joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #41
Ebu nionyeshe any Kenyan media enye hutoa habari za Tanzania daily. Your news outlets can't even spend a day without mentioning Kenya. Kwani Kenya pekee ndio nchi hii dunia. Ufala kama huo huezipata media za Kenya ikifanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wambie sisi tulishaumwa Corona toka mwezi wa 12Why Kenya is Miles Ahead of Tanzania in the Fight Against Coronavirus
Hii ndio hali ilipofikia kwa jirani wetu, kwamba lazima wajaribu kujiliwaza hata Kama kwake mambo yanaharibika. Japo Kenya idadi ya maambukizi ni zaidi ya mara mbili ya Tanzania, lakini kutokana na tabia ya kujisifu, kwao wanadhani wao bado wapo vizuri ktk kupambana na kusambaa kwa Corona kuliko Tanzania.
Tabia ya kujimwambafy ndio sababu kubwa kunaifanya Kenya kushindwa kujifunza toka kwa anayofanya vizuri, hivyo kuifanya Kenya kuzidi kurudi nyuma kila mwaka.
cc. Tony254
Sent using Jamii Forums mobile app
I'm happy you are tagging Tuko. Hao huwa wamekosa mwelekeo kama nyinyi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachawi wengine hapa watakuambia ati Kenya are obsessed na Tanzania. Let's see who's more. possessed na mwingine.
Yaani mwenye hajui East Africa anaedhani Tanzania ni county fulani ndani ya Kenya. Uhuru akiongea every Tanzanian is posting the briefing as Uhuru ni President wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
I'm happy you are tagging Tuko. Hao huwa wamekosa mwelekeo kama nyinyi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa low IQ ndo kila siku utawasikia wakitaja akili za watu na nani ako nayo nyingi zaidi.... najua hakuna lolote uliloelewa kwa hiyo taarifa ya ndii, Kwasababu ya uwezo mdogo wa kuhoji sera angalaia vile mshesharibu majadiliano sasa mnalinganisha Kenya VS Tanzania na ni media gani inafwatilia matukio ya nchi jirani... yaani mambo ya upuzi kabisa... Hii ndo level yako hauna uwezo wa kuenda zaidi ya hapacc. Geza Ulole
Njoo soma uone ni jinsi gani David Ndii alivyowapita kwa mbali Sana hawa jamaa. Soma jinsi Ndii alivyotoa ushauri mzuri wa namna ya kuunda kamati mbali mbali za kitaifa kama alivyounda Magufuli jana, na ulinganishe na huyu chizi anayezungumzi ICU, mara vitanda vya wagonjwa, mara idadi ya Hospitali, mara Ndii anatukana serikali ya Kenya. Hawawezi kumuelewa Ndii hata siku moja hawa, very low IQ.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga wenu ndio inayosababisha kushindwa kupunguza njaa, locust, ukabila na sasa Corona inawapelekeshaWatu wa low IQ ndo kila siku utawasikia wakitaja akili za watu na nani ako nayo nyingi zaidi.... najua hakuna lolote uliloelewa kwa hiyo taarifa ya ndii, Kwasababu ya uwezo mdogo wa kuhoji sera angalaia vile mshesharibu majadiliano sasa mnalinganisha Kenya VS Tanzania na ni media gani inafwatilia matukio ya nchi jirani... yaani mambo ya upuzi kabisa... Hii ndo level yako hauna uwezo wa kuenda zaidi ya hapa
Mko na njaa nyingi kutushinda,Ujinga wenu ndio inayosababisha kushindwa kupunguza njaa, locust, ukabila na sasa Corona inawapelekesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ukabila na rushwa?Mko na njaa nyingi kutushinda,
Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.
Mko na njaa nyingi kutushinda,Ujinga wenu ndio inayosababisha kushindwa kupunguza njaa, locust, ukabila na sasa Corona inawapelekesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mko na njaa nyingi kutushinda,
View attachment 1400866
Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.
Sikiliza mnavyolalamika tukiamua kuzuia chakulaMko na njaa nyingi kutushinda,
View attachment 1400866
Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.
Mko na njaa nyingi kutushinda,
View attachment 1400866
Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.
Unacheka vile tunawatajirisha wakulima wenu... Hiyo ni biashara bana, mkulima akiuza mahindi Kenya haimaanishi maskini Tanzania alipata lishe hadi akatosheka ndo huyo mkulima akaamua kuuza kilichobaki Kenya.
Sisi hununua tani millioni sita kutoka Uganda, mkiamua kukosesha wakulima wenu faida kwa kutbania ni wakulima wenu ndo watateseka, sisi tutabeleka hela zetu kwa mwengine ambaye atatuuzia.. Money talks!