Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
yap hapo ukona point...actually wageni wangefaa ndiwe ndio wapo katikati...ila Trump si unamjua tu...hawa wamarekani ni wabaguzi tu wote...infact wazungu wote hao wabaguzi...baada ya Kenyatta kuzungumza wanahabari walianza kubweka na kuuliza maswali kuhusu Mccain ...that was very rude to Uhuru actually...Kwanini mgeni asingepishwa kwenye Red carpet wao wenyeji wakanyage chini?
Sent using Jamii Forums mobile app