joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Sisi tunatembelea nchi za SADC ambazo ninyi hadi muombe visa. Tanzania hatuwezi tembelea nchi hatari kwa usalama kama Kenya.Na nyinyi mnazuru nchi gani sasa juu ata domestic tourism ni ZERO.
Ile link ya TZ ikiwa na less middle class hapa EAC naona ni real.....mwache kupika data.
Now 5th and China first!Kwanza investment is all what we need, regardless from which country, getting Kenya investors is plus for Tanzania and minus for Kenya because investment means more jobs, more taxes, more money. Kenya tanks forth after UK, India and South Africa.
Hehe weka official data ama link kuonyesha watanzagiza huzuru Nchi gani Afrika...afu si ni kweli kuwa nyie mnaongoza kwa export ya omba omba haswa hapa Kenya.East Africa: Why Ugandans Top As Kenya Main Tourists Source Market
Ninarudia kuiweka as per your requirement
Siku hizi umekuwa relegated to just contributing to other people's threads? you were not dynamic enough to adjust to JF changes sasa zile nyuzi za Tanzagiza ulikuwa untuwekea hapa zinafungwa papo hapo.Now 5th and China first!
Official source ama link please si upige mdomo kama kawa na hata Tandale hujawahi toka.Sisi tunatembelea nchi za SADC ambazo ninyi hadi muombe visa. Tanzania hatuwezi tembelea nchi hatari kwa usalama kama Kenya.
katika huu mjadala, sijaona takwimu toka Kenya.
Now 5th and China first!
Sisi tunatembelea nchi za SADC ambazo ninyi hadi muombe visa. Tanzania hatuwezi tembelea nchi hatari kwa usalama kama Kenya.
East Africa: Why Ugandans Top As Kenya Main Tourists Source Market
Ninarudia kuiweka as per your requirement
Kama ambavyo Kenya ni biggest exporter wa majambazi, wezi, terrorists, tribalists, and ugly ladies.Hehe weka official data ama link kuonyesha watanzagiza huzuru Nchi gani Afrika...afu si ni kweli kuwa nyie mnaongoza kwa export ya omba omba haswa hapa Kenya.
Tanzania ni njema atakaye naaje karibu jiraniTanzania tutembee tu kifua mbele kama kawaida, huko Kenya saivi ni wakati sasa ambao wakenya wanaanza kutoa zile pesa wamekua wakidunduliza kwa mwaka mzima ili tu watimize ile ndoto yao ya muda mrefu kuona Tanzania.
Karibuni majirani kwa wingi. 😄
Ila hakikisheni mnaheshimu na kufuata sheria zetu za nchi.
View attachment 959186
Watanzania wanatembelea vivutio vyao kwa wingi kuliko idadi ya wageni toka nje, mind you at least kila mkoa Tanzania una one or two massive national parks closeNa nyinyi mnazuru nchi gani sasa juu ata domestic tourism ni ZERO.
Ile link ya TZ ikiwa na less middle class hapa EAC naona ni real.....mwache kupika data.