Wakenya waanza kukimbilia Tanzania kwa kuogopa Corona nchini kwao

Wakenya waanza kukimbilia Tanzania kwa kuogopa Corona nchini kwao

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
#Habari:Maofisa Uhamiaji kituo cha Forodha cha mpaka mwa Kenya na Tanzania kilichopo Sirari wilaya ya Tarime mkoa wa Mara wamekamata wahamiahaji haramu 14 wanaodaiwa kuwa wa familia moja raia wa Kenya ambao wamekimbia toka nchini kwao baada ya jirani yao kufa kwa Corona. ITV on Twitter

Haya..Haya..Haya.. Kumekucha, mambo yameanza kuwa mazito kwa jirani. Wakenya wameanza kukumbwa na " Joto la Jiwe" nchini mwao baada ya wakenya kuanza kufariki mitaani, hivyo kusababisha taharuki kwa wengine la kulazimika kutorokea Tanzania kuokoa maisha yao.

cc.Tony254
Geza ulole
Mwaswast
Mass testing"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#Habari:Maofisa Uhamiaji kituo cha Forodha cha mpaka mwa Kenya na Tanzania kilichopo Sirari wilaya ya Tarime mkoa wa Mara wamekamata wahamiahaji haramu 14 wanaodaiwa kuwa wa familia moja raia wa Kenya ambao wamekimbia toka nchini kwao baada ya jirani yao kufa kwa Corona. ITV on Twitter

Haya..Haya..Haya.. Kumekucha, mambo yameanza kuwa mazito kwa jirani. Wakenya wameanza kukumbwa na " Joto la Jiwe" nchini mwao baada ya wakenya kuanza kufariki mitaani, hivyo kusababisha taharuki kwa wengine la kulazimika kutorokea Tanzania kuokoa maisha yao.

cc.Tony254
Geza ulole
Mwaswast
Mass testing"

Sent using Jamii Forums mobile app

Aisee ulinzi uzidi mipakani tena baada ya tangazo hili




#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala mwathadan
 
Kwani hiyo COVID-19 haipo Tanzania, au wameogopa kufa na njaa!!?
wacha utani babu kule inakimbilia 200 infections! sasa linganisha 200+ infections in Nairobi na 2 in Arusha and 22 in Tanzania!
EUq-5rzUEAIuhDD



#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala mwathadan
 
Hahahaha eti joto la jiwe
#Habari:Maofisa Uhamiaji kituo cha Forodha cha mpaka mwa Kenya na Tanzania kilichopo Sirari wilaya ya Tarime mkoa wa Mara wamekamata wahamiahaji haramu 14 wanaodaiwa kuwa wa familia moja raia wa Kenya ambao wamekimbia toka nchini kwao baada ya jirani yao kufa kwa Corona. ITV on Twitter

Haya..Haya..Haya.. Kumekucha, mambo yameanza kuwa mazito kwa jirani. Wakenya wameanza kukumbwa na " Joto la Jiwe" nchini mwao baada ya wakenya kuanza kufariki mitaani, hivyo kusababisha taharuki kwa wengine la kulazimika kutorokea Tanzania kuokoa maisha yao.

cc.Tony254
Geza ulole
Mwaswast
Mass testing"

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulinzi uimarishwe mipakani aisee😠😠😠...Hata sie leo kuna cases mpya.
 
MK254 pitia hapa uone wacha kuchungulia.....Uhalisia ndo upo hivyo sio zile porojo zako.

Asante kwa kuniita japo sioni chochote cha kuchangia hapa, maana labda Mkenya bogus anaweza kukimbilia kuja kwa nchi ambayo yenyewe kwa umaskini imelemewa na zoezi la kuendelea kupima watu wake mpaka kunatokea matukio ya raia wake kutokea Tanga kwenda kuambukiza Zanzibar, ikikumbukwa Tanga haijawahi kutajwa popote wakati mlikua mnajitutumua kupima.
Ni wazi kwenu huko kirusi kimezagaa sema ni ile kwa Afrika hakiui wala kuathiri sana, hivyo hata kikiwa mtaani ni vigumu kujua kama ni chenyewe, hii mpaka sasa inajadiliwa na wataalam imekuaje Afrika vifo ni vichache sana. Kuna Watanzania wanajiaminisha waliwahi kuumwa Corona, hebu fuata huu uzi Kwa tulioumwa mafua yale ni mashahidi tosha, nahisi ile ilikuwa ni Covid 19 - JamiiForums

Halafu hizi taarifa nahisi zimekaa kipropaganda zaidi, hata kama ingekua kuna Mkenya anatoroka, labda atoroke kutoka Nairobi maana kesi 82% ni za Nairobi, kwingine mamilioni ya Wakenya wanasoma tu kwenye magazeti wala hawana habari, sasa iweje Mkenya wa huko karibu na Sirari atoroke nchi.
Ndio maana Nairobi na gatuzi kadhaa za Pwani zimeongezewa curfew zaidi.
 
Asante kwa kuniita japo sioni chochote cha kuchangia hapa, maana labda Mkenya bogus anaweza kukimbilia kuja kwa nchi ambayo yenyewe kwa umaskini imelemewa na zoezi la kuendelea kupima watu wake mpaka kunatokea matukio ya raia wake kutokea Tanga kwenda kuambukiza Zanzibar, ikikumbukwa Tanga haijawahi kutajwa popote wakati mlikua mnajitutumua kupima.
Ni wazi kwenu huko kirusi kimezagaa sema ni ile kwa Afrika hakiui wala kuathiri sana, hivyo hata kikiwa mtaani ni vigumu kujua kama ni chenyewe, hii mpaka sasa inajadiliwa na wataalam imekuaje Afrika vifo ni vichache sana. Kuna Watanzania wanajiaminisha waliwahi kuumwa Corona, hebu fuata huu uzi Kwa tulioumwa mafua yale ni mashahidi tosha, nahisi ile ilikuwa ni Covid 19 - JamiiForums

Halafu hizi taarifa nahisi zimekaa kipropaganda zaidi, hata kama ingekua kuna Mkenya anatoroka, labda atoroke kutoka Nairobi maana kesi 82% ni za Nairobi, kwingine mamilioni ya Wakenya wanasoma tu kwenye magazeti wala hawana habari, sasa iweje Mkenya wa huko karibu na Sirari atoroke nchi.
Ndio maana Nairobi na gatuzi kadhaa za Pwani zimeongezewa curfew zaidi.
Porojo mingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kuniita japo sioni chochote cha kuchangia hapa, maana labda Mkenya bogus anaweza kukimbilia kuja kwa nchi ambayo yenyewe kwa umaskini imelemewa na zoezi la kuendelea kupima watu wake mpaka kunatokea matukio ya raia wake kutokea Tanga kwenda kuambukiza Zanzibar, ikikumbukwa Tanga haijawahi kutajwa popote wakati mlikua mnajitutumua kupima.
Ni wazi kwenu huko kirusi kimezagaa sema ni ile kwa Afrika hakiui wala kuathiri sana, hivyo hata kikiwa mtaani ni vigumu kujua kama ni chenyewe, hii mpaka sasa inajadiliwa na wataalam imekuaje Afrika vifo ni vichache sana. Kuna Watanzania wanajiaminisha waliwahi kuumwa Corona, hebu fuata huu uzi Kwa tulioumwa mafua yale ni mashahidi tosha, nahisi ile ilikuwa ni Covid 19 - JamiiForums

Halafu hizi taarifa nahisi zimekaa kipropaganda zaidi, hata kama ingekua kuna Mkenya anatoroka, labda atoroke kutoka Nairobi maana kesi 82% ni za Nairobi, kwingine mamilioni ya Wakenya wanasoma tu kwenye magazeti wala hawana habari, sasa iweje Mkenya wa huko karibu na Sirari atoroke nchi.
Ndio maana Nairobi na gatuzi kadhaa za Pwani zimeongezewa curfew zaidi.
Mortality rate ya Corona virus ni 2 - 3%, hadi sasa vifo Afrika ni kama ifuatavyo
1) Nigeria 224. deaths 5
2)South Africa 1655, deaths 11
3)Kenya 158, deaths 6
4)Tanzania 22, death 1
5) Zimbabwe 4, death 1
6) Zambia 33, death 1

Unaposema corona haiui waafrika, unatumia kigazo gani?. Ukiangalia hizo statistics ukizitafsiri " Epidemiologically", Corona inaua zaidi waafrica kuliko wazungu.

Jaribu kutumia logic wakati wa kujenga hoja zako. Tatizo lako wewe unatumia fikra zako zaidi bila kutumia utaalamu wa eneo husika, ndio sababu muda mwingi unakua " wrong" katika hoja zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kuniita japo sioni chochote cha kuchangia hapa, maana labda Mkenya bogus anaweza kukimbilia kuja kwa nchi ambayo yenyewe kwa umaskini imelemewa na zoezi la kuendelea kupima watu wake mpaka kunatokea matukio ya raia wake kutokea Tanga kwenda kuambukiza Zanzibar, ikikumbukwa Tanga haijawahi kutajwa popote wakati mlikua mnajitutumua kupima.
Ni wazi kwenu huko kirusi kimezagaa sema ni ile kwa Afrika hakiui wala kuathiri sana, hivyo hata kikiwa mtaani ni vigumu kujua kama ni chenyewe, hii mpaka sasa inajadiliwa na wataalam imekuaje Afrika vifo ni vichache sana. Kuna Watanzania wanajiaminisha waliwahi kuumwa Corona, hebu fuata huu uzi Kwa tulioumwa mafua yale ni mashahidi tosha, nahisi ile ilikuwa ni Covid 19 - JamiiForums

Halafu hizi taarifa nahisi zimekaa kipropaganda zaidi, hata kama ingekua kuna Mkenya anatoroka, labda atoroke kutoka Nairobi maana kesi 82% ni za Nairobi, kwingine mamilioni ya Wakenya wanasoma tu kwenye magazeti wala hawana habari, sasa iweje Mkenya wa huko karibu na Sirari atoroke nchi.
Ndio maana Nairobi na gatuzi kadhaa za Pwani zimeongezewa curfew zaidi.
Haya mkuu relax😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom