BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,508
- 11,897
Ushamba wa mtu fulani kutosafiri umesababisha tusiwe na wawekezaji pia tusipate msaada.Nikuulize MSAGA SUMU ukiwa na shida unasubiri nyumbani kwako mtu aje akupe msaada au unamfuata nyumbani kwake kumuomba msaada???ipi ni busara???mtu yeyote anataka commitment ya rais siyo makamu wala mtu mwingine.Twitter kumewaka moto baada ya Wakenya kumshambulia Trump matusi ya nguoni na mazito mazito hii inafuatia ubaguzi mkubwa aliofanyiwa rais wa Jamhuri ya watu wa Kenya.
Kitendo kilichowatoa povu wakenya ni pale Trump na mkewe Melania walipoamua kutumia zuria jekundu(red Carpet) huku Uhuru na mkewe wakilazimishwa kukanyaga vumbi katika maeneo ya ikulu,wakati carpet hiyo ilikuwa rasmi kwa ajili ya mapokezi ya Uhuru.
Sasa nimeelewa kwanini Magufuli anapenda routes fupifupi
View attachment 849668
Mshana Jr
Mwanahabari Huru
Msema UKwelii
@rutashobollowa