Wakenya wakichapana tena, dawa yao kuwagawa tu!

Wakenya wakichapana tena, dawa yao kuwagawa tu!

Hili povu zito sana. Ni kichaa pekee anaweza toa povu zito hivi.

Mgambo wa al shabab mmewashinda wakati wanatumia marungu, sime na manati. Sasa ujitutumue kwa Jeshi pendwa la Wananchi wa Tanzania. Iliwanyoosha M23, waliopindua Comoros, Waliopindua Seychelles, Nduli dadaa Idd Amin kwa muda mfupi sana.

Acheni mbwembwe nyingi.
Kibiti vipi?
 
Idiotic post. How can you wish that on your neighbor?
 
Matamshi ya wanasiasa Kenya sio mazuri kwa uchaguzi ujao yanatisha na kuogopesha
 
Hili povu zito sana. Ni kichaa pekee anaweza toa povu zito hivi.

Mgambo wa al shabab mmewashinda wakati wanatumia marungu, sime na manati. Sasa ujitutumue kwa Jeshi pendwa la Wananchi wa Tanzania. Iliwanyoosha M23, waliopindua Comoros, Waliopindua Seychelles, Nduli dadaa Idd Amin kwa muda mfupi sana.

Acheni mbwembwe nyingi.
sychelles na comoros ni mitaa c nchi ka nyi ni wanoma muingie somalia.acha ulimbwende kijana .jeshi lenu liko chini sana
 
Back
Top Bottom