- Thread starter
- #41
Kama ni utani mbona Kenya airways ndege zake zimeandikwa Mount Kilimanjaro. Huo sio wizi?Tch! Kumbe ni utani wa mtandao ndo unaleta hapa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni utani mbona Kenya airways ndege zake zimeandikwa Mount Kilimanjaro. Huo sio wizi?Tch! Kumbe ni utani wa mtandao ndo unaleta hapa...
Wewe nimeshakwambia ni boya sana hujui nchi inatoka wapi inaenda wapi, huwezi kujibu hoja!Hahaa wakenya tuzidi kufanya yetu hadi kieleweke, waswahili wameshindwa kuandika chochote cha maana mitandaoni wote wamejazana kule insta ku like misambwanda tu..nendeni kwa ras simba awafundishe ka english japo na nyinyi msikike kidogo...narudia hakuna ataketupangia ss kama wakenya tuandike nn mitandaoni si mfalme na mathalan sio mswahili yeyote!
Just google juma nyosso ,kama humfahamu utakaelewa fika katabia kao pendwa hawa jamaa, yaani dunia imeshangazwa sana na ushoga wao, magazeti ya uingereza yatawachafua kesho, hadi basi alafu waingie kulialia humu eti wakenya ooohh ohhh.jamaa sijui ni shoga...kakimbilia Rooney na kumrukia...hawa watz sijui wana nini...ushamba kwel kwel...wanatutia wana afrika mashariki aibu..Rooney hawez akarudi tena...yaani jamaa amehakikisha sehemu nyeti zake zimemkamata Rooney...sijui ni hug ya aina gani ile...yule jamaa atakuwa ana kasoro...
Acha wivu wa kike angekuwa kenya mngelinga sana mna wivu mpaka mnaboa maproud kila dakika nyie wakenya Mungu anawaonaRooney mwenyewe anawashangaa waswahili mnataka kumbaka hadharani jamani[emoji3] [emoji3] View attachment 541508wazee wa tigo mmetisha duniani leo duh!!
yaani wakenya ni wachokozi sana kinachofuata ni kuwazingua tu...Kama ni fake fake fake news mbona ndege za Kenya airways mmeandika Mount Kilimanjaro bila kupapasa macho na akili zenu. Huu sio wizi??View attachment 541560
Tulisha lijadili kwa kina what you are trying to insinuate here, pitia huko alafu maana mlishashindwa ku 'patent' the name kilimanjaro hivo tutalitumia tuu hadi akheraUsikwepeshe mada. Kwanini mnasema Mt.Kilimanjaro ipo Kenya?? Hadi kwenye ndege mnaandika Mt Kilimanjaro hizo za KQ?? Tupeni sababu za unyangau wenu!!Tupo serious wewe unaanza kuleta utumbo humu ndani!!View attachment 541573View attachment 541573
Zimeandikwa "mount kilimanjaro from kenya"?Kama ni fake fake fake news mbona ndege za Kenya airways mmeandika Mount Kilimanjaro bila kupapasa macho na akili zenu. Huu sio wizi??View attachment 541560
Hahaa wakenya tuzidi kufanya yetu hadi kieleweke, waswahili wameshindwa kuandika chochote cha maana mitandaoni wote wamejazana kule insta ku like misambwanda tu..nendeni kwa ras simba awafundishe ka english japo na nyinyi msikike kidogo...narudia hakuna ataketupangia ss kama wakenya tuandike nn mitandaoni si mfalme na mathalan sio mswahili yeyote!
Hii nayo ya Kenya airways ni Trolling au niunyangau??Hebu acheni ushamba kuna kitu kinaitwa trolling, sacarsm na huyo jamaa alijua wabongo wengi watakuwa kwenye page Rooney ili apate attention, likes na comments
Trolling tu ya kawaida msitokwe mapovu
Haahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Labda kibiti ndio ipo kwao!
Watukome
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Hilo neno chini sio Mount Kilimanjaro?? Bendera hapo kwenye ndege sio ya Kenya. Hii ndege unataka kusema haija andikwa hapo chini Mount Kilimanjaro na Bendera hiyo sio ya Kenya.?? Kweli wakenya ni manyagau mliokithiri.Zimeandikwa "mount kilimanjaro from kenya"?
Sio wizi kiongoziKama ni utani mbona Kenya airways ndege zake zimeandikwa Mount Kilimanjaro. Huo sio wizi?View attachment 541566
Una gubu!Hilo neno chini sio Mount Kilimanjaro?? Bendera hapo kwenye ndege sio ya Kenya. Hii ndege unataka kusema haija andikwa hapo chini Mount Kilimanjaro na Bendera hiyo sio ya Kenya.?? Kweli wakenya ni manyagau mliokithiri. View attachment 541586View attachment 541586