Wakenya wakosa usingizi kwa kuwaza Tanzania

Wakenya wakosa usingizi kwa kuwaza Tanzania

Why Kenya is Miles Ahead of Tanzania in the Fight Against Coronavirus
Hii ndio hali ilipofikia kwa jirani wetu, kwamba lazima wajaribu kujiliwaza hata Kama kwake mambo yanaharibika. Japo Kenya idadi ya maambukizi ni zaidi ya mara mbili ya Tanzania, lakini kutokana na tabia ya kujisifu, kwao wanadhani wao bado wapo vizuri ktk kupambana na kusambaa kwa Corona kuliko Tanzania.

Tabia ya kujimwambafy ndio sababu kubwa kunaifanya Kenya kushindwa kujifunza toka kwa anayofanya vizuri, hivyo kuifanya Kenya kuzidi kurudi nyuma kila mwaka.

cc. Tony254

Sent using Jamii Forums mobile app
Wambie sisi tulishaumwa Corona toka mwezi wa 12
 
cc. Geza Ulole

Njoo soma uone ni jinsi gani David Ndii alivyowapita kwa mbali Sana hawa jamaa. Soma jinsi Ndii alivyotoa ushauri mzuri wa namna ya kuunda kamati mbali mbali za kitaifa kama alivyounda Magufuli jana, na ulinganishe na huyu chizi anayezungumzi ICU, mara vitanda vya wagonjwa, mara idadi ya Hospitali, mara Ndii anatukana serikali ya Kenya. Hawawezi kumuelewa Ndii hata siku moja hawa, very low IQ.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa low IQ ndo kila siku utawasikia wakitaja akili za watu na nani ako nayo nyingi zaidi.... najua hakuna lolote uliloelewa kwa hiyo taarifa ya ndii, Kwasababu ya uwezo mdogo wa kuhoji sera angalaia vile mshesharibu majadiliano sasa mnalinganisha Kenya VS Tanzania na ni media gani inafwatilia matukio ya nchi jirani... yaani mambo ya upuzi kabisa... Hii ndo level yako hauna uwezo wa kuenda zaidi ya hapa
 
Watu wa low IQ ndo kila siku utawasikia wakitaja akili za watu na nani ako nayo nyingi zaidi.... najua hakuna lolote uliloelewa kwa hiyo taarifa ya ndii, Kwasababu ya uwezo mdogo wa kuhoji sera angalaia vile mshesharibu majadiliano sasa mnalinganisha Kenya VS Tanzania na ni media gani inafwatilia matukio ya nchi jirani... yaani mambo ya upuzi kabisa... Hii ndo level yako hauna uwezo wa kuenda zaidi ya hapa
Ujinga wenu ndio inayosababisha kushindwa kupunguza njaa, locust, ukabila na sasa Corona inawapelekesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga wenu ndio inayosababisha kushindwa kupunguza njaa, locust, ukabila na sasa Corona inawapelekesha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mko na njaa nyingi kutushinda,
Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.
 
Mko na njaa nyingi kutushinda,
Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.
Vipi ukabila na rushwa?
Acheni maneno mengi na sababu nyingi, ninyi hamuwezi lolote, zaidi ya kupiga domo, kila tatizo linalokumba nchi yenu lazima mpate sababu ya kujiliwaza. Hivi kushindwa kuwazuia watu kuingiza Corona toka nje ya nchi sio tatizo la serikali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga wenu ndio inayosababisha kushindwa kupunguza njaa, locust, ukabila na sasa Corona inawapelekesha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mko na njaa nyingi kutushinda,

1585308758365.png


Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.
 
Mko na njaa nyingi kutushinda,
View attachment 1400866


Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.

Hahahaha, hahahaha. Domo kubwaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mko na njaa nyingi kutushinda,
View attachment 1400866


Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.
Sikiliza mnavyolalamika tukiamua kuzuia chakula


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mko na njaa nyingi kutushinda,
View attachment 1400866


Corona haina lolote kuhusiana na akili za watu na ni watu watatu tu kwa kesi za Kenya amabo wameshikishwa corona bila kusafiri , hao wengine wote ni watu walioshikiswa corona nje ya nchi ndo wakaja nayo.
Locust walianzia nchi za middle east wakasafiri Sudan, Dgibouti, Somalia, Ethiopia... na pia sasa wameingia Uganda... Kati ya hizo nchi zote zilizoshindwa kupambana nao ni Kenya ndo ndo unaiona kwasababu uko obssesed na Kenya tu.

Msikilize kwa makini katibu mkuu wenu wa Wizara ya kilimo anavyohemea chakula

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahahaha, hahahaha. Domo kubwaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Unacheka vile tunawatajirisha wakulima wenu... Hiyo ni biashara bana, mkulima akiuza mahindi Kenya haimaanishi maskini Tanzania alipata lishe hadi akatosheka ndo huyo mkulima akaamua kuuza kilichobaki Kenya.

Hata sisi huuza cabegge, maharagwe, dengu, matunda na vinginevyo kwa nchi za Europe, haimaanishi eti Kenya nzima ilitosheka na hivyo vyakula ndo tukaamua kuuza huko nje, ni mkulima aliangalia nani analipa hela nzuri na kumletea faida zaidi..

KWahivyo bado wanao lala njaa ni walewale tu

1585309210330.png
 
Back
Top Bottom