Kuna msemo wa kiswahili, huwezi kutajirika kwa jirani yako. Tusiwe na matumaini makubwa sana. UCHUMI WETU UNAKUWA NA KARIBU TUTAWAKUTA ILA TUKIWAACHIA TANZANITE, UTALII, DHAHABU NA MADINI MENGINE WATAZIDI KUSONGA MBELE.
Ongeza na Wakikuyu😃Wkaenyawanavipaji vingisana kuliko TZ
Sisi tumeweka Siasa za maji taka mbele.
Watanzania ni wajuwaji sana ,lakini kielimu tupo chini mno.
Hata hivyi ,hizo biashara zinazosifiwa ni za Wakenya mnajuwa ni wakenya wa jamii ganiwaliowekeza zaidi?
Mii nadhani Wahindi na pengine Wasomali,
sisi Waswahili tunasubiri Vibarua tuu.
Mitaji yetu midogo , Business management zetu ni Poor.
Mswahili kabakia mtu wa Kutumwa tuu na Kulipwaga mishahara.
Watz wangekuwa wanafikiria hivi,wangekuwa mbali sana,ata sisi wakenya tulijifunza kutoka kwa Wahindi na wasomaliWakenya wana uchumi mkubwa zaidi yetu, pia wana wataalamu wa viwango zaidi yetu sababu elimu yao ni bora, na sio hapa kwetu tu, hao jamaa wametapakaa mpaka SA huko wana exposure ya biashara na wanaongoza mashirika na kampuni, kutaka sisi tuwe kama wao itachukua muda kidogo, nionavyo bora tujifunze toka kwao ili baadae na sisi tuendeshe mambo yetu.
Na hizo kampuni 30 si ajabu ukakuta 28 ni za watanzania wenye asili bara la asia.. sie tumekalia maneno tu hakuna tunachofanya productiveWakuu
Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.
Tanzania sisi sasa tuna kampuni 30 tu. Je, tumekwama wapi kama Nchi?
Nini kifanyike? Waalimu, Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya. Wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili?
Matatuu inajulikana worldwideWenye mabasi kavamieni soko la kenya .Nairobi nk bado wanatumia vipanya kama daladala pia safari za mikoa mibus ya hovyo na vipanya vinaenda mkoa hadi mkoa maeneo kibao .Mabasi mazuri machache hasa ya kutoka Nairobi kwenda mikoa mingine ya kenya.Mazuri ni ya Mombasa Nairobi tu
Abood bus sevice ,Sauli nk kaavamieni soko la ndani kenya
sijakuelewa mkuu, sisi tuna kampuni 30 kenya au?Wakuu
Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.
Tanzania sisi sasa tuna kampuni 30 tu. Je, tumekwama wapi kama Nchi?
Nini kifanyike? Waalimu, Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya. Wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili?
kivutio cha watalii malofa billy gate na mabilionea waweza panda chai maharage? na wanakuja mara moja moja tu mtu una suti utapanda chai maharage? kenya public transport bado haiko vizuri kabisa chama cha wamiliki wa daladala vamieni soko la kenya la ndani liko wazi mno nchi nzima.Vi hiace ndio eti usafiri waoMatatuu inajulikana worldwide
Imekuwa kivutio cha watalii
Bora sisi tungeacha chai maharage tu
Ova
KENYA YUKO TU MBELE YA PAZIA UJUE KUWA NYUMA YA PAZIA HIZO ZOTE NI KAMPUNI ZA U.S.A NA U.K ZILIWEKEZA MITAJI KENYA WAKATI ZIKISUBILIA UJAMAA UANGUKE TANZANIA ULIPOANGUKA NDIO ZIKAVUKA MPAKA. FAIDA KWA WAKENYA NI KUWA ZILIWAPATIA UJUZI WA KUSIMAMIA MAKAMPUNI SASA BAADA YA KUJA TANZANIA HAZIONI SABABU YA KUIGIA TENA GHARAMA KUTOA UJUZI KWA WATANZANIA BALI WALETE WAKENYA WAKASIMAMIE KAMPUNI ZAO NA HAPA SERIKALI YA TANZANIA NDIPO INATAKIWA KUWA MACHO KWELI KWELIWakuu
Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.
Tanzania sisi sasa tuna kampuni 30 tu. Je, tumekwama wapi kama Nchi?
Nini kifanyike? Waalimu, Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya. Wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili?
Usiwe ngumbalukenya wamewekeza vitu vidogo dogo kama maduka ya madawa na bar nkTanzania kampuni chache lakini za nguvu
Kama Taifa tufike mahala tuwe na sera za Uchumi na siasa ya uchumi inayoeleweka sio huyu anataka serikali ndio iwe kiongozi mwingine anataka private sector sasa hatuelewekagi tunataka nini hii nchiWakenya wana uchumi mkubwa zaidi yetu, pia wana wataalamu wa viwango zaidi yetu sababu elimu yao ni bora, na sio hapa kwetu tu, hao jamaa wametapakaa mpaka SA huko wana exposure ya biashara na wanaongoza mashirika na kampuni, kutaka sisi tuwe kama wao itachukua muda kidogo, nionavyo bora tujifunze toka kwao ili baadae na sisi tuendeshe mambo yetu.
Kwa nini mnang'ang'ania kiswahili na centralization kama unajua haya?Wakenya mambo ya viwanda walianza muda mrefu sana pia taratibu za kujali vya kwao ipo kwenye damu.
Wao waliwahi fursa huku kupitia lugha ya kiingereza ndio maana wengi walifanikiwa hata kama hajasomea lakini lugha inapanda aliheshimiwa.
Pia wabinafsi sana utawekeza Kenya lakini mkenya alifanya hiyo biashara lazima waende kwa mkenya kwanza. Mtizamo wangu
Unachekesha mkuu,miaka 5 iliyopita gap Kati ya Kenya na Tzn imeongezeka hiyo kuwakuta watakuwa wanakusubiria wewe?Kuna msemo wa kiswahili, huwezi kutajirika kwa jirani yako. Tusiwe na matumaini makubwa sana. UCHUMI WETU UNAKUWA NA KARIBU TUTAWAKUTA ILA TUKIWAACHIA TANZANITE, UTALII, DHAHABU NA MADINI MENGINE WATAZIDI KUSONGA MBELE.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] na chuki ,uongo na ulalamishi na kulaumu serikaliHata sisi tumewapiga bao kwenye uzinzi, ulevi, uvivu, utapeli na ushirikina.
Unachekesha,kuanzia leo jua kwamba gap imeongezeka hizo ndoto za kuwakuta sahau,Ghana walikuwa nyuma yetu leo vipi?Kwenye uchumi mkubwa zaidi yetu ni kweli japo tunaweza kuwapiku tuki maintain speed ya ukuaji wa uchumi ndani ya miaka mitano ijayo.
Lakini si kweli kuwa wana wataalam bora na elimu bora zaidi yetu, labda lugha ya kiingereza chenye lafudhi ya kikenya.
Jambo la msingi ni kuwa support watu wetu wanaojaribu ili wakue na kushindana na Makampuni ya nje. Hii iwe Sera rasmi kabisa.
Hilo tu.
Wewe huwa ni empty fuvu ,kama ni tuvitu tudogo hiyo value ya biashara inazungumza nini? Gawanya kwa idadi afu utapata jibukenya wamewekeza vitu vidogo dogo kama maduka ya madawa na bar nkTanzania kampuni chache lakini za nguvu
Msipende kuuza bidhaa ghafi, vina thamani ndogo sananataka nikawekeze kenya katika kilimo cha vitunguu naomba muongozo.