MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Haya mkuu relax😆😆😆😆
Halafu jana ilikua wa Tanga kupeleka Zenji, leo naona wa Mwanza anaingia kwenu huko na kukatiza hadi Mwanza kwa raha zake hakuwekwa na mtu yeyote karantini, mwendo wa kuambukiza tu jameni mnafanya uzembe hadi basi tu, hebu fuata huu uzi Mamlaka za Tanzania haziko seriously kupambana na Corona, inakuwaje mgonjwa anatua JNIA anakwenda mwanza na hakuwekwa karantini? - JamiiForums