Wakenya wadai Mt. Kilimanjaro ipo Kenya kwenye FB page ya Wayne Rooney. Ni lini mtaacha wizi huu?

Wakenya wadai Mt. Kilimanjaro ipo Kenya kwenye FB page ya Wayne Rooney. Ni lini mtaacha wizi huu?

Nyangau mwingine katika ubora wake. Jambazi mkubwa wewe kutoka kwa Moi. Naona ulikuwa na Uhuru bar mkinywa pombe. Umekuja hapa kutapika story zakinyangau. Kalale utaandika kesho pombe zikiisha.View attachment 541653

Hata ututukane, wewe hujui ni mkataba gani Kenya na Tanzania imefanga kuyatangaza vivutio hivi vya kitalii. Kwao ni biashara, sio ushindani.

Maneno yako yenye chuki hayatabadili ukweli ya kuwa ni Kwnya imetangaza vivutio vyenyu kuwaliko nyinyi mnavyofanya.
 
sasa wewe ldc unalialiia kama mtoto kanyimwa peremende. munafanyiwa advert ya tourist destination site ya bure ya mlima wenu na unacatch mafeelings ka dem. pesa za ku-run advert kwa CNN na BBC pia hamuna.
do you know how much it costs to have a 10seconds ad running on CNN?
ask yourself why Kenya always beats you in attracting more tourists and tourism revenues year in year out. mind you, Kenya has less to offer compared to you despite you being so cheap and having a wide variety
Tanzania tunatangaza sana huko CNN penyewe wanatujua sana tu
q8.jpg
151012123627-on-the-road-tanzania-1600-large-tease.jpg
 
sasa wewe ldc unalialiia kama mtoto kanyimwa peremende. munafanyiwa advert ya tourist destination site ya bure ya mlima wenu na unacatch mafeelings ka dem. pesa za ku-run advert kwa CNN na BBC pia hamuna.
do you know how much it costs to have a 10seconds ad running on CNN?
ask yourself why Kenya always beats you in attracting more tourists and tourism revenues year in year out. mind you, Kenya has less to offer compared to you despite you being so cheap and having a wide variety
Nyie mna pesa ya kutangaza premier league, mtatoa wapi mpaka muisaidie Tanzania.
new-sunderland-manager-dick-advocaat-during-a-sunderland-afc-press-picture-id467013940
 
Nyie mna pesa ya kutangaza premier league, mtatoa wapi mpaka muisaidie Tanzania.
new-sunderland-manager-dick-advocaat-during-a-sunderland-afc-press-picture-id467013940
haya ndio mambo tuliyokuwa tukiyashuhudia last season katika uwanja wa KCOM Stadium wakati Hull City ikiwa uwanjani.
images-1.jpeg

Kenyan flag & Kenyan brand being on display kwenye banners za stadium... and the Tshirts too.
watch Everton's home games this season to see more
 
Kwa

Kwani hii ni nini? Umeanza kuleta siasa hapa.! Acha ujinga tupo serious juu yahili swala. Nyangau mwingine uliekosa matunzo. Wakenya mbadilike muache propaganda zakizamani. Unasikia nyangau??View attachment 541651View attachment 541652 View attachment 541651
Hiyo bado haijafika na ikifika basi iandikwe...tatizo letu watz hatujaandaliwa tangu utotoni kutofautiana hoja...mtu akiwa tofauti na hoja yako tayari unamwona kama mbishi ama mjinga kama ulivyoniita...kumbuka sifa kuu ya binadamu ni kutofautiana hoja na ndio maana kuna mikutano, makongamano na social platform kama JF ili mwisho wa siku kufikia muafaka....

Nimekuambia suruhisho ni kuwa na ndege zetu basi nimalizie kabisa zenye safari za kimataifa ambazo zitakuwa zinabeba abiria kutoka nje ya nchi direct to Tanzania...Kilimanjaro inajulikana kama The Roof of Africa...KLM wamechukua kama opportunity kwa kuwa wao route ya Amsterdam to Kilimanjaro (KIA) wamekuwa wakitoa huduma zaidi ya miaka 15 na mpaa sasa wanaendelea lakini wenye nchi hatuna hiyo route (unabaki unalalamika na kuwaita wenzako wajinga kisa wametoa hoja tofauti na wenzako)

Hizo ndege zimeandikwa hivi karibuni baada ya ATC kupoteza route zake za Kimataifa lakini ndege zote zile Boeing ziliandikwa Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro...na ATC yenyewe ilikuwa inajulikana kama The Wing of Kilimanjaro (jina the wing of Kilimanjaro nani kalitoa kama sio sisi alafu unalaumu KQ) hata kwenye matangazo ya biashara na tulikuwa tunaiita kwa jina lake Air Tanzania lakini siku hizi watu mnafupisha ATCL (sasa nani alieturoga kama sio sie wenyewe)

Ninaijua na nina uchungu na Air Tanzania kuliko wewe yaani tangu ina ndege ile ndogo Twin Otter, Fokker Friendship achilia mbali Boeing na enzi hizo ilikuwa inapiga route mpaka Dodoma na mikoa mingine kibao

Tuache kutafuta visingizio unajua kukanusha kuna gharama kuliko kutenda...waache waite sie tufanye yetu kuliboresha shirika hayo mambo mengine yatajulikana

Ethiopian Airline hiyo
Ethiopia airline kilimanjaro.jpeg
 
haya ndio mambo tuliyokuwa tukiyashuhudia last season katika uwanja wa KCOM Stadium wakati Hull City ikiwa uwanjani.View attachment 541695
Kenyan flag & Kenyan brand being on display kwenye banners za stadium... and the Tshirts too.
watch Everton's home games this season to see more
Upuuzi tu hiyo sportspesa kuna watanzania wenye hisa kwa Tanzania sportspesa pia wazungu nao wana hisa za kutosha badly enough hapo nimeongelea tourist attractions advertisement sio mambo ya gambling Dah aise
 
Ukiingia kwenye page ya Facebook ya Wayne Rooney utasitaajabu ya Mkenya. Wakenya wanadai Mt. Kilimanjaro ipo Kenya bila kupapasa macho au aibu. Page ya Rooney imegeuka battle ground ya Tanzania vs Kenya vs Nigeria. vs Ghana. Ningeomba tujadili hili swala nanyie wakenya. View attachment 541502View attachment 541504
Msishangae hata wazungu na wenyewe ni washamba tuu. Mtu ana safiri anashindwa hata kuangalia Google Map yake na kujua kwamba. Hiki kitu kipo sehemu gani? Ya afrika,
 
We

Wewe sio mtanzania. Nikoko wahuko Kenya. Usijifanye mtanzania kenge wewe.
Wakenya wanajulikana mkuu...mie ni Mtanzania mwenye maono tofauti na wewe ambae mtu akienda against unapanic ...fungua profile yangu angalia nyuzi ambazo nimechangia huwezi kuta nimetukana mtu ama nini ...ninaifahamu ATCL kuliko wewe unavyoifahamu hata tukiitwa tutoe maoni ya nini kifanyike nina mambo mengi mazuri ya kuchangia kuhusu mustakabari wa shirika letu kuliko wewe

Unachofanya wewe ni sawa na mwanafunzi ambae anaulizwa sababu ya kwanini amefeli anajibu kwa kuwa wenzake waliiba paper (je wasingeiba ina maana angefaulu)...ndo sawa na wewe ndege hatuna za kutosha tunawalaumu KQ ambao wao ndio wanatuletea wageni (nimekuonyesha Ethiopian airlines nayo ina Mount Kilimanjaro mbona hujawaponda)

ilikuwepo ndege imeandikwa Kilimanjaro hapo chin (Boeing 737)
Kiimanjaro.jpg

Ilikuwepo imeandikwa Rufiji (Fokker Friendship)
Rufiji.png

Alietukoroga huyu hapa (Partnership na South Africa) - tukafuta na Twiga kwenye mkia - nani wa kulaumiwa (tujifunze self assessment)
Alieturoga.jpg

Tukarudi wenyewe baada ya kuvunja mkataba na South (tukakumbuka kumrudisha Twiga japo hakunoga kama yule wa mwanzo enzi za mwalimu na tukarudisha The Wings of Kilimanjaro na tukasahau kuandika (ikabaki Airbus hap mbele) - kosa la nani hapa mkuu kama sio letu wenyewe
Wing of.jpg

Tukaleta Bombardier (hatukuandika alafu wenzetu wanaandika tunabaki kulalamika)
Hujaweka.jpg

Tujifunze kujifanyia self assessment...Mlima Kilimanjaro ni icon yetu ya Africa...wakiuandika wakifanya nini mwisho wa siku watalii wataingia Tanzania na kupanda
 
hili suala ingawa tunalichukulia kwa masihara ila limetuathiri mno,bado kuna watu wengi wanaamini huu mlima upo Kenya,lazima turudi back to basic tujitangaze ili ukweli ujulikane,why wakati balozi wa Kenya anapofanya maonyesho ya Kenya ughaibuni na kutangaza huu mlima upo Kenya,balozi zetu zinafanya nini kwa hili,mabalozi wetu ambao wengi ni cadre deployed wametulia kimya ,why mpaka leo bado suala hili la mlima ni tatizo?
 
mimi si walaum wakenya ata kidogo, maana ukiona opportunity catch it, sisi ndege za moja kwa moja hatuna wao wanazo watalii wakija wanafikia kwao au wanatumia Ethiopia Airline, njia yetu ya anga sijajua tangu ibinafsishwe kama isharudishwa au la ni kitu cha kushugulikia, ivyo kitengo cha advertisement hakiko makini. Tulijaribu uliza Serengeti kule Makao-Seronela eti wanashugulikia. Pia kiukweli kuuona mlima Kil.vizuri ni ukiwa Kenya Ila kuukwea ni Tz.
Ila sasa inabidi tushikiliane vizuri na Wakenya,maana tunaingia kwenye one currency, biashara sasa za ndani kusafirisha ni bure hakuna ushuru wa forodha, ivyo acha wao wafanye advert ambayo hatuwezi, na wakifika Kenya watakuja tu wenyewe kuukeya zaidi.
 
Kama vituo vya TBC Taifa awajielewi itawezekanaje? Nchi kutambulika
 
hili suala ingawa tunalichukulia kwa masihara ila limetuathiri mno,bado kuna watu wengi wanaamini huu mlima upo Kenya,lazima turudi back to basic tujitangaze ili ukweli ujulikane,why wakati balozi wa Kenya anapofanya maonyesho ya Kenya ughaibuni na kutangaza huu mlima upo Kenya,balozi zetu zinafanya nini kwa hili,mabalozi wetu ambao wengi ni cadre deployed wametulia kimya ,why mpaka leo bado suala hili la mlima ni tatizo?

Ndugu, nawaombeni tu mtoe dhibitisho ya Kwamba Kenya inadai mlima huo ipo Kenya. Naomba tu. Na msinipe zile vijembe vya mtandao, bali the official statement from Kenya, be it from KTB or KQ inayosema mlima Kilimanjaro ni ya Kenya.
 
jamaa sijui ni shoga...kakimbilia Rooney na kumrukia...hawa watz sijui wana nini...ushamba kwel kwel...wanatutia wana afrika mashariki aibu..Rooney hawez akarudi tena...yaani jamaa amehakikisha sehemu nyeti zake zimemkamata Rooney...sijui ni hug ya aina gani ile...yule jamaa atakuwa ana kasoro...
Povu ! Ulitaka umkumbatie wewe[emoji23] tafuta alshababu mmoja mkumbatie
 
hehe...hawa jamaa hawana akili...eti wameibiwa mlima...mtu anaiba aje mlima? pengine mnifunze nielewe...
 
Kwanini msipartent hilo jina na kufanya marufuku taifa au kampuni lolote kulitumia?

Kenya airways haisemi ya kwamba huyo mlima upo Kenya wala kuwapotosha wasafiri kutoka ng'ambo ya kwamba mlima huo upo Kenya.
Lakini si ni kweli mtu anaweza kuutazama mlima huo akiwa Kenya?

Na kama hawa wasafiri wangependa kufika kwenye mlima huo, si ni lazima watakuja Tanzania, wakiletwa hapo na ndege ya KQ.

Kwa hivyo manufaa itakuwa kwa mataifa yote mawili, hasa Tz. Sisemi hili kwa ubaya, lakini Kenya kwa sasa ndio iko na uwezo zaidi ya kutangaza hivi vivutio vya kitalii vya kanda hili kote duniani kushinda Tanzania, nanyi mmewahi kukiri hilo humu.
KQ hawasemi ya kwamba Kilimanjaro ama Serengeti yako Kenya. Surely, that would be harmful to the company to lie to its customers like that. All they say is that, watawafikisha kwenye vivutio vile, na yeyote atakuwa na interest ya kufika sehemu hizo, bila shaka watapewa maelezo yote.

It is a symbiotic relationship btn the Kenyan airline and the Tanzanian tourism sector going on here. If Tanzania didnt like it, they would have demanded of KQ to stop advertising its attraction sites long time ago.
.....Somehow hii ni comment nzuri kutoka kwa our Neighborhood Kenya, Be blessed

Dedication Lucky Dube- Together as one
 
Back
Top Bottom