Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Sasa mnakuja hapa kulalamika nini kama mlifunga tangu March?Kwa taarifa yako Kenya ilifunga boda zamani sana mwezi machi na patrols za kuzuia uhamiaji haramu zinaendelea hadi sasa hivi. Patrols Intensified along Kenya-Tanzania border to thwart illegal border crossings – Kenya News Agency
Tanga imepakana na kenya na kuna uwezekano mkubwa watu waliotembelea kenya na kuja kwao tanzania wakawa wanamaambukiziAsante kwa kuniita japo sioni chochote cha kuchangia hapa, maana labda Mkenya bogus anaweza kukimbilia kuja kwa nchi ambayo yenyewe kwa umaskini imelemewa na zoezi la kuendelea kupima watu wake mpaka kunatokea matukio ya raia wake kutokea Tanga kwenda kuambukiza Zanzibar, ikikumbukwa Tanga haijawahi kutajwa popote wakati mlikua mnajitutumua kupima.
Ni wazi kwenu huko kirusi kimezagaa sema ni ile kwa Afrika hakiui wala kuathiri sana, hivyo hata kikiwa mtaani ni vigumu kujua kama ni chenyewe, hii mpaka sasa inajadiliwa na wataalam imekuaje Afrika vifo ni vichache sana. Kuna Watanzania wanajiaminisha waliwahi kuumwa Corona, hebu fuata huu uzi Kwa tulioumwa mafua yale ni mashahidi tosha, nahisi ile ilikuwa ni Covid 19 - JamiiForums
Halafu hizi taarifa nahisi zimekaa kipropaganda zaidi, hata kama ingekua kuna Mkenya anatoroka, labda atoroke kutoka Nairobi maana kesi 82% ni za Nairobi, kwingine mamilioni ya Wakenya wanasoma tu kwenye magazeti wala hawana habari, sasa iweje Mkenya wa huko karibu na Sirari atoroke nchi.
Ndio maana Nairobi na gatuzi kadhaa za Pwani zimeongezewa curfew zaidi.
Tanga imepakana na kenya na kuna uwezekano mkubwa watu waliotembelea kenya na kuja kwao tanzania wakawa wanamaambukizi
Halafu swala la umasikini mi nalipima kwa njaa, nchi ambayo watu wake wanakufa kwa njaa hata iwe na maghorofa kama burj khalifa bado itakua ni maskini tu
Mpaka saizi idadi ya wagonjwa waliopona wamefikia watano, sijui nyie kenya mpaka saizi wamepona wangapi
Tanga imepakana na kenya na kuna uwezekano mkubwa watu waliotembelea kenya na kuja kwao tanzania wakawa wanamaambukizi
Halafu swala la umasikini mi nalipima kwa njaa, nchi ambayo watu wake wanakufa kwa njaa hata iwe na maghorofa kama burj khalifa bado itakua ni maskini tu
Mpaka saizi idadi ya wagonjwa waliopona wamefikia watano, sijui nyie kenya mpaka saizi wamepona wangapi
Jamaa anam hate kinoma yani, nina uhakika ni moja ya jina lililotamalaki sana kwenye comments za huyu nyang'au hapa JF.Ivi we mshenzi Magufuli alikufanyaga nini? Huwezi kuongea sentence mbili bila kumtaja?
Alikuibia mke nini?
Leo ni mara ya pili nakuuliza hivi
Magufuli hatambui hata kuna parasite kama wewe
Hili suala la Corona, Watanzania mnahitaji elimu sana maana mnadhirisha uelewa wenu mdogo sana kwa hili, fahamu ile tu kwamba una mgonjwa mmoja na haujafuataa kila aliyegusana naye, hapo tayari unalo. Haijalshi kama Tanga imepakana na Kenya au vinginevyo, kwa sasa kuna waathirika watatu Kenya wametokea Tanzania na kirusi, ina maana huko mnaogelea kwa kirusi kimya kimya.
Kama ulimskliza waziri wako wa afya jana utagundua kitu, kwa mara ya kwanza ameanza kuongea kama mawaziri wa matifa mengine, mbwembwe zenu za kuchukulia poa hiki kirusi zimeisha.
Mumekua wazembe sana, Mtanzania anatokea Dubai na kukaa Dar siku sita kisha anaenda mpaa Mwanza, kote huko anaachia kirusi mpaka mnamkamata alikua ameachia mbegu balaa.
Kabla mufe mtaacha mumetuponza maana tuna muingiliano mkubwa baina yetu, tunachangia makabila na pia jamii, hivyo utepetevu na uzembe wenu utatugharimu pia licha ya juhudi zetu.