Wakenya walalamikia udhahifu wa nchi yao kufuatia majeshi ya Somalia kuvuka na kushambulia ndani ya Kenya

Wakenya walalamikia udhahifu wa nchi yao kufuatia majeshi ya Somalia kuvuka na kushambulia ndani ya Kenya

Mwenzako kaweka data wewe unaweka porojo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka data za kuonyesha kwamba viwanda vya nguo vya Kenya vinategemea pamba ya Tanzania?, au data ya kwamba zaidi ya kampuni 500 za wakenya zipo Tanzania?, au kwamba bidhaa za Kenya zinahitaji kupitia Tanzania ili kufika nchi za kusini mwa Afrika?. Stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka data za kuonyesha kwamba viwanda vya nguo vya Kenya vinategemea pamba ya Tanzania?, au data ya kwamba zaidi ya kampuni 500 za wakenya zipo Tanzania?, au kwamba bidhaa za Kenya zinahitaji kupitia Tanzania ili kufika nchi za kusini mwa Afrika?. Stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzako kakuletea data kuhusu kenya na uganda ndio ziantegemeana sana kibiashara.
Wewe unaleta porojo nyingi, ilitakiwa ulete data za kupinga hoja yake wala sio kurukaruka km kuku mgeni..

Sasa jiulize mjinga nani hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzako kakuletea data kuhusu kenya na uganda ndio ziantegemeana sana kibiashara.
Wewe unaleta porojo nyingi, ilitakiwa ulete data za kupinga hoja yake wala sio kurukaruka km kuku mgeni..

Sasa jiulize mjinga nani hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili zenu ni ndogo ndio sababu hamuwezi kuelewa uchumi wa nchi unavyoweza kutikisika. Yeye amezungumzia biashara pekee, mimi ninazungumzia "Commerce", utauza nini kama viwanda vyenu havizalishi kutokana na ukosefu wa Malighafi?, kama kile mnachozalisha hakifiki sokoni?, au mnadhani tukizuia bidhaa zenu kufikia Soko la nchi za kusini mwa Africa uchumi wenu hautoyumba?, tukiyafunga na kuyafukuza makampuni yenu 500 yaliyowekeza zaidi ya $2B uchumi hautoyumba?, tumieni akili kufikiria japo mara moja kwa mwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili zenu ni ndogo ndio sababu hamuwezi kuelewa uchumi wa nchi unavyoweza kutikisika. Yeye amezungumzia biashara pekee, mimi ninazungumzia "Commerce", utauza nini kama viwanda vyenu havizalishi kutokana na ukosefu wa Malighafi?, kama kile mnachozalisha hakifiki sokoni?, au mnadhani tukizuia bidhaa zenu kufikia Soko la nchi za kusini mwa Africa uchumi wenu hautoyumba?, tukiyafunga na kuyafukuza makampuni yenu 500 yaliyowekeza zaidi ya $2B uchumi hautoyumba?, tumieni akili kufikiria japo mara moja kwa mwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unaandika porojo tu, wala sijaona mahala umeleta data za kumpinga aliyeileta hii mada..

Mwenzako kasema kenya na uganda zinategemeana kibiashara, sasa ulitakiwa upinge kw data wala sio kuandika insha zisizokua na maantiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado unaandika porojo tu, wala sijaona mahala umeleta data za kumpinga aliyeileta hii mada..

Mwenzako kasema kenya na uganda zinategemeana kibiashara, sasa ulitakiwa upinge kw data wala sio kuandika insha zisizokua na maantiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Data c hizi hapa [emoji116][emoji116] unataka data gn budaa, et[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] pia usisahau kwamba hakuna bilionea kenya, Dah inauma sana [emoji3][emoji3]
tapatalk_1583769264803.jpeg
 
Akili zenu ni ndogo ndio sababu hamuwezi kuelewa uchumi wa nchi unavyoweza kutikisika. Yeye amezungumzia biashara pekee, mimi ninazungumzia "Commerce", utauza nini kama viwanda vyenu havizalishi kutokana na ukosefu wa Malighafi?, kama kile mnachozalisha hakifiki sokoni?, au mnadhani tukizuia bidhaa zenu kufikia Soko la nchi za kusini mwa Africa uchumi wenu hautoyumba?, tukiyafunga na kuyafukuza makampuni yenu 500 yaliyowekeza zaidi ya $2B uchumi hautoyumba?, tumieni akili kufikiria japo mara moja kwa mwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba wewe mwenye akili kubwa pia ushirikishe ubongo wako uone hili, hayo makampuni yakifungwa uchumi wa Tz pia utayumba. Ajira kwa watanzania na ushuru kwa serikali yenu?
 
Uhuru anataka TAnzania na Uganda na Rwanda zifungue mipaka yao bila kizuizi ili bidhaa za Kenya ziuzwe kwa wingi.... Lolote ambalo litatishia hayo kufanyiko ni tishio kwa Uchumi na wanabiashara wa Kenya... I'ts all about business!
Yahee kwani mwauza "slums"zenu sasa mkiuza slums mtaishi wapi !!!?? Maana bidhaa za Kenya ni slums tu labda unazungumzia bidhaa za mabeberu zilizopo kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom