Fake fake fake newsTch! Kumbe ni utani wa mtandao ndo unaleta hapa...
Hii kali.Na huyo Rooney akibaki bongo siku 2 tu kosa! Lazima tulee mimba yake!
Ujinga gani. Nimeweka hili swala tujadili kistarabu. Mwenye page ya Rooney mnatia aibu sana.Huo ujinga nenda kambie nyanyako
Hilo sio swala laajabu hata huko ulaya yanatokea tena sana. Walipo kuja Brazil hapa Tanzania Kaka pia alikumbatiwa. Nikuonyesha mapenz ya kweli. Mada inabaki kwenye Mt. Kilimanjaro, kwa nini mnadai ipo kwenu.Rooney mwenyewe anawashangaa waswahili mnataka kumbaka hadharani jamani[emoji3] [emoji3] View attachment 541508wazee wa tigo mmetisha duniani leo duh!!
Mbona hamumkumbatii na kumuonyeshha hayo mapenzi yenu ya dhati huyu asiye wasomesha wazazi? Lazma mdharaulike tuu hamna namnaHilo sio swala laajabu hata huko ulaya yanatokea tena sana. Walipo kuja Brazil hapa Tanzania Kaka pia alikumbatiwa. Nikuonyesha mapenz ya kweli. Mada inabaki kwenye Mt. Kilimanjaro, kwa nini mnadai ipo kwenu.
Haha gazeti la daily mail haliwachukii watz msihofu, linawadharau tuu..Tayari wameshaanza. Wakenya hawalali. Sisi mbona hatufuatilii yenu
View attachment 541511
Mkuu hawa jamaa wanatia aibu kweli. Tunapo waita Manyagau hatudanganyi tunamaanisha. Wakenya akili zao hazina akili. Daraja lakigamboni wamewahi dai lipo Kenya. Jamani hawani rahana sio bure.Tayari wameshaanza. Wakenya hawalali. Sisi mbona hatufuatilii yenu
View attachment 541511
Ronaldo alishakumbatiwa, mesi pia na wengine wengi, tena huko huko ulaya! Angalia hii kama bado una mdomo tukuletee nyingineRooney mwenyewe anawashangaa waswahili mnataka kumbaka hadharani jamani[emoji3] [emoji3] View attachment 541508wazee wa tigo mmetisha duniani leo duh!!
Hao ndio wakenya ninaowajua[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tayari wameshaanza. Wakenya hawalali. Sisi mbona hatufuatilii yenu
View attachment 541511