Wakenya wadai Mt. Kilimanjaro ipo Kenya kwenye FB page ya Wayne Rooney. Ni lini mtaacha wizi huu?

Wakenya wadai Mt. Kilimanjaro ipo Kenya kwenye FB page ya Wayne Rooney. Ni lini mtaacha wizi huu?

Ndio maana nilkua nauliza wizara yenye dhamana iko wapi???
 
many Kenyans don't even know their own map and history wamekalia ukabila tu and which tribe borders which tribe. A lot of them think Somalia is a county in Nothern Kenya sembuse Mt. Kilimanjaro? Ni kuwaacha tu wakihamka watajitambua.
 
Hao ndio wakenya ninaowajua[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hata samata walisema ni wao

Diamond ni wao pia

[emoji119] [emoji119] [emoji33] [emoji33] [emoji33]

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.


Wamchuke tu Diamond...ila watuachie wanamuziki wetu wa ukweli.
 
Wamchuke tu Diamond...ila watuachie wanamuziki wetu wa ukweli.
Kwa ujeuri wao hatuwezi kuwapa hata bure

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Mbona hamumkumbatii na kumuonyeshha hayo mapenzi yenu ya dhati huyu asiye wasomesha wazazi? Lazma mdharaulike tuu hamna namnaView attachment 541520
Huyo tumesha mkumbatia na kumpigia magoti yakumsujudu. Huyo ndo Musa wa Tanzania. Yani navyompenda mimi sijui nimfanyie lipi la upendo ambalo sijawahi mfanyia mtu. Kwanza muangalie alivyo kuwa simple kimaisha. Hapendi uzungu waovyo ovyo. Pia sisi shule zetu sio zakulea akina mama wenye watoto. Hatutaki wazazi mashuleni. Msituletee upuuzi wa wazungu. Mada bado nikwanini mnakuwa wezi hadi mnaamisha visivyo amishika kupeleka Kenya??
 
Rooney mwenyewe anawashangaa waswahili mnataka kumbaka hadharani jamani[emoji3] [emoji3] View attachment 541508wazee wa tigo mmetisha duniani leo duh!!
IMG_20170713_214404.jpg


Huyu naye utasemaje wewe mkenya usiyejua nchi inatoka wapi na kwenda wapi!?

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Hahaa wakenya tuzidi kufanya yetu hadi kieleweke, waswahili wameshindwa kuandika chochote cha maana mitandaoni wote wamejazana kule insta ku like misambwanda tu..nendeni kwa ras simba awafundishe ka english japo na nyinyi msikike kidogo...narudia hakuna ataketupangia ss kama wakenya tuandike nn mitandaoni si mfalme na mathalan sio mswahili yeyote!
 
wakati mwingine huwa mnawalaumu kenye bure, nilichogundua kenya huwa hawaju
 
Haina haja ya kuyumbishwa na hawa narrowed mindset, Everton wenyewe mwisho wa match wametupaisha vizuri tu na bango lao ni "ASANTE TANZANIA"
 
Mkuu hawa jamaa wanatia aibu kweli. Tunapo waita Manyagau hatudanganyi tunamaanisha. Wakenya akili zao hazina akili. Daraja lakigamboni wamewahi dai lipo Kenya. Jamani hawani rahana sio bure.
akili haina akili...duh! ndio nini hio
 
Siwaje Tz tuwape uraiatu!

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
jamaa sijui ni shoga...kakimbilia Rooney na kumrukia...hawa watz sijui wana nini...ushamba kwel kwel...wanatutia wana afrika mashariki aibu..Rooney hawez akarudi tena...yaani jamaa amehakikisha sehemu nyeti zake zimemkamata Rooney...sijui ni hug ya aina gani ile...yule jamaa atakuwa ana kasoro...
 
Wakenya Now Wako Na Stress Za Uchaguzi

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Tch! Kumbe ni utani wa mtandao ndo unaleta hapa...
Sio utani haiwezi waongee watu zaidi ya kumi useme utani. Mimi kuna mkenya tumewahi bishana kipindi nipo South Africa hadi tukatumia map lakini bado alionyesha kuto rizika hata kidogo. Nilijiuliza kwa nini mnaipigania Kili. Kwenye milango ya ndege mmeandika mt kilimanjarot
 
jamaa sijuini shoga...kakimbilia Rooney na kumrukia...hawa watz sijui wana nini...ushamba kwel kwel...wanatutia wana afrika mashariki aibu..Rooney hawez akarudi tena...
Wanafanya mambo ya kishoga alafu wanamsifia jamaa, akili sijui za kuazima ama nini, ila hongera kwa bbc swahili kwa kuliangazia, dunia iwaelewe walivyo..

19990077_1606635322688460_7308213684760607660_n.jpg.jpeg
 
jamaa sijui ni shoga...kakimbilia Rooney na kumrukia...hawa watz sijui wana nini...ushamba kwel kwel...wanatutia wana afrika mashariki aibu..Rooney hawez akarudi tena...yaani jamaa amehakikisha sehemu nyeti zake zimemkamata Rooney...sijui ni hug ya aina gani ile...yule jamaa atakuwa ana kasoro...
IMG_20170713_214404.jpg



Kumbe weww pia ni mshamba kweli kweli! Hayo ni mapenzi katika soka! Naona inashangaa mwafrika kumkimbatia mzungu!

Haya sasa mshangae na huyo mzungu anayemkumbatia mwafrika! Huyo ni mzungu wa Wales!

Badilikeni nyie mjue nchi inatoka wapi kwenda wapi!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
akili haina akili...duh! ndio nini hio
Hiyo ni sahihi kabisa, mda mwingine akili zenu hazina akili

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Back
Top Bottom