Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Leo nimepata mgeni toka nchi ya urusi kaja kupumzika.ila alicho niambia watu wengi huko wanajua lugha kiswahili inatoka kenya.
ili jambao bado nauliza sana kwa nini si watanzania tumelala sana.kesho kutwa Falme za kiarabu zitakuwa na mbuga kubwa ikitambulika asili yake ikitoka tanzania.
watu watajua simba,kiboko na wanyama wengine wanatoka falme za kiarabu
ili jambao bado nauliza sana kwa nini si watanzania tumelala sana.kesho kutwa Falme za kiarabu zitakuwa na mbuga kubwa ikitambulika asili yake ikitoka tanzania.
watu watajua simba,kiboko na wanyama wengine wanatoka falme za kiarabu