Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Ila usikute tunamsema tu rais wao hapa siasa. Oh mlafi kumbe kweli corona ipo.Week ya pili sasa kila siku wanakufa zaidi ya 30 per day
Rais wao yupo nje kuomba misaada zaidi ya kugharamia matibabu
Hali ya hewa ya baridi mda wote ndo tatizo nahisi
Poleni wakenya, litapita.