Wakenya Wakisaka Kazi za Ugaibuni

Wakenya Wakisaka Kazi za Ugaibuni

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
1,907
Reaction score
3,560
Huu ni mstari mrefu wa watu 8000 vijana wa Kenya waliojitokeza kwenye

usaili wa kwenda kufanya kazi nchi ya Qatar
 

Attachments

  • FB_IMG_1729962178295.jpg
    FB_IMG_1729962178295.jpg
    49.6 KB · Views: 8
Afrika..., Yaani our fore fathers wangefufuka leo wakaona yanayoendelea wangefariki tena kwa mshituko na mshangao wa masikitiko...
Viongozi wa Afrika kwa muda mrefu wamekosa maono ya kusaidia wananchi

wao ni matumbo tu, ufisadi na kukang'ang'ania madaraka.
 
Elimu ya Kenya inamfanya mkenya afanye kazi sehemu yeyote duniani.Sasa mtanganyika aende Qatar akiongea kizigua na kimakonde au ze ze ze nani atamuelewa?
 
Huu ni mstari mrefu wa watu 8000 vijana wa Kenya waliojitokeza kwenye

usaili wa kwenda kufanya kazi nchi ya Qatar
Katika kitu ambacho hii serikali ya ccm imekiweza ni kutuaminisha tupo kwenye nchi nzuri sana na yenye kila kitu huko nje ni vita na mateso..

Lakini hata wewe ukiangalia uhame bongo uende wapi sasa kwenye mserereko mtu hulipi kodi na unafanya mishe zako fresh bila shida..
Na ukienda huko yanga na simba utazionea kwenye tv gani ebu imagine story za vijiweni huko kwingine hakuna.

Na nikifikiria misambwanda ya madem wa bongo hapa ndio kabisa sitoki yaani hapa hatoki mtu.
 
Elimu ya Kenya inamfanya mkenya afanye kazi sehemu yeyote duniani.Sasa mtanganyika aende Qatar akiongea kizigua na kimakonde au ze ze ze nani atamuelewa?
Sio kweli waarabu wanenda wengi sana ulaya na marekani na hawajui ata salamu ya kizungu zaidi ya assalam aleikum na wanatoa hii ya kuama nchi ni spirit mzee na inategemea na hali ya nchi yenu.
 
Sio kweli waarabu wanenda wengi sana ulaya na marekani na hawajui ata salamu ya kizungu zaidi ya assalam aleikum na wanatoa hii ya kuama nchi ni spirit mzee na inategemea na hali ya nchi yenu.
Utafanyaje kazi bila kujua lugha, hao Wakenya wanaenda kama Proffesionals

sio wakimbizi uwe una elewa mambo
 
Nomadic life ni historia ya mwanadamu....

Hakuna jipya chini ya jua, aliyeko ndani nataka kutoka aliye nje anataka kuingia.

Kabla ya kuweko kwa mioaka ya nchi enzi za ujima kizazi cha miaka hiyo kilihama kutoka eneo moja kwenda jingine kutafuta eneo litalomfaa na jamii yake na mifugo vigezo ni maji, malisho ya wanyama na mahala wanaweza pata chakula.

Kutoka afrika kwenda ulaya leo ama wanaotoka ulaya kurudi afrika na kwingineko ni historia inajirudia 🙂.
 
Okay Mkuu pamoja na hayo Watanzania waoga kusafiri
Yote ni matokeo ya kuandaliwa, wametengenezwa kuwa hivyo boss

hao Wakenya na wengine nao wanaandaliwa kuwa na utayari na ujasiri
wa kusafiri.
 
Back
Top Bottom