smigo4u
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,407
- 2,837
[emoji16][emoji16][emoji16] propaganda on its finnest.Rais wa Somalia amepigia rais wa Kenya kuomba msamaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16] propaganda on its finnest.Rais wa Somalia amepigia rais wa Kenya kuomba msamaha
Ushawahi kusikia msemo wa all warefare is based on deception?Msikilize huyo mtangazaji anataja matukio yote ya nchi jirani zilizovuka mpaka wenu. Kama alivyopinga huyo mkuu wenu wa polisi kwamba majeshi ya Somalia hayakuvuka, na wewe unapinga analosema huyo mtangazaji?. Ninyi ni kawaida yenu kutokubali udhahifu wenu. Kitu kimoja lazima mkubali ni kwamba, "There is no a single country which respects Kenya nowdays".
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, acha maneno mengi, jeshi lenu ni dhahifu sana ndio sababu kila nchi inavamia na kuingia ndani ya Kenya na kuua wakenya vile watakavyoUshawahi kusikia msemo wa all warefare is based on deception?
Mtangazaji wa anatumia ripoti ilioandikwa na serekali ikisema Somali iwachee kuchokoza sovereignty ya Kenya.....
Kabla hili tukio litokee, Somali walisema Kenya imechukua mpaka wa Somali na kuusukuma ndani ya Somalia....
Hizo statements zote mbili zilikua exageration of facts on the ground ili kuenekana kama victim kwa international community... Actual facts on the groung ni Jeshi la Somalia lilipigana mpakani mwa Somali-Kenya.... Jubaland army ndo waliruhusiwa Kuingia Kenya wakikwepa hivyo vita... Na ahawakuingia tu bila ruhusa, walipewa ruhusa
Hapa ni border point 1, Unaona polisi wa Kenya (Administration police) wakiwa wanashika Doria huku Jubaland army wakivuka mpaka... Somali army hawakuvuka hapa!
View attachment 1378640View attachment 1378641
wallipelekwa hapo Mandera police station kisha baadae wakaondolewa hadi kambi ya KDF ndo wapeleke magari yao huko.... Pia waliruhusiwa kupeleka waliojeruhiwa hospitali ya Mandera County hospital
View attachment 1378649
Haya yote ni matukio ambayo yako documented kwa picha na pia wakaazi wenyewe ....
Hivi mbona hujibu kwanini nchi jirani na Kenya zinapenda kuingia katika ardhi ya Kenya na kufanya mashambulizi?.
Mr. President JFS
@M_Family
and Kenyan President Uhuru Kenyatta over the telephone line discussed the importance of working jointly between the two countries in maintaining border security and overall regional stability.
Farmajo ameomba msamaha wa kuichokoza Kenya na kuitumia kama scape goat kwa shida zinazomkumba kisiasa... Kumbuka ni yeye ndo ali accuse Kenya kwamba tunaingilia mpaka wa Somalia.. Kitu ambacho ilikua ni uongo....Hivi mbona hujibu kwanini nchi jirani na Kenya zinapenda kuingia katika ardhi ya Kenya na kufanya mashambulizi?.
Mnaona jinsi mnavyojichanganya, mnasema majeshi ya Somalia hayakuvuka kuingia Kenya, sasa mnasema Farmajo ameomba Samahani kwa kuingia Kenya. Ukweli ni kwamba KDF ni dhahifu hakuna nchi inatishika kuivamia Kenya
Kenyan Sovereign Territory Is Invaded by the aggressive and expansionist TPLF Army (Ethiopian) Today!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo raia wa Kenya wakiuliwa na majeshi toka nchi jirani ndani ya ardhi ya Kenya pia hamchukui hatua zozote?, kweli ninyi ni failed state. Taja ni nchi gani hapa duniani ambapo majirani zake wanaingia katika ardhi yake na kushambulia raia wake na haifanyi lolote. Unajua kwanini Tanzania hakuna jirani wetu hata mmoja anaweza kutucheze, wote wanaogopa kilichompata Idd Amin na M23, ndio faida ya kuwa na jeshi imara na lenye nguvu.Farmajo ameomba msamaha wa kuichokoza Kenya na kuitumia kama scape goat kwa shida zinazomkumba kisiasa... Kumbuka ni yeye ndo ali accuse Kenya kwamba tunaingilia mpaka wa Somalia.. Kitu ambacho ilikua ni uongo....
Na kujibu Swali lako la kwanza, Ukiwa wewe ndo ni alpha dog, kila kidume kijijini anataka kukujaribu ili ajionyeshe pia yeye ni mwanamme..... Shida ya Kenya ni kwamba sisi hua hatuna hizo tactics za kuonyesha ubabe namna hio... Ndio maana hata zile enzi za Idi Amin, wanajeshi wa Idi amin walipojaribukuvuka mpaka ni polisi wa Administration police walitumwa kupambana nao badala ya KDF........Wakati wa dictator Moi ndo tuliwahi kuona tactics kama hizo zikitumika, Moi alikua na mtindo wa kutuma fighter jets zinapita zikiwa chini chini kabisa hapo kwa mpaka hadi wanajeshi wa Somalia wanatishika na hizo sauti kali. Lakini ma rais wengine wa Kenya hawajawahi kufanya hivyo. Sio eti hatuna uwezo ni vile tu hatuna haja ya kufanya vituko kama hivyo... Nchi kama Ethiopia rais wao akifanya hivyo, wananchi wanafurahi ... Huku Kenya rais akifanya hivyo bila provocation yoyote wananchi wanakasirika na kumkashifu rais kuwa yeye ni 'dictator'. Hii ni kwasababu we have always handled things diplomatically, and it has always worked..... HAta ukiangalia siasa za Kenya hua ziko hivyo tu,... Raila ali boycot elections, akajiapisha kama Rais, Akamtukana Uhuru kuwa yeye ni mwizi na mfisadi, akasema kenya inahitaji revolution ya kuondoa rais...etc.... Alafu miezi michache uhuru na raila wanakumbatiana na kuwa marafiki wa dhati.... Kama Raila angekua S.Sudan au Ethiopia au hata TZ chini ya Magufuli unadhani Raila angekua wapi sahii???
Mtabaki hukuhuku! Unakumbuka Kagame alijaribu kumtishia Kikwete kilichofuatwa majeshi yakapelekwa mpakani!Be careful what you wish for....
Wacha ushabik wakijinga!.Kwahiyo raia wa Kenya wakiuliwa na majeshi toka nchi jirani ndani ya ardhi ya Kenya pia hamchukui hatua zozote?, kweli ninyi ni failed state. Taja ni nchi gani hapa duniani ambapo majirani zake wanaingia katika ardhi yake na kushambulia raia wake na haifanyi lolote. Unajua kwanini Tanzania hakuna jirani wetu hata mmoja anaweza kutucheze, wote wanaogopa kilichompata Idd Amin na M23, ndio faida ya kuwa na jeshi imara na lenye nguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ambia KDF wajaribu kuvuka mpaka hata kwa mita moja ndani ya Tanzania, utajua kama ni ushabiki au wewe ndio mjingaWacha ushabik wakijinga!.
Hawa hawana jeshi, wana mashoga tu wanaowaita KDFYani hapo sawa na mtu anakushika matako alafu wewe utasema Mimi sipendi ugonvi.Mwishowe atakutia kidole
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tusiombee hii kitu japo tutawapiga lkn na cc tutaumiza watu wasio na hatia
Ambia KDF wajaribu kuvuka mpaka hata kwa mita moja ndani ya Tanzania, utajua kama ni ushabiki au wewe ndio mjinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimaliza kueneza propaganda utanyamaza .Ambia KDF wajaribu kuvuka mpaka hata kwa mita moja ndani ya Tanzania, utajua kama ni ushabiki au wewe ndio mjinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Waswahili husema kwamba usijisifu kwamba unakimbia sana kabla hujakimizwa, Kenya miaka yote walikua wakijipa matumaini ya kijinga kwamba wanauwezo mkubwa katika midani za kivita na kuhisi kwamba mataifa mengi yanawahofia.
Ugomvi wa Uganda na Kenya wa kugombea Migingo, na kitendo cha majeshi ya Somalia kuingia na kushambulia Mandera, kunathibitisha kwamba, huwezi kujua kama una kasi kubwa ya kukimbia kabla hujakimbizwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
KDF Soldiers Hid As Al-Shabaab Killed Americans-New York Times.KDF inaingia Hadi Ikulu ya Magu bill wasiwasi.
Kama Hawa vijana was mtaa wanaivamia Police station in Dar es salaam, kill police officers and steal guns na hawapatikani je KDF?
Police in Tanzania have launched a hunt after seven people were killed and an unspecified number of firearms stolen when armed gangsters attacked a major police station in Dar es Salaam.
Wakabangue korosho na wenzao was kusini.KDF Soldiers Hid As Al-Shabaab Killed Americans-New York Times.
Hao waoga waingie wapi?
Korosho inabanguiwa,nakupigwa mnapigwa bro.Wakabangue korosho na wenzao was kusini.