Wakenya wametupiga bao sana kwenye uwekezaji nchini

Kwenye kulaumu serikali nakumbuka wewe ulikuwa ni kinara sijui kama siku hizi umeacha ulikuwa ni utoto tu unakusumbua!
 
Nakumat si ndo wakenya na vaseline sabuni za jamaa...sisi tuna akina bakheresa Mo n.k tuwape nguvu tununue vyakwetu. Madini tuwe nayo machooo otherwise mwendazke tutamkumbuka alikuwa anakuja vzr sana
 
Naomba Watanzania Muwekeze Northern Kenya Tafadhali Huko Hapajaguzwa,and Mkiguza sai one day you will be the Billgates of Kenya,Mandungu zangu
Hii northen Kenya tatizo ni miundo mbinu ns usalama ni duni,Alshabab imesumbua muda sasa.
 
Sasa, Watanzania wataenda kenya kuwekeza nini 😐😐asilimia kubwa ya uchumi wa Kenya umeshikiliwa na wazungu, Makampuni mengi niya wazungu Wakenya ni vibarua, kwenye aridhi ndio usiseme,imeodhiwa na wakubwa,Kiujumla Kenya ni Madarali wa Wazungu, Mtanzania kuweza Kenya ni kujitafutia matatizo tu amna furusa.
 
Tatizo kuwekeza Kenya au watanzania kumiliki kampuni?
 
Unajifunza leo kuandika?
 
Wewe sio unaona hata kuwapatia wananchi wake urahisi, wa kuweza pata passport ya kusafiria kwenda nje ya Tz kuweza ku explore fursa na kupata exposure ya wengine wanafanya nini, imekuwa vikwazo vingi kama nchi za kikomunisti. Kwa hiyo sidhani ukategemea kirahisi utaweza shindana na wa Kenya ambao kitambo,wameweza kujaribu kusambaa duniani kote kutafuta fursa za kiuchumi....Sie nasi tujaribu, ilimradi tuwe serious na sio maneno tu bila nia thabiti. Kazi iendelee.
 
Moja.unawekeza kwenye fursa kuangalia kwenye afika mashariki kati ya tanzania na Kenya,tanzania ina fursa nyingi zaidi kuliko Kenya.
Pili,idadi kubwa ya wawekezaji wa Kenya ni rais wa kigeni na "familia kubwa za kikenya" hii kutokana na ain ya maisha walivyo yachagua tangu uhuru.
Tatu,hakuna bepari asieisapoti mtu wake kwenye uwekezaji lakini uwekezaji you use wa kimkakakti je unadhani kimkakakti kuna kitu ambacho tanzania nilitaka ambacho kipo Kenya?
Nne,je kuna sera ya kuwawezesha wazawa wapate exposure kwenye kampuni za wagen za uwekezaji nchini?
HITIMISHO,soko la ndani ni bora zaidi kuliko is jirani,wazee walisema tumbo ya mbali haina nyoka...anza kuja nyoka na tumbo ya karibu mpaka kumaliza tumbo za karibu basi na nyoka wako mbali unaanza kutumia tumbo za mbali ukiwa nyoka wa mbali.
 
Hiyo hawezi kuwa sababu. Ujamaa wa kisera ndio tatizo ila ujamaa wa kijamii si jambo baya. Kwasasa Tanzania hali iliyopo ni tuna ujamaa wa kijamii.

Ila kiuchumi tayari tumeshakubali matokeo kuwa haiwezekani kuendesha taifa letu kwa misingi ya uchumi wa kicommunist na siasa za kicommunist sababu kwa idadi ya watu iliyopo serikali haiwezi kusimamia kila kitu.

Kwa Tanzania ugonjwa uliobakia ni wasiasa uchwara na vyama vyao vya siasa vinavyojikuta vina uphold sera za ujamaa ile hali wananchi ndio wanatakiwa kuwa wajamaa ila sio uchumi.

Vijamaa vinafanya hivi ili viendelee kula mema ya inchi nyuma ya pazia. Vinakataza wawekezaji ili vyenyewe na watoto wao ndio wafungue makampuni uchwara wapige pesa kitapeli.

Ndio maana vingi unaona vinawekana na koo zao katika uongozi, baba, mama, watoto, wajukuu, baba wadogo, wajomba, mashangazi woteeee unawakuta katika mashirika ya serikali.

Tukijua namna ya kuwadismantle hawa katika uongozi na kubadili vifungu kadhaa, ujamaa watu bado tutakuwa nao kijamii huku sera za kibiashara na uchumi tunaoperate kwa kanuni za soko huria bila wasi wasi.
 

hizi story sjui elimu bora ifike mwisho sasa, kwan hakuna wanaoenda kusoma nje ya nchi? wanatafauti gan na ambao hawajaenda nje? kwan wakina bilgates walimaliza shule? does that conclude elimu yao ni mbaya? enough of this story!
 
Siasa na udalali wa kisiasa
Umalaya wa kisiasa
Kazi ya uchuuzi wa bidhaa
Udalali
Boda boda
Uvivu na kuishia makanisani badala ya kufanya kazi.
Roho mbaya
Hasad
Fitina
Uongo
Uzushi
Wivu

Saa ngapi wabongo watawekeza kwenye nchi nyingine?
 

sasa watu wenyewe wanalilia ajira miaka nenda rudi makampuni yanaanzishwa mda gan
 
Hivi mnafahamu kuwa Taasisi moja ya Elimu huko Ulaya ilifanya tamasha kumkumbuka Prof Beno Ndulu na mchango wake katika uchumi alipokuwa UN,Raisi Kikwete alialikwa kwenye huo mhadhara.
 
Siasa na udalali wa kisiasa
Umalaya wa kisiasa
Kazi ya uchuuzi wa bidhaa
Udalali
Boda boda
Uvivu na kuishia makanisani badala ya kufanya kazi.
Roho mbaya
Hasad
Fitina
Uongo
Uzushi
Wivu

Saa ngapi wabongo watawekeza kwenye nchi nyingine?

summarize yote na uconclude kwamba we are lazy, sjawahi kutana na mkenya anaengangania serikali, ukiachana na matatizo yote wanayopitia hawajaacha kutafuta fursa sehem ingine uku wimbo ni ule ule miaka nenda rudi wa ajira serikalini.. wtf!
 
Watu wengine wa ajabu sana. Huku tunahimiza nchi za nje wake kuwekeza. Wakija (Kenya) mnasema tumepigwa. Mbona hamsemi hivyo kuhusu uwekezaji wa UK, South Africa au Mauritius? Magufuli aliharibu sana ajili za watu!
 
Watu wengine wa ajabu sana. Huku tunahimiza nchi za nje wake kuwekeza. Wakija (Kenya) mnasema tumepigwa. Mbona hamsemi hivyo kuhusu uwekezaji wa UK, South Africa au Mauritius? Magufuli aliharibu sana ajili za watu!
 
Watu wengine wa ajabu sana. Huku tunahimiza nchi za nje wake kuwekeza. Wakija (Kenya) mnasema tumepigwa. Mbona hamsemi hivyo kuhusu uwekezaji wa UK, South Africa au Mauritius? Magufuli aliharibu sana ajili za watu!
Wakenya mbwembwe tu hakuna kitu wanaishi maisha magumu kupita kiasi nusu ya ardhi yenye rutuba inamilikiwa na familia ya kenyata, hapo nairobi wanamiliki msitu mkubwa sana walipojenga kiwanda cha maziwa, hyo familia inamililki mahoteli, mabenki, kampuni za bima, shule, viwanda, mashamba, redio, tv stations, etc, uchumi wa kenya unamilikiwa na asilimia 0.5 ya wakenya wengi wao wakiwa ni wanasiasa, asilimia inayobaki ni mafukara wa kutupwa



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…