Wakenya waanza kusalimu amri na kukubaliana na Magufuli, waomba Uhuru Kenyatta kuiga mbinu za Magufuli

Wakenya waanza kusalimu amri na kukubaliana na Magufuli, waomba Uhuru Kenyatta kuiga mbinu za Magufuli

jiccho moja au ni jicho kombo, ziondoe post zangu tu lakini nabadika tu!!!! umeondoa reply zangu zote..bure kabisaa!
@umwalimu
hapo ni makaburi ya kigogo! Wanazika aliyekuwa mhudumu wa kituo cha kupokea wagonjwa wa corona


Dogodogo Centre! Halafu ulivyo laanika na kukosa aibu bado unachangisha hela za kununua PPE Endeleeni tu !
Translate Tweet


Image

6:16 AM · May 7, 2020·Twitter for iPhone
 
1588864727791.png
 
Punguza dozi jombaa, sasa hivi hata wenyekiti wa minada ya ng'ombe nchini Kenya hawawezi wakakubali kumuiga, kuhusishwa na au hata tu kuitwa jina Magufuli.
 
Zezrta wewe na nyanya ako. Wamekuzidi ww mwenye inferiority complex
Hivi unaona Tanzania tunapambana au tumekaa tu tushakubali liwalo na liwe?
Wakenya sio stupid kutaka waige kukaa tu. Naweza sema wanaongoza kwa akili East Africa, sio mazezeta ka sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapime tikiti kwanza pemgine mashine zao ziko faulty pia
Siwezi linganisha KE na TZ hata siku moja hahahaa, TZ hakuna chochote cha kujidai nilinganishe kwa sababu ipi?
Kenya wanapima sana usishangae kuona maambukizi mengi, Rwanda iondoe kabisa maana ni ka sehemu kadogo tu rahisi sana kumanage, huwezi linganisha Rwanda na Kenya wala Uganda. Na Kenya wapo responsible, lockdown yenyewe ilikua partial sio total lockdown kama Uganda. Nchi zote zina tofauti zake kubwa, Kenya wanajitahidi sana kupima ndiyo maana unaona idadi kubwa, tungekua na vifaa kama vya kwao vya kupima watu 5,000 kwa siku ungeona idadi yetu ambavyo ingepanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
True, Kenya haiwezi linganishwa na nchi mbovu kama Tz., linchi limezubaa, watu wengi hawana fikra za maono, ni uzembe tupu, serikali imewakalia kishenzi, we can't be compared to nonsense banana republic.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kenya and Tanzania must never be mentioned on the same sentence ni tusi kwa Kenya.
Wanaongoza kwa akili kwa kueneza maambukizi zaidi? Sasa hivi Kenya na Tanzania ndio wanaoeneza virusi kwenda Uganda na Rwanda, jiulize inawezekanaje Kenya ambayo imetumia mbinu sawa na Uganda na Rwanda lakini bado maambukizi yanaongezeka wakati Rwanda na Uganda yanapungua? Tanzania hatujafunga mipaka wala kuweka lockdown, kwa hiyo usijaribu kulinganisha Kenya na Tanzania, linganisha Kenya, Uganda na Rwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maambukizi Tz ni zaidi ya nchi yeyote Africa, mark my words, munaficha data, nyambaff, mko ovyo., with little annual revenue due to thin economy with huge population, ldc for life, sijui mtatokea wapi after corona.,
Huko Kenya ndio wanadondoka zaidi ya Tanzania, hafadhali Tanzania tunajaribu kutafuta " balance" kati ya kukinga kuenea kwa virusi, na kuepuka njaa, sasa hawa wakenya wamehamisha nguvu zote katika kupambana na Corona lakini wameshindwa maambukizi yanaongezeka kwa kasi, huku njaa inawakodolea macho, wamekosa kotekote.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi linganisha KE na TZ hata siku moja hahahaa, TZ hakuna chochote cha kujidai nilinganishe kwa sababu ipi?
Kenya wanapima sana usishangae kuona maambukizi mengi, Rwanda iondoe kabisa maana ni ka sehemu kadogo tu rahisi sana kumanage, huwezi linganisha Rwanda na Kenya wala Uganda. Na Kenya wapo responsible, lockdown yenyewe ilikua partial sio total lockdown kama Uganda. Nchi zote zina tofauti zake kubwa, Kenya wanajitahidi sana kupima ndiyo maana unaona idadi kubwa, tungekua na vifaa kama vya kwao vya kupima watu 5,000 kwa siku ungeona idadi yetu ambavyo ingepanda.
Joto la jiwe haoni hili, he is a deliberate ignorant ccm sycophant, shabiki wa ujinga tupu.,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joto la jiwe haoni hili, he is a deliberate ignorant ccm sycophant, shabiki wa ujinga tupu.,

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiye mjinga, wewe ni nchi gani hapa Africa ambayo askari wanauwa wananchi hovyo kuliko Corona kwa sababu wamechelewa kujifungia ndani?, nchi gani ambayo pamoja na kuweka "partial lockdown, Curfew na mambo mengine lakini bado maambukizi na vifo vinaongezeka?. Failed state.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaongoza kwa akili kwa kueneza maambukizi zaidi? Sasa hivi Kenya na Tanzania ndio wanaoeneza virusi kwenda Uganda na Rwanda, jiulize inawezekanaje Kenya ambayo imetumia mbinu sawa na Uganda na Rwanda lakini bado maambukizi yanaongezeka wakati Rwanda na Uganda yanapungua? Tanzania hatujafunga mipaka wala kuweka lockdown, kwa hiyo usijaribu kulinganisha Kenya na Tanzania, linganisha Kenya, Uganda na Rwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni juhudi zipi Kenya imetumia ambazo ni sawa na za Uganda na Rwanda? Is there a lockdown in Kenya like it was in Uganda and Rwanda?
 
Kenya wanafanya kitu ingine tofauti na taifa zingine za East Africa which is (CONTACT TRACING).
Serikali ikipata mgonjwa mmoja, wanaanzisha shuguli za kuwatafuta familia members pamoja na marafiki wenye amekutana na wao.
Wakipakana wote wanafungiwa for 14 days ndiyo wakapimwe.....wakipimwa unakuta hakuna ata mmoja ako na hizo virus. Na Hizo shuguli zote za kufutilia marafiki na familia ni lazima serikali ifanye hivo ndiyo izuie watu wasiendelea kuambukizana zaidi

1588961981860.jpg


..Tafuta kitu cha maana upeane joto la jiwe
 
Ni juhudi zipi Kenya imetumia ambazo ni sawa na za Uganda na Rwanda? Is there a lockdown in Kenya like it was in Uganda and Rwanda?
Nairobi, Mombasa zipo " under partial lockdown, mumeweka curfew, mnapima idadi kubwa ya watu kila siku, mumefunga mipaka, lakini yote hayo ni bure kabisa, idadi ya wagonjwa na vifo inazidi kuongezeka, si ni bora mkaacha maisha yaendelee kama kawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya wanafanya kitu ingine tofauti na taifa zingine za East Africa which is (CONTACT TRACING).
Serikali ikipata mgonjwa mmoja, wanaanzisha shuguli za kuwatafuta familia members pamoja na marafiki wenye amekutana na wao.
Wakipakana wote wanafungiwa for 14 days ndiyo wakapimwe.....wakipimwa unakuta hakuna ata mmoja ako na hizo virus. Na Hizo shuguli zote za kufutilia marafiki na familia ni lazima serikali ifanye hivo ndiyo izuie watu wasiendelea kuambukizana zaidi

View attachment 1444343

..Tafuta kitu cha maana upeane joto la jiwe
Tofauti ya Kenya na nchi zingine ni kwamba wakenya hawana akili hawajui nini wanafanya na nini wanataka. Hakuna nchi yoyote ambayo haifanyi "contact tracing" na kuwaweka chini ya karantini kwa siku 14, hata nchi yenye mgonjwa mmoja lazima hiyo kitu ifanyike.

Ninyi kutokana na ujinga wenu na ulimbukeni wenu wa kutojua mambo kwa undani, ndio mnaona "contact tracing" ni kitu "unique" hufanyika Kenya pekee. Kitu unique ambacho hufanyika Kenya pekee ni kupokea "food donations" na watu kufa kwa njaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom