Wakenya wamshukia Rais Ruto kuhusu safari nje ya Kenya

Wakenya wamshukia Rais Ruto kuhusu safari nje ya Kenya

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,433
Reaction score
2,791
Soma hapa tafadhali

Screenshot_2023_0531_100710.png
Screenshot_2023_0531_101003.png
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Soma hapa tafadhali
 

Attachments

  • Screenshot_2023_0531_135759.png
    Screenshot_2023_0531_135759.png
    220.3 KB · Views: 5
  • Screenshot_2023_0531_135834.png
    Screenshot_2023_0531_135834.png
    216.2 KB · Views: 2
Hahahaaa
Kumbe kipeperushi cha gazeti la uhuru
Huyo mamako safari zake nyingi hazijawa na tija kwa nchi kuanzia ile Roho Tour tuliyodanganywa tutatajiwa wafadhili hadi leo kimya!
Safari ya majuzi Nigeria kwenda kushuhudia uapisho wa rais mpya imemsaidia nn mkulima wa alizet kule Singida au wa pamba kule Mwanza?!
 
Hahahaaa
Kumbe kipeperushi cha gazeti la uhuru
Huyo mamako safari zake nyingi hazijawa na tija kwa nchi kuanzia ile Roho Tour tuliyodanganywa tutatajiwa wafadhili hadi leo kimya!
Safari ya majuzi Nigeria kwenda kushuhudia uapisho wa rais mpya imemsaidia nn mkulima wa alizet kule Singida au wa pamba kule Mwanza?!
Wao watakuja hapa wakwambie, Mwacheni Kwin Camilla aifungulie nchi.
 
gazeti linajiita Uhuru na halina uhuru wa kutangaza. likiandika vinginevyo mbali na kuramba matako ya serikali, linapigwa ban na watu wake kuwekwa kizimbani
 
Hahahaaa
Kumbe kipeperushi cha gazeti la uhuru
Huyo mamako safari zake nyingi hazijawa na tija kwa nchi kuanzia ile Roho Tour tuliyodanganywa tutatajiwa wafadhili hadi leo kimya!
Safari ya majuzi Nigeria kwenda kushuhudia uapisho wa rais mpya imemsaidia nn mkulima wa alizet kule Singida au wa pamba kule Mwanza?!
Imemsaidia huyo mkulima kupata soko la pamba huko Nigeria
 
Back
Top Bottom