Wakenya waandamana Nairobi kumpinga Trump, washambuliwa mitandaoni kwa kuingilia yasiyowahusu

Wakenya waandamana Nairobi kumpinga Trump, washambuliwa mitandaoni kwa kuingilia yasiyowahusu

Andamaneni kukaliwa na CHAMA KIMOJA MIAKA NENDA RUDI
Andamaneni UMASIKINI WA KUTUPWA ILHALI MNA MALIASILI ZA KUTISHA MIAKA 100 SASA
Andamaneni MMEKOSA UHURU WA HABARI,TAARIFA N.K
Andamaneni HAKI ZENYU ZA KIBINADAMU KUKIUKWA MIAKA 55 SASA, WANAWAKE KWA WATOTO PAMOJA NA VIJANA.
Andamaneni UKOSEFU WA ELIMU BORA MATOPENI HUMO
Andamaneni KUULIWA ALBINO/ZERUZERU KILA KUKICHA HUMO TANGANYKA
Andamaneni UKOSEFU WA AFYA HUMO
Andamaneni UCHUMI MBOVU TANGU JADI....MIAKA 100
Andamaneni UPUMBAVU KUONGEZEKA NA KUKITHIRI Tz
Andamaneni.......................................................................................
Nyie kubalini mmekosea kuandamana mambo yasiyo wahusu, yaani ni sawa na mimi nile pilipili halafu uwashwe wewe ambaye hauli hiyo pilipili.... rais wa marekani anawahusu nini nyie marafiki zetu?
 
Andamaneni kukaliwa na CHAMA KIMOJA MIAKA NENDA RUDI
Andamaneni UMASIKINI WA KUTUPWA ILHALI MNA MALIASILI ZA KUTISHA MIAKA 100 SASA
Andamaneni MMEKOSA UHURU WA HABARI,TAARIFA N.K
Andamaneni HAKI ZENYU ZA KIBINADAMU KUKIUKWA MIAKA 55 SASA, WANAWAKE KWA WATOTO PAMOJA NA VIJANA.
Andamaneni UKOSEFU WA ELIMU BORA MATOPENI HUMO
Andamaneni KUULIWA ALBINO/ZERUZERU KILA KUKICHA HUMO TANGANYKA
Andamaneni UKOSEFU WA AFYA HUMO
Andamaneni UCHUMI MBOVU TANGU JADI....MIAKA 100
Andamaneni UPUMBAVU KUONGEZEKA NA KUKITHIRI Tz
Andamaneni.......................................................................................
Sasa hayo ni ya Tanzania hayawahusu. Sisi wala hatunaga mpango na issue za kipuuzi.

Ni nchi ipi socialist inafanya mambo ya kipuuzi hivyo!!?.
Nyie ni kenya na sisi ni Tanzania. Ni nchi mbili tofauti kabisa na ideologies tofauti. Sisi tunajenga nchi yetu. Mambo ya nchi nyingine hayatuhusu. Sera zetu za nje ni kumaliza migogoro kwa mazungumzo.
Kama sera zenu za ushoga ni zenu huko na nchi yenu ya kenya. Hayatuhusu sisi. Na hamuwezi mkaamlia watanzania au wamarekani kipi cha kufanya. Nyie endeleeni kufa na njaa huku madaktari wakigoma na mnashindwa kuandamana.
 
Kwahiyo hizo athari za mazingira ni hatari zaidi kuliko mgomo wa madaktari unaosababisha vifo hapo hapo.. mbona hamjaandamana kuishinikiza serikali kumaliza mgogoro huu unaowaathiri moja kwa moja watu wa chini
Wewe ukiskia habari za ukame na njaa Kenya akilini mwako hua unafikiria nini, Hebu njoo utembee Kenya ujionee mwenyewe hasaa upanze wa kaskazini mwa Kenya, Kenya ndio nchi yenye ukosefu wa maji zaidi ya nchi zote hapa EAC...

Effects ya global warmin ni mbaya zaidi kuliko ukichanganya ugaidi,mgomo wa madaktari, vifo vya barabarani, Vifo vya ukimwi, Ufisadi........... we unafikiri ni kwanini baada ya Trump kushinda uchaguzi, dunia nzima ilikimbilia ule mkutano kwa climate change kule morroco ku sing mkataba ambao unalazimisha kila nchi kupunguza gas emmission ikiwemo marekani...



France and the United Nations on Tuesday stepped up warnings to U.S. President-elect Donald Trump about the risks of quitting a 2015 global plan to combat climate change, saying a historic shift from fossil fuels is unstoppable.

French President Francois Hollande, addressing almost 200 nations meeting in Morocco on ways to slow global warming, said that inaction would be "disastrous for future generations and it would be dangerous for peace".

Both he and U.N. Secretary-General Ban Ki-moon called on Trump, who has called man-made global warming a hoax, to drop a campaign pledge to cancel the global 2015 Paris Agreement that aims to shift from fossil fuels to cleaner energies.

"The United States, the largest economic power in the world, the second largest greenhouse gas emitter, must respect the commitments it has undertaken," Hollande said to applause. The agreement was "irreversible", he said.
France, U.N. tell Trump action on climate change unstoppable


Subscribe to read





Dunia Duara, hapo mnafaa muelewe, Wanawake wa kenya hawakuandamana kwasababu hawataki trump awe rais wa marekani, lakini kwasababu trump hajaonyesha kwamba anajali mazingira au maslahi ya wanawake, ambapo siku zote wanawake ni champions wa mazingira, maandamano yammefanyika karura forest manake pale ndo Nobel peace prize winner Wangari Mathae alimwaga damu akianza kampeni yake ya kulinda misitu na mazingira...




Haya nyi watanzania nyamazeni na muache mazingira ya dunia, haswa Africa yaharibiwe na mtu mmoja bila kumjulisha kwamba anawaharibia hewa wakati snow kwa mlima kilimanjaro inapotea na hata si makosa yenu, ni makosa ya watu wengine kutoka bara lengingine


Speak up to the world or forever hold your peace

kilmelting.jpg
 
Sasa hayo ni ya Tanzania hayawahusu. Sisi wala hatunaga mpango na issue za kipuuzi.

Ni nchi ipi socialist inafanya mambo ya kipuuzi hivyo!!?.
Nyie ni kenya na sisi ni Tanzania. Ni nchi mbili tofauti kabisa na ideologies tofauti. Sisi tunajenga nchi yetu. Mambo ya nchi nyingine hayatuhusu. Sera zetu za nje ni kumaliza migogoro kwa mazungumzo.
Kama sera zenu za ushoga ni zenu huko na nchi yenu ya kenya. Hayatuhusu sisi. Na hamuwezi mkaamlia watanzania au wamarekani kipi cha kufanya. Nyie endeleeni kufa na njaa huku madaktari wakigoma na mnashindwa kuandamana.
Halafu hata kama tungeandamana kwa hili ni bora maana yanatuhusu ila si kuandamana kwa mambo ya mzungu, si utaonekana bogasi? Na katika hotuba yake sikusikia ata kipengele kimoja kikitaja kenya lakini eti leo wameandamana?
 
Tulieni tu watanzania, global warming is a hoax, kinachofanyika marekani hakiwezi kuwaathiri
kilmelting.jpg
 
Wakenya tatizo yanajifanya mazungu meusi ni kichefuchefu kwa Africa kuwa na watu wa ajabu ajabu kama mikenya yanajifanya mijuaji kumbe mizumbukuku tu.
 
Wengi watakuwa Wajaluo, wakikuwa wanaona kwa sababu ya Obama basi nao wanaishi American dream
 
Sera za Trump, hasa kuhusu global warming zitaathiri zaidi nchi dogo na maskini kama Kenya. Ndio maana tunazipinga.
Pingeni lieni ndio kesha kuwa Rais wa Marekani haina jinsi.....
Africa ile iliozoea kuonewa huruma sasa haina nafasi kwa huyu Trump...
Tujipange kwa rasilimari zetu,Tuwabane viongozi walozi kwa kuwahujumu....
Viva Kenya Viva East African...
 
Hehehe!! Haya bwana, hao wanawake walete kwangu niwape shughuli maana naona wamekosa kazi. Wapange foleni nje ya chumba changu.
ila wakenya mna moyo wanawake wa kwenu bado mnawabandua ila mnahitaji noble kila mmoja
wanawake wote wamefanana na Kibaki
 
Sasa hayo ni ya Tanzania hayawahusu. Sisi wala hatunaga mpango na issue za kipuuzi.

Ni nchi ipi socialist inafanya mambo ya kipuuzi hivyo!!?.
Nyie ni kenya na sisi ni Tanzania. Ni nchi mbili tofauti kabisa na ideologies tofauti. Sisi tunajenga nchi yetu. Mambo ya nchi nyingine hayatuhusu. Sera zetu za nje ni kumaliza migogoro kwa mazungumzo.
Kama sera zenu za ushoga ni zenu huko na nchi yenu ya kenya. Hayatuhusu sisi. Na hamuwezi mkaamlia watanzania au wamarekani kipi cha kufanya. Nyie endeleeni kufa na njaa huku madaktari wakigoma na mnashindwa kuandamana.

Nasi pia tukiandamana hayawahusu washenzi nyie!
Hatujaandamana ndani ya Tanganyika, mna uhuru wenyu kuandamana.
Nilitegemea Wamarekani kutukaripia au kukereka sio nyie..okay?
Ni sisi na Wamarekani sio nyie, pili pili msioila yawawashia nini kuku mavi?
Pia hapa Marekani waliompigia kura BI Clinton wanawazidi wa Trup na zaidi ya watu millioni tatu, na ni hao ndio wanaoandamana.
Na hao hao ndio ulimwengu unasimama nao na kuwapa mkono/sapoti kwenye maandamano..
 
Nasi pia tukiandamana hayawahusu washenzi nyie!
Hatujaandamana ndani ya Tanganyika, mna uhuru wenyu kuandamana.
Nilitegemea Wamarekani kutukaripia au kukereka sio nyie..okay?
Ni sisi na Wamarekani sio nyie, pili pili msioila yawawashia nini kuku mavi?
Pia hapa Marekani waliompigia kura BI Clinton wanawazidi wa Trup na zaidi ya watu millioni tatu, na ni hao ndio wanaoandamana.
Na hao hao ndio ulimwengu unasimama nao na kuwapa mkono/sapoti kwenye maandamano..
Ushenzi wenu mnatuaibisha Africa. Mnakuwa na akili za kitumwa tumwa.
 
Kama unatafuta haki yako ya kutoa tako andamana huko kakamega kwa grounds za kikakakamega sio kama Trump ataingilia shughuli zako za kutoa tako huko kakamega so chill out.

Upumbavu wako kawaambukize washenzi wenzio huko kwenyu tz matopeni.
 
Mbona sielewi wakuu kwanin wanaoandamana kuhusu Trump wasingeiomba UN kuwe na haki ya kupiga kura ya maamuz juu ya uchaguz wa america popote dunian kwa maana waliopiga kura ndio wanahaki ya kupinga kuhusu huyo mtu sasa ww hata kura haikuhusu then unajifanya una uchungu na mtu aliechaguliwa na wengine .....upuuz huu iomben US ibadili katiba yake bas ili nanyi mpate fursa ya kuchagua ndan ya marekan
1)Kama ingekua ni kupinga uchaguzi, tungeandamana punde tu aliposhinda, kwasas ye ndo rais kidemocrasia, hapa watu wanapinga sera za trump kwa mambo yanayohusu dunia, sera kama women rights, global warming....dunia inasonga mbele kama global village, sera za trump kama kiongozi wa most powerful nation zinaregesha dunia nyuma...

2) Hivi karibuni, trump na china zitaanza trade wars, nchi nyingi sana maskini zinazotegemea FDI zitapoteza uwekezaji na ajira..

3)Trump akifutilia mbali ile dili ya nuclear na Iran, russia na USA na nchi zengine za m.east zitaanza proxy wars ama mapinduzi ya serikali za m.east, mwishowe Iran itaanza tena mpango wa kuwa na nuclear, hapo USA itachukua military action, Russia itataka kulipiza kisasi, alafu hapo ndo utaona vile dunia itachafuka....

4)Marekani ndo champion mkubwa zaidi kwa kuendeleza haki za wanawake, sasa vile trump ameingi, hayo yote yataisha, nchi zenye bado zina sera za kinyume za wanawake zitabaki kutesa wanawake...


5) Soma hapa vile Africa ndo itachafuliwa zaidi kimazingira kama nchi tajiri kama kina marekani hazitajirekebisha kuchafua mazingira... Akina marekani na china ndo wanachafua zaidi, lakini wako na hela za kujikinga na madhara hayo, sis waafrika inasemekana tutahitaji USD 50 Billion!!!! kila mwaka ili kujikinga na hayo madhara, kwasasa africa nzima haiwezi hata kuchanga USD 500Million kila mwaka kwa bajeti ya AU, inabidi akina EU ,China na USA ndo wanalipa bajeti kubwa zaidi AU ili ishughulikia maslahi ya waafrika..


tukifika huku ndo watoto wako watakua wanauma meno wakishangaa ni vipi haya yote yalifanyika na we ulikua hapa JF ukichekacheka
http://www.unep.org/newscentre/Default.aspx?DocumentID=26788&ArticleID=34788
Africa's looming climate crisis

Africa is the continent where a rapidly changing climate is expected to deviate earlier than across any other continent from "normal" changes, making adaptation a matter of urgency, the report says.

Warming projections under medium scenarios indicate that extensive areas of Africa will exceed 2°C by the last two decades of this century relative to the late 20th century mean annual temperature. Under a high warming pathway, temperatures could exceed 2°C by mid-century across much of Africa and reach between 3°C and 6°C by the end of the century. This would have a severe impact on agricultural production, food security, human health and water availability.

In a 4˚C world, projections for Africa suggest sea levels could rise faster than the global average and reach 80cm above current levels by 2100 along the Indian and Atlantic Ocean coastlines, with particularly high numbers of people at risk to flooding in the coastal cities of Mozambique, Tanzania, Cameroon, Egypt, Senegal and Morocco.

"This is not just a question of money; millions of people and their livelihoods are at stake," said Binilith Mahenge, President of AMCEN and Tanzania's Minister of State for Environment. "Africa's population will be at an increasing risk of undernourishment due to increasing food demand and the detrimental effects of climate change on agriculture on the continent. Global warming of 2˚C would put over 50 per cent of the African continent's population at risk of undernourishment. Yet, the IPCC showed that without additional mitigation we are heading to 4˚C of warming."

"Rising to the challenge and addressing the systemic harm that climate change may cause in Africa, thus undermining the post-2015 sustainable development agenda, warrants leaving no stone unturned in exploring opportunities for supporting adaptation actions and measures in Africa," he added
 
Back
Top Bottom