Wakenya wakosa usingizi kwa kuwaza Tanzania

Utaskia wengine wakisema eti wakenya wamekuwa possessed na Tanzania. Yaani without Kenya Tanzanian news outlets will be no more.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Tanzania hakuna news?


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio sababu tunasema ninyi uwezo wenu wa akili ni mdogo Sana, unajua definition of being possessed by another person", is to be bothered by somebody's life.

Hapo taarifa zote ulizoonyesha zinaonyesha Kazi na wajibu wa vyombo vya habari ya kutoa Habari kwa yanayotokea Kenya, hakuna hata sehemu ambapo Tanzania inajilinganisha na Kenya.

Onyesha wapi ambapo Tanzania tunapoteza muda kujaribu kulinganisha kinachofanyika Kenya na kile kinachofanyika Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu nionyeshe any Kenyan media enye hutoa habari za Tanzania daily. Your news outlets can't even spend a day without mentioning Kenya. Kwani Kenya pekee ndio nchi hii dunia. Ufala kama huo huezipata media za Kenya ikifanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amesahau kuwa JPM hata akikohoa tu inakuwa breaking news kwa media za Kenya 😂 😂 😂
 
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachawi wengine hapa watakuambia ati Kenya are obsessed na Tanzania. Let's see who's more. possessed na mwingine.

Yaani mwenye hajui East Africa anaedhani Tanzania ni county fulani ndani ya Kenya. Uhuru akiongea every Tanzanian is posting the briefing as Uhuru ni President wao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pambe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…