back
Top Bottom