and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Unataka Nani akuandae?Yote ni matokeo ya kuandaliwa, wametengenezwa kuwa hivyo boss
hao Wakenya na wengine nao wanaandaliwa kuwa na utayari na ujasiri
wa kusafiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka Nani akuandae?Yote ni matokeo ya kuandaliwa, wametengenezwa kuwa hivyo boss
hao Wakenya na wengine nao wanaandaliwa kuwa na utayari na ujasiri
wa kusafiri.
Ni jukumu la serikali kuandaa watu wake, kupitia elimu rasmi naUnataka Nani akuandae?
Kazi au vibarua? Unajua maana ya kazi yoyote duniani kweli?Elimu ya Kenya inamfanya mkenya afanye kazi sehemu yeyote duniani.Sasa mtanganyika aende Qatar akiongea kizigua na kimakonde au ze ze ze nani atamuelewa?
Samahani, unazungumzia mababu wetu hawa waliokuwa wanawabeba kina Livingston kwenye machela?!!!Afrika..., Yaani our forefathers wangefufuka leo wakaona yanayoendelea wangefariki tena kwa mshituko na mshangao wa masikitiko...
Kazi kama hiii ikitangazwa kwa ajili ya Watz utashangaa.Huu ni mstari mrefu wa watu 8000 vijana wa Kenya waliojitokeza kwenye
usaili wa kwenda kufanya kazi nchi ya Qatar
Atleast kwamba Wana Mabalozi wanaojua changamoto za vijaana wao.Wapo vizuri japo ajira zingeweza kutengenezwa nchini kwao tatizo la waafrika viongozi wanajipendelea wao tu
Hivi ukiangalia hiyo picha unaona professionals hapo au wabeba mabox, Amazon workers na wafagia hospitali za wazee? Alafu nani anataka professional kutoka Kenya? Kama mtu ana professional validity ya kufanya kazi nje ya nchi basi tayari angekuwa ana occupation yake nchini na asingeenda kupanga foleni hapo.Utafanyaje kazi bila kujua lugha, hao Wakenya wanaenda kama Proffesionals
sio wakimbizi uwe una elewa mambo
Atleast kwamba Wana Mabalozi wanaojua changamoto za vijaana wao.
Je mabalozi wa TZ umewaona?
Nomadic life ni historia ya mwanadamu....
Hakuna jipya chini ya jua, aliyeko ndani nataka kutoka aliye nje anataka kuingia.
Kabla ya kuweko kwa mioaka ya nchi enzi za ujima kizazi cha miaka hiyo kilihama kutoka eneo moja kwenda jingine kutafuta eneo litalomfaa na jamii yake na mifugo vigezo ni maji, malisho ya wanyama na mahala wanaweza pata chakula.
Kutoka afrika kwenda ulaya leo ama wanaotoka ulaya kurudi afrika na kwingineko ni historia inajirudia [emoji846].
Wakenya ni wasakanyaji ile mbaya.Huu ni mstari mrefu wa watu 8000 vijana wa Kenya waliojitokeza kwenye
usaili wa kwenda kufanya kazi nchi ya Qatar
Wana ujasiri, bidii na nidhamu ya kazi.Wakenya ni wasakanyaji ile mbaya.
Nilishangaa kuona taarifa kupitia BBC kwamba Lebanon pekee kuna wakenya zaidi ya 26,000.
Hawa jamaa wametapakaa duniani.
.Sio kweli waarabu wanenda wengi sana ulaya na marekani na hawajui ata salamu ya kizungu zaidi ya assalam aleikum na wanatoa hii ya kuama nchi ni spirit mzee na inategemea na hali ya nchi yenu.
Kwa hiyo kibarua siyo kazi?Kazi au vibarua? Unajua maana ya kazi yoyote duniani kweli?
Kina Mkwawa, Dedan Kimathi, Shaka Zullu and the likes..., even the Pan Africanist of Yesteryear..., The likes of Sankara and Patrice Lumumba...., waliwafukuza hawa mabwana ili tuwe self reliant na leo tunapanga mistari na wengine kufa kwenye boti kila leo wakizamia.., by the way hio kubeba kwenye machela it was form of mobility at the time hata huko kwao unadhani nobles walibebwa na nani ?Samahani, unazungumzia mababu wetu hawa waliokuwa wanawabeba kina Livingston kwenye machela?!!!