Wakenya wachukizwa na Ngugi kwa kuendeleza Ukabila huko Catalonia

Wakenya wachukizwa na Ngugi kwa kuendeleza Ukabila huko Catalonia

Off point, tatizo lenu wakenya hampendi kujifunza kwa waliofanikiwa kutokana na kiburi chenu cha kujifanya mnajua kila kitu.

Hakuna ubishi kwamba Tanzania tumefanikiwa kutokomeza ukabila, Hakuna ubishi kwamba kwa kutumia lugha moja ya Kiswahili nchi nzima, ni miongoni mwa sababu kubwa katika kutokomeza ukabila, kwanini msiige hilo?.

Nani aliyesema Tanzania tunadharau lugha za asili?, humsikii Magufuli akizungumza baadhi ya maeneo, kama tungekua tunazidharau asingezungumza.

Huko vijijini huwa tunazungumza lugha zetu kwasababu zaidi ya 98% ya wakazi huko vijijini wanaelewa hiyo lugha, kwahiyo hakuna hatari ya watu kujitenga kutokana na "language barrier".

It is very uncivilized" kuzungumza lugha ambayo nusu ya watu waliopo hawaelewi hiyo lugha, hasa katika ofisi za serikali na public places. Hivi kweli unaingia ofisini au Hospitalini unakuta Daktari mkikuyu anazungumza Gikuyu na baadhi ya Nurses ambao ni wakikuyu, Daktari mjaluo anazungumza Kijaluo na Nurses wa kijaluo, eti kwasababu wanalinda Mila na desturi zao, Nonsense.

Kuhusu wanaoandika kumkashifu Prof. Ngugi, muhimu sio idadi ya watu wangapi wameandika, muhimu ni kilichoandikwa, ukisoma wote walioandika wanazungumzia umuhimu wa Lugha katika kuunganisha nchi.

Unapozungumza lugha inayoeleweka na watu wengi, kunasaidia kuunganisha jamii, lakini unapotumia lugha ya jamii moja na kuacha kundi kubwa, huko ni kutenga na kuigawa jamii husika.

Umuhimu wa Kiswahili ni
1)Ndio lugha inayoeleweka kwa watu wengi zaidi Kenya
2)Hakuna kabila lolote katika Afrika au Kenya ambalo linahodhi au kumiliki Kiswahili

Kwahiyo Kiswahili kinaunganisha watu wa Kenya na kinaeleweka kwa wakenya wengi bila kujali makabila yao.

Tumieni Kiswahili ili kuleta wakenya pamoja na kupambana na ukabila. Acheni kuendekeza ukabila kwa kisingizio cha kulinda mila na desturi, huo ni upumbavu na ni hatari Sana.
Kwa hivyo kulingana na wewe, sisi Wakenya hatutumii kiswahili kuleta umoja? Kama hujui kiswahili ndicho lugha ambacho kila Mkenya huzungumza. Ingawa kiswahili cha Kenya ni kibovu kushinda chenu ila huku tunakitumia kiswahili maeneo yote. Tunatumia kiswahili hata kushinda kiingereza. Mjaluo akitaka kuongea na Mkikuyu, lugha watakayotumia ni kiswahili. Kiswahili tayari ni lugha ya taifa na inatumika ofisini mwa serikali na inaruhusiwa kutumika bungeni na wajumbe wanaotaka kukitumia.
 
Kwa hivyo kulingana na wewe, sisi Wakenya hatutumii kiswahili kuleta umoja? Kama hujui kiswahili ndicho lugha ambacho kila Mkenya huzungumza. Ingawa kiswahili cha Kenya ni kibovu kushinda chenu ila huku tunakitumia kiswahili maeneo yote. Tunatumia kiswahili hata kushinda kiingereza. Mjaluo akitaka kuongea na Mkikuyu, lugha watakayotumia ni kiswahili. Kiswahili tayari ni lugha ya taifa na inatumika ofisini mwa serikali na inaruhusiwa kutumika bungeni na wajumbe wanaotaka kukitumia.
Tatizo ni kutumia lugha zenu za makabila katika jamii. Vipi mnaruhusu redio na vyombo vya habari virushe kwa kutumia lugha za makabila yao?, vipi timu za mpira zinamrengo wa kikabila hadi mabango ya Gormahia FC yameandikwa kijaluo?.

Lazima lugha za makabila zipigwe marufuku kutumika katika sehemu za kazi, vyombo vya habari, na katika "official government and public events" hadi mtakapojikuta kwamba ukabila hauna nguvu kama Tanzania ndio mtalegeza hizo sheria, lakini kwa sasa lazima muwe wakali sana na huu upuuzi wa kuendekeza "Catalysts" za kuchochea ukabila, lugha ni catalyst kubwa sana ya kuchochea ukabila.
 
Ngugi should have spoken in Kiswahili when taking prize
Kitendo cha Prof. Ngugi wa Thiong'o kutumia lugha ya Gikuyu wakati akipokea tuzo huko Catalonia kimeendelea kushutumiwa na wakenya mbalimbali na kuelezewa kama sehemu ya kuendeleza ukabila ambao umekua ni tatizo kubwa na lakudumu linaloisumbua Kenya.

Jambo la kushangaza na kusikitisha ni kuona baafhi ya wakenya hapa JF walipongeza kitendo hicho hatari akichokifanya Prof. Ngugi ambaye ni miongoni mwa waasisi wa tatizo la ukabila linaloisumbua Kenya.
Yupo sahihi. Kikuyu., kiingereza etc ni sawa. Kwanza amejivunia lugha ya mama yake.
 
Tatizo ni kutumia lugha zenu za makabila katika jamii. Vipi mnaruhusu redio na vyombo vya habari virushe kwa kutumia lugha za makabila yao?, vipi timu za mpira zinamrengo wa kikabila hadi mabango ya Gormahia FC yameandikwa kijaluo?.

Lazima lugha za makabila zipigwe marufuku kutumika katika sehemu za kazi, vyombo vya habari, na katika "official government and public events" hadi mtakapojikuta kwamba ukabila hauna nguvu kama Tanzania ndio mtalegeza hizo sheria, lakini kwa sasa lazima muwe wakali sana na huu upuuzi wa kuendekeza "Catalysts" za kuchochea ukabila, lugha ni catalyst kubwa sana ya kuchochea ukabila.
Lugha sio catalyst as you claim ....Kenyans embrace each other's cultures and languages.
 
Lugha sio catalyst as you claim ....Kenyans embrace each other's cultures and languages.
Lazima mjifunze kutoka kwa watu waliofanikiwa, ni jambo la kushangaza sana kukuta Tanzania ukabila ni kama haupo wakati Kenya watu wanachinjana kwa sababu za ukabila, cha kushangaza zaidi Kenya wanashindwa hata ku- copy na ku-paste. Sisi tulifanikiwa kwa kufuta uongozi wa chiefs na kuzuia lugha za makabila kutumika katika government places, pia tukazuia mtu kuulizwa kabila lake katika sehemu za kutolea huduma za kijamii, unless it is absolutely necessary.
 
Back
Top Bottom