Wakenya waandamana Nairobi kumpinga Trump, washambuliwa mitandaoni kwa kuingilia yasiyowahusu

Wakenya waandamana Nairobi kumpinga Trump, washambuliwa mitandaoni kwa kuingilia yasiyowahusu

The demonstrations were being held in cities around the world. If Tanzanian cities are too inconsequential to the World its not Kenya's fault.
 
Itabidi umoja wa afrika wakae waifutilie mbali Kenya, maana kwa ulofa huo wamekosa sifa ya uanachama. Black is black n white is always......stop pretending.....
 
The demonstrations were being held in cities around the world. If Tanzanian cities are too inconsequential to the World its not Kenya's fault.
Ili iweje? Mambo ya Marekani na Kenya wapi na wapi? Ni ujinga na wehu. Mkianza kupangiwa na wamarekani mnaanza kulialia. Who is Trump to kenyans? Mnaandamana mlipiga kura? Mnaandamana ili iweje?
 
Ili iweje? Mambo ya Marekani na Kenya wapi na wapi? Ni ujinga na wehu. Mkianza kupangiwa na wamarekani mnaanza kulialia. Who is Trump to kenyans? Mnaandamana mlipiga kura? Mnaandamana ili iweje?
Nairobi is a global city, Dar is a glorified village. Once you understand that it wouldn't be too hard to understand why events in London, Sydney, Washington, Tokyo affects Nairobi. To put it plainly assuming that the demos were held concurrently in Nairobi and Dar, which one would grace the headlines?
 
Nairobi is a global city, Dar is a glorified village. Once you understand that it wouldn't be too hard to understand why events in London, Sydney, Washington, Tokyo affects Nairobi. To put it plainly assuming that the demos were held concurrently in Nairobi and Dar, which one would grace the headlines?
Ya dar
 
Naona democrasia bado haijafika Dar.... Mko mbali Sana hata hamjui umuhimu wa maandamano, hebu jiulize ishara ya hai wanawake kufanya maamdamano katika msitu...... Hivi watanzania mnajua kua Afrika ndo ime affectiwa zaidi Na global warming? Na hivi mnajua karibu 90% ya global warming ya africa imetokana na air pollutions ya industrialisation ya nchi za magharibi, na hivi mlifywatilia Yale trump alisema eti global warming Ni hoax , kwahivyo yeye Kama rais wa marekani atalazimisha nchi yake iache kulipa faini kwa nchi za Africa kwa kuharibu hewa yetu, tena marekani itazidi kutumia coal Ile mbaya kabisa ipatikanayo kule ili kufufua viwanda vingi zaidi...wakati huku Africa ukame na elnino zinazidi kuongezeka...... Alafu wakenya wakiandamana mnaleta ujinga zenu hapa ! Watz bana, akili zenu mlirusha wapi mazuzu kabisa
 
Aibu hii wakenya kazi ipo
Ila nimependa watanzania walivyo wachana live
 
Naona democrasia bado haijafika Dar.... Mko mbali Sana hata hamjui umuhimu wa maandamano, hebu jiulize ishara ya hai wanawake kufanya maamdamano katika msitu...... Hivi watanzania mnajua kua Afrika ndo ime affectiwa zaidi Na global warming? Na hivi mnajua karibu 90% ya global warming ya africa imetokana na air pollutions ya industrialisation ya nchi za magharibi, na hivi mlifywatilia Yale trump alisema eti global warming Ni hoax , kwahivyo yeye Kama rais wa marekani atalazimisha nchi yake iache kulipa faini kwa nchi za Africa kwa kuharibu hewa yetu, tena marekani itazidi kutumia coal Ile mbaya kabisa ipatikanayo kule ili kufufua viwanda vingi zaidi...wakati huku Africa ukame na elnino zinazidi kuongezeka...... Alafu wakenya wakiandamana mnaleta ujinga zenu hapa ! Watz bana, akili zenu mlirusha wapi mazuzu kabisa
Kwahiyo hizo athari za mazingira ni hatari zaidi kuliko mgomo wa madaktari unaosababisha vifo hapo hapo.. mbona hamjaandamana kuishinikiza serikali kumaliza mgogoro huu unaowaathiri moja kwa moja watu wa chini
 
Kwahiyo hizo athari za mazingira ni hatari zaidi kuliko mgomo wa madaktari unaosababisha vifo hapo hapo.. mbona hamjaandamana kuishinikiza serikali kumaliza mgogoro huu unaowaathiri moja kwa moja watu wa chini
Looks like you are a champion when it comes to priorities, how many times have you organized demos against Magufuli harassing opponents? stifling democracy? La kwenu limewashida letu mtaliwezaje?
 
Looks like you are a champion when it comes to priorities, how many times have you organized demos against Magufuli harassing opponents? stifling democracy? La kwenu limewashida letu mtaliwezaje?
Sisi hatumpingi na tunamuunga mkono sana tena sana na hata kama tungempinga at list ni wetu na athari zake zinatuathiri moja kwa moja maana ni wetu na tumempgia kura sisi na yuko kwa ajiri yetu, sasa nyie swali ni moja Trump anawahusu nini ninyi? Mbona mnakimbilia ya mtaa mwingine ili hali kuna ya kwenu apo, au basi ata jiran angalau lakn mtaa wa pili looooh mnatuabisha waafrica.... kipindi kili burundi (jirani kabisa) kutokee machafuko hamkuanamana ila leo mwaandamanishwa na mambo ya US?
 
'20 dead, scores missing' after pro-Trump demo in Nigeria


A Nigerian separatist group said 20 people have died after a demonstration in support of US president Donald Trump led to clashes with police.

Friday's rally in the southern Rivers state was organised by the Indigenous People of Biafra, which wants Mr Trump to support the creation of an independent Biafran state for the Igbo people.

Member Ugochukwu Chinweuba said lawyers are working to locate and release those arrested by police. He said more than 200 people are still missing.

Nnamdi Omoni, a spokesman for Rivers state police, denied that anyone was killed but said 65 people had been arrested.

Neither of the competing accounts could be independently verified.

One million people died in the 1967-70 civil war over efforts to create a Biafran state.

'20 dead, scores missing' after pro-Trump demo in Nigeria - Independent.ie
Trump lazima atawajibu kikauli na kivitendo......
Mbwa si wako kwa nini unampangia ulinzi!
You and those folks do not know what the demos was all about, only spewing nonsense on the social media. And clearly, are not these pipo Tanzanians? You Tanzania,s ignorance on global issues is appaling.
 
Trump is american.. Amechaguliwa na wamerakani.. Anasimamia maslahi ya Wamarekani… wamerakani wakiandamana inaeleweka wana mpinga trump.. Sasa huku mijitu meusi Afrika tunaandamania nn? Trump kaongelea kuhusu wanawake wa Afrika? Ishu za Afrika? Sikuwaona mkiandamana wanawake wenu waafrika walipotekwa na Boko Haram.. Pia Kama ishu ni Global warming basi na nyie miafrika anzisheni viwanda vya kuchafua hali ya hewa kisha mgome kulipa faini kama Trump. Case solved.
 
Wakenya mmamambo ya kike sana nyie...matatizo yenu mbona hamyapi kipaumbele?
America inawahusu vipi?mtaolewa sasa maana mnajibebisha
 
Ama kweli waTz ni wapumbavu wa kutupwa.........hayo madawa ya Virusi vya Ukimwi pamoja na maneti na misaada mingi tu mnayoyapata toka Marekani yakikatwa ndio mtaona kweli Trump ni wa maana?, mbona huwa hamna vision?
Leo hii hizo pesa na miradi ya MILLENIUM DEVELPMENT GOALS MMEZIPOKEA, SCOLARSHIPS,CDC/DISEASE ERADICATIN,MALARIA NETS,CLIMATE FUNDS etc hazijawasaidia?, ilhali nyinyi ndio mnaoongoza kwa kupokea misaada lukuki?, hamuoni yote hayo?
Hivi leo wabaguzi KKK wakiishikilia nchi chini ya mkuu wao Trump Marekani na jinsi walivyo wakaanza kuwaua jamaa zenu walioko kule na kuwatimua mtakenua meno?
Ni nini kimewasibu hadi mu wapumbavu kwa kiasi hiki?
Haki zenu leo zikianza kukiukwa kuanzia Zanzibar hadi hapo Tanganyika ni nani atakuja kuwaokoa?..Mchina ama Muarabu?
Si ndugu zenu wataanza kukimbilia mataifa huru yenye kuzilinda haki za binadamu?
Leo miji mikubwa zaidi ya 370 mataifa makubwa na tajiri ulimwenguni yanaandamana, nyinyi mnafikiri ndiyo werevu sana,wajuvi wakubwa na wenye akili zaidi eeh?

The least you Tzs could do is shut your illiterate mouths, hamjui lolote lile....bado mpo mpo.
 
Back
Top Bottom