Wakenya waanza kukimbilia Tanzania kwa kuogopa Corona nchini kwao

Wakenya waanza kukimbilia Tanzania kwa kuogopa Corona nchini kwao

Asante kwa kuniita japo sioni chochote cha kuchangia hapa, maana labda Mkenya bogus anaweza kukimbilia kuja kwa nchi ambayo yenyewe kwa umaskini imelemewa na zoezi la kuendelea kupima watu wake mpaka kunatokea matukio ya raia wake kutokea Tanga kwenda kuambukiza Zanzibar, ikikumbukwa Tanga haijawahi kutajwa popote wakati mlikua mnajitutumua kupima.
Ni wazi kwenu huko kirusi kimezagaa sema ni ile kwa Afrika hakiui wala kuathiri sana, hivyo hata kikiwa mtaani ni vigumu kujua kama ni chenyewe, hii mpaka sasa inajadiliwa na wataalam imekuaje Afrika vifo ni vichache sana. Kuna Watanzania wanajiaminisha waliwahi kuumwa Corona, hebu fuata huu uzi Kwa tulioumwa mafua yale ni mashahidi tosha, nahisi ile ilikuwa ni Covid 19 - JamiiForums

Halafu hizi taarifa nahisi zimekaa kipropaganda zaidi, hata kama ingekua kuna Mkenya anatoroka, labda atoroke kutoka Nairobi maana kesi 82% ni za Nairobi, kwingine mamilioni ya Wakenya wanasoma tu kwenye magazeti wala hawana habari, sasa iweje Mkenya wa huko karibu na Sirari atoroke nchi.
Ndio maana Nairobi na gatuzi kadhaa za Pwani zimeongezewa curfew zaidi.
Tanga imepakana na kenya na kuna uwezekano mkubwa watu waliotembelea kenya na kuja kwao tanzania wakawa wanamaambukizi

Halafu swala la umasikini mi nalipima kwa njaa, nchi ambayo watu wake wanakufa kwa njaa hata iwe na maghorofa kama burj khalifa bado itakua ni maskini tu

Mpaka saizi idadi ya wagonjwa waliopona wamefikia watano, sijui nyie kenya mpaka saizi wamepona wangapi
 
Wamepona 12
Tanga imepakana na kenya na kuna uwezekano mkubwa watu waliotembelea kenya na kuja kwao tanzania wakawa wanamaambukizi

Halafu swala la umasikini mi nalipima kwa njaa, nchi ambayo watu wake wanakufa kwa njaa hata iwe na maghorofa kama burj khalifa bado itakua ni maskini tu

Mpaka saizi idadi ya wagonjwa waliopona wamefikia watano, sijui nyie kenya mpaka saizi wamepona wangapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanga imepakana na kenya na kuna uwezekano mkubwa watu waliotembelea kenya na kuja kwao tanzania wakawa wanamaambukizi

Halafu swala la umasikini mi nalipima kwa njaa, nchi ambayo watu wake wanakufa kwa njaa hata iwe na maghorofa kama burj khalifa bado itakua ni maskini tu

Mpaka saizi idadi ya wagonjwa waliopona wamefikia watano, sijui nyie kenya mpaka saizi wamepona wangapi

Hili suala la Corona, Watanzania mnahitaji elimu sana maana mnadhirisha uelewa wenu mdogo sana kwa hili, fahamu ile tu kwamba una mgonjwa mmoja na haujafuataa kila aliyegusana naye, hapo tayari unalo. Haijalshi kama Tanga imepakana na Kenya au vinginevyo, kwa sasa kuna waathirika watatu Kenya wametokea Tanzania na kirusi, ina maana huko mnaogelea kwa kirusi kimya kimya.
Kama ulimskliza waziri wako wa afya jana utagundua kitu, kwa mara ya kwanza ameanza kuongea kama mawaziri wa matifa mengine, mbwembwe zenu za kuchukulia poa hiki kirusi zimeisha.
Mumekua wazembe sana, Mtanzania anatokea Dubai na kukaa Dar siku sita kisha anaenda mpaa Mwanza, kote huko anaachia kirusi mpaka mnamkamata alikua ameachia mbegu balaa.
 
Ivi we mshenzi Magufuli alikufanyaga nini? Huwezi kuongea sentence mbili bila kumtaja?

Alikuibia mke nini?
Leo ni mara ya pili nakuuliza hivi

Magufuli hatambui hata kuna parasite kama wewe
Jamaa anam hate kinoma yani, nina uhakika ni moja ya jina lililotamalaki sana kwenye comments za huyu nyang'au hapa JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili suala la Corona, Watanzania mnahitaji elimu sana maana mnadhirisha uelewa wenu mdogo sana kwa hili, fahamu ile tu kwamba una mgonjwa mmoja na haujafuataa kila aliyegusana naye, hapo tayari unalo. Haijalshi kama Tanga imepakana na Kenya au vinginevyo, kwa sasa kuna waathirika watatu Kenya wametokea Tanzania na kirusi, ina maana huko mnaogelea kwa kirusi kimya kimya.
Kama ulimskliza waziri wako wa afya jana utagundua kitu, kwa mara ya kwanza ameanza kuongea kama mawaziri wa matifa mengine, mbwembwe zenu za kuchukulia poa hiki kirusi zimeisha.
Mumekua wazembe sana, Mtanzania anatokea Dubai na kukaa Dar siku sita kisha anaenda mpaa Mwanza, kote huko anaachia kirusi mpaka mnamkamata alikua ameachia mbegu balaa.

wewe tatizo lako nn si tutakufa sisi? wewe utabaki


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe tatizo lako nn si tutakufa sisi? wewe utabaki


Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla mufe mtaacha mumetuponza maana tuna muingiliano mkubwa baina yetu, tunachangia makabila na pia jamii, hivyo utepetevu na uzembe wenu utatugharimu pia licha ya juhudi zetu.
Huku tumewekewa curfew ya kutotoka nje usiku, tunavumilia na kupambana, ila wapuzi serikalini wanaruhusu Watanzania waingie ingie tu ilhali kwao huko hakuna tahadhari, watu bado wanabanana kwenye madaladala.
 
Back
Top Bottom