Wakenya wamcharukia Trump baada ya kumfanyia ubaguzi Uhuru

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Twitter kumewaka moto baada ya Wakenya kumshambulia Trump matusi ya nguoni na mazito mazito hii inafuatia ubaguzi mkubwa aliofanyiwa rais wa Jamhuri ya watu wa Kenya.
Kitendo kilichowatoa povu wakenya ni pale Trump na mkewe Melania walipoamua kutumia zuria jekundu(red Carpet) huku Uhuru na mkewe wakilazimishwa kukanyaga vumbi katika maeneo ya ikulu,wakati carpet hiyo ilikuwa rasmi kwa ajili ya mapokezi ya Uhuru.
Sasa nimeelewa kwanini Magufuli anapenda routes fupifupi
 
wivu wakiketuache hatufiki popote tupambane na hali zetu ña demokrasia yetu kongwe
 
Hilo swali waulize wakenya Twitter
Hio red carpet wewe ukiangalia inaweza simama watu wangapi?[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…