Wakenya wamcharukia Trump baada ya kumfanyia ubaguzi Uhuru

Nimejaribu kuangalia kwa makini,sijaona ni kwa namna gani Rais Kenyatta na mkewe walibaguliwa. Angalia ukubwa wa hilo zulia jekundu utagundua isingewezekana kabisa kwa watu wote wanne kulikanyaga na still picha ya pamoja itosheleze. So sioni chochote kipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…