Likija suala la barabara yaani pamoja na kwamba Tanzania ni kubwa kuzidi Kenya karibia mara mbili lakini Kenya inaizidi Tanzania kwa mtandao wa barabara tena zenye ubora...that's a fact. Tunaizidi Tanzania kwa kila kitu. Kumbuka middle-class wa nchi ndio hutalii nchi yao, sasa nyie kwenu wachache ndio wamekidhi uchumi wa kati, wengi wenu walalahoi wa Dar.
Asilimia 70% ya Watanzania ni maskini wa kutupwa hiyo ni kwa mujibu wa taarifa za benki kuu, mumetujazia omba omba Kenya, yaani Tanzania ndio nchi pekee ukanda huu wote ambayo raia wake hutoka nje ya nchi kwenda kujidharirisha kwa kuishi kama omba omba.
Halafu hapa EAC, Watanzania ndio wanalipwa mishahara duni, hilo tumeona juzi taarifa za utafiti zilizochapishwa humu. Halafu ukizingatia utawala wa leo jinsi umewakazia, vyuma vimekaza kote mnalia kilio cha mateso kwa jinsi mumekosa hela kitaani, sasa za kutalii mtatoa wapi.
Nimeona wengi mumeanza kumlilia Membe aje awakwamue ili mpate afueni hata ya kula bata.