Kwenye kulaumu serikali nakumbuka wewe ulikuwa ni kinara sijui kama siku hizi umeacha ulikuwa ni utoto tu unakusumbua!Unachekesha,kuanzia leo jua kwamba gap imeongezeka hizo ndoto za kuwakuta sahau,Ghana walikuwa nyuma yetu leo vipi?
Pili kusaport private sector unajua ni kufanyaje? Ni pamoja na kuondoa vikwazo vya biashara na kuwa na kodi rafiki.
Nchi hii haieleweki siasa yake kwenye swala la uchumi na tuna viongozi ambao hawawezi kusupoort biashara.mfano wakati kuna mzozo wa biashara Kati ya Kenya na Tzn ,,wanasiasa uchwara kila mtu alikuja na tamko na kujitutumua ikaishia kutupa hasara