Hii habari unayo?joto la jiwe,
Wakubali mbinu za watu kufa hovyo?
Sasa hivi niko Kenya - hakuna kitu kama hicho!
Kinachofanyika Tanzania ni sawa na mtu kuziba macho yako usione watu wengine ilihali kiwiliwili chako chote kinaonekana na watu wote.
Nanyie mmeanza kuokota maiti?Hampendi ukweli, baki na ujinga yako wachana na mwenzako., ukweli haubadiliki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
ninayo kwa sababu viongozi wa Kenya wanatoa taarifa zote kuhusu korona.Hii habari unayo? View attachment 1444406
Sawa MK254ninayo kwa sababu viongozi wa Kenya wanatoa taarifa zote kuhusu korona.
viongozi wetu Tanzania wanawapiga vita wataalamu walio mstari wa mbele, na taarifa kwa umma wameamua wasitoe.
kwa makadirio ya kimahesabu, kama Zanzibar yenye watu 1.5 m ina vifo 32 tayari, Tanzania Bara yenye watu 55 m vifo vitakuwa vishafika si chini ya 1,100, idadi ambayo ni mara 40 zaidi ya Kenya!
Haya mafipa yamerogwa haya,..usipoteze mudaSawa MK254
Onyesha mahali Kenya mtu amefariki mwaka huu kwa ajili ya njaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hauna lako punguani, umelemaa akili kwa kweli., [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tofauti ya Kenya na nchi zingine ni kwamba wakenya hawana akili hawajui nini wanafanya na nini wanataka. Hakuna nchi yoyote ambayo haifanyi "contact tracing" na kuwaweka chini ya karantini kwa siku 14, hata nchi yenye mgonjwa mmoja lazima hiyo kitu ifanyike.
Ninyi kutokana na ujinga wenu na ulimbukeni wenu wa kutojua mambo kwa undani, ndio mnaona "contact tracing" ni kitu "unique" hufanyika Kenya pekee. Kitu unique ambacho hufanyika Kenya pekee ni kupokea "food donations" na watu kufa kwa njaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa MK254
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakati "lockdown" Uganda na Rwanda inasaidia kupunguza kuenea kwa maambukizi, Kenya ndio inazidisha kuenea kwa maambukizi, hiyo ndio maana halisi ya "Failed state".
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnawachemshia watoto mawe.Onyesha mahali Kenya mtu amefariki mwaka huu kwa ajili ya njaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hauna lako punguani, umelemaa akili kwa kweli., [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnawachemshia watoto mawe.
Kwanini mkuu?
Umeandika pumba mtupu.Wanaongoza kwa akili kwa kueneza maambukizi zaidi? Sasa hivi Kenya na Tanzania ndio wanaoeneza virusi kwenda Uganda na Rwanda, jiulize inawezekanaje Kenya ambayo imetumia mbinu sawa na Uganda na Rwanda lakini bado maambukizi yanaongezeka wakati Rwanda na Uganda yanapungua? Tanzania hatujafunga mipaka wala kuweka lockdown, kwa hiyo usijaribu kulinganisha Kenya na Tanzania, linganisha Kenya, Uganda na Rwanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu Kenya inaficha lakini Tanzania kazi yao Ni kuzika watu usiku.Hii habari unayo? View attachment 1444406
Kwa hivyo siku lockdown tena? Sasa imekuwa "partial lockdown"? You need to look up the meaning of the word lockdown.Nairobi, Mombasa zipo " under partial lockdown, mumeweka curfew, mnapima idadi kubwa ya watu kila siku, mumefunga mipaka, lakini yote hayo ni bure kabisa, idadi ya wagonjwa na vifo inazidi kuongezeka, si ni bora mkaacha maisha yaendelee kama kawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatujachukua hatua zozote za kuwaumiza wananchi, iwenye mnapiga watu na kuwauwa lakini maambukizi yanaongezeka?, hakuna mtanzania hata mmoja aliyepiga hata kibao na POLISI kuhusiana na Corona.Kwa hivyo siku lockdown tena? Sasa imekuwa "partial lockdown"? You need to look up the meaning of the word lockdown.
Ni kweli idadi inazidi kuongezeka kwetu na hilo ni wazi. Swali ni je: Aren't there new cases and deaths in Tanzania in the last one week?
Na endleeni kutochukua hatua mpka corons ikaisheSisi hatujachukua hatua zozote za kuwaumiza wananchi, iwenye mnapiga watu na kuwauwa lakini maambukizi yanaongezeka?, hakuna mtanzania hata mmoja aliyepiga hata kibao na POLISI kuhusiana na Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app