Kibiti vipi?Hili povu zito sana. Ni kichaa pekee anaweza toa povu zito hivi.
Mgambo wa al shabab mmewashinda wakati wanatumia marungu, sime na manati. Sasa ujitutumue kwa Jeshi pendwa la Wananchi wa Tanzania. Iliwanyoosha M23, waliopindua Comoros, Waliopindua Seychelles, Nduli dadaa Idd Amin kwa muda mfupi sana.
Acheni mbwembwe nyingi.
JWTZ haijaingia huko ila kuna polisiKibiti vipi?
JW wapo na wana geti lao kabla ya kuingia Kibiti..JWTZ haijaingia huko ila kuna polisi
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Hiyo waachie Mombasa RepublicSasa bandari watachukua akina nani?
sychelles na comoros ni mitaa c nchi ka nyi ni wanoma muingie somalia.acha ulimbwende kijana .jeshi lenu liko chini sanaHili povu zito sana. Ni kichaa pekee anaweza toa povu zito hivi.
Mgambo wa al shabab mmewashinda wakati wanatumia marungu, sime na manati. Sasa ujitutumue kwa Jeshi pendwa la Wananchi wa Tanzania. Iliwanyoosha M23, waliopindua Comoros, Waliopindua Seychelles, Nduli dadaa Idd Amin kwa muda mfupi sana.
Acheni mbwembwe nyingi.