Wakenya wamshukia Rais Ruto kuhusu safari nje ya Kenya

Soma hapa tafadhali
 

Attachments

  • Screenshot_2023_0531_135759.png
    220.3 KB · Views: 5
  • Screenshot_2023_0531_135834.png
    216.2 KB · Views: 2
Hahahaaa
Kumbe kipeperushi cha gazeti la uhuru
Huyo mamako safari zake nyingi hazijawa na tija kwa nchi kuanzia ile Roho Tour tuliyodanganywa tutatajiwa wafadhili hadi leo kimya!
Safari ya majuzi Nigeria kwenda kushuhudia uapisho wa rais mpya imemsaidia nn mkulima wa alizet kule Singida au wa pamba kule Mwanza?!
 
Wao watakuja hapa wakwambie, Mwacheni Kwin Camilla aifungulie nchi.
 
gazeti linajiita Uhuru na halina uhuru wa kutangaza. likiandika vinginevyo mbali na kuramba matako ya serikali, linapigwa ban na watu wake kuwekwa kizimbani
 
Imemsaidia huyo mkulima kupata soko la pamba huko Nigeria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…