Tetesi: Wakenya wanataka waruhusiwe kufanya kazi Tanzania bila Vibali, rais asikubali

Tetesi: Wakenya wanataka waruhusiwe kufanya kazi Tanzania bila Vibali, rais asikubali

Fasir

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
222
Reaction score
270
Naomba ombi hili limfikie raisi wetu Mh. John Pombe Magufuli.

Kesho Jumatatu Raisi wetu ataanza ziara ya siku mbili ya kiserekali nchini Kenya na atatembelea viwanda mbalimbali ikiwemo kiwanda cha Maziwa cha Brokies Diaries kinachomilikiwa na Familia ya Mzee Kenyatta.Hio sio ishu kwetu kabisa.
Kuna habari za kuaminika Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta ana maombi makuu mawili kwa Raisi Magufuli.

Ombi la Kwanza
Raisi Kenyatta atawasilisha ombi la kuungwa mknono na Tanzania ili waweze kupata uenyekiti wa Africa Union Commission ambapo mwanamama na Waziri wa mambonyq nje wa Kenya Bi Aminq Mohamed anapigiwa chapuo achukue nafasi hiyo.Watanzania hatuna shida na ombi hili na tuko pamoja na Raisi wetu akiamua kuunga mkono jambp hili.

Ombi la Pili
Inasemakana Raisi Uhuru Kenyatta ataomba Tanzania ifute sheria zinazowataka raia wa kenya kuwa na vibali vya kufanya kazi hapa nchini yaani work permits.Hapa ndio kuna shida ikumbukwe tumekua na tatizo la wakenya kuja hapa nchini kuchukua fursa ambazo mungu aliwaumbia watanzania sasa kama Raisi Magufuli ataingia kwenye mtego huo basi sina shaka soko la ajira litavamiwa na wakenya ambao kila siku mate ya yanawatoka na ajira zetu.Najua raisi wetu wewe ni mtu wa kufanya maamuzi ya hapo kwa hapo ila kwa hili naomba usiingie kwenye mtego wa Uhuru Kenyatta.
Watanzania wenzangu naomba tupaze sauti na kuhakikishia ujumbe huu unamfikia Raisi wetu haraka iwezekenavyo tusambaze ujumbe huu whats app,twitter,facebook kila kona jamani.

[HASHTAG]#ChochondeMagufuli[/HASHTAG]
 
Twendeni shule aisee.....

Kabla ya kuuliza jiulize kwanza watanzania wangapi wako nje ya nchi na wanafanya kazi......

Sometime tuache uvivu....

Kila siku kulalamika....

Ajira zenyewe ziko wapi mnazosema mnanyanganywa?

Bila kuchanganyikana hatuwezi kuendelea lazima tukubali ushindani angalia us kila RAIA wa nchi zote duniani yupo pale ndio maana wenzetu waliendelea,wanaendelea na wataendelea..........
 
Unalilia nafasi za kazi wenzio wana qualifications. Je wa kwetu wanazo qualifications ??!!
 
Nendeni shule aisee.....

Kabla ya kuuliza jiulize kwanza watanzania wangapi wako nje ya nchi na wanafanya kazi......

Sometime tuache uvivu....

Kila siku kulalamika....

Bila kuchanganyikana hatuwezi kuendelea lazima tukubali ushindani angalia us kila RAIA wa nchi zote duniani yupo pale ndio maana wenzetu waliendelea,wanaendelea na wataendelea..........
Afu wakikubali kutoa vibali WEWE NA HAO BAVICHA WENZIO NDIO MTAKUWA MSTARI WA MBELE KULALAMIKA HUMU oooh SERIKALI IMEGAWA AJIRA KWA WAGENI...EBU ACHA UCHAWI.....aiseeeh kweli nyie vijana mmeisharisishwa UNAFIKI NA HAO VIONGOZI wenu......kwa ulichokiandika hapo juu sishangai NDIO FULSA YA KUTAFTA KIKI KESHO YAKE
 
Afu wakikubali kutoa vibali WEWE NA HAO BAVICHA WENZIO NDIO MTAKUWA MSTARI WA MBELE KULALAMIKA HUMU oooh SERIKALI IMEGAWA AJIRA KWA WAGENI...EBU ACHA UCHAWI.....aiseeeh kweli nyie vijana mmeisharisishwa UNAFIKI NA HAO VIONGOZI wenu......kwa ulichokiandika hapo juu sishangai NDIO FULSA YA KUTAFTA KIKI KESHO YAKE

Mmeisharisishiwa=mmesharithishwa
Fulsa= Fursa


I stand to be corrected
 
Kile kiwanda cha maziwa cha Uhuru Kenyatta si nasikia kilipigwa ban bongo baada ya mheshimiwa kuingia Ikulu, sasa kwa ziara hiyo tutegemee matokeo kama ya Bakhresa na skandali ya kwanza ya sukari na kodi kisha akaitwa mzalendo na TRA ikaambiwa iachie sukari yake haraka sana.
 
Hivi mnataka muungano wa Africa mashariki halafu bado mnataka kuwekeana vikwazo vya kipuuzi?

Wewe kama huna connection hata wamikoani waambiwe kuja Dar kwa kibali na bado utaendelea kulialia tu.

Watanzania mmekalia wizi tu ndio maana watu serious wanawaajili Wakenya, badilikeni kwanza badala ya kulialia.
 
Bado wanyarwanda, warundi na waganda. Watanzania tusikubali kuwa wajinga, kama hatuwataki tuwakatae, vijana wetu hawana kazi halafu wakenya na wanyarwanda wanaingia nchini kuja kupora ajira za wazawa. Hatutaki Xhezonofobia kama Afrika Kusini, wakae huko huko kwao waendeleze ukabila wao kwa wao.
 
Hivi mnataka muungano wa Africa mashariki halafu bado mnataka kuwekeana vikwazo vya kipuuzi?

Wewe kama huna connection hata wamikoani waambiwe kuja Dar kwa kibali na bado utaendelea kulialia tu.

Watanzania mmekalia wizi tu ndio maana watu serious wanawaajili Wakenya, badilikeni kwanza badala ya kulialia.
Protectionism ni moja ya falsafa inayotumika na mataifa makubwa pia kabla hujaandika upuuzi wako kaa chini na uje na arguement ilioenda shule..otherwise acha kudhihirisha upeo wako mdogo(low IQ)
 
Kuhusu Hilo Ombi Lako Namba 2:KABLA HUJAMSHAURI RAIS KULINDA AJIRA ZA WATANZANIA, WASHAURI KWANZA WATZ WAJUE KUWA UANAHARAKATI WA MASUALA YA SIASA SIYO TAALUMA,UJUZI WALA AJIRA SANA SANA WATATUMIKA KAMA RUBBER STAMP YA WANASIASA NA KUTUPWA.NASEMA HILI KWA KUWA SASA NAONA KILA MTU MWANAHARATI WA SIASA,MCHAMBUZI,MKOSOAJI WA MASUALA YA KISIASA NA KIJAMII. JAMBO LA PILI WASHAURI WABONGO WAACHE UVIVU NA WAFANYE KAZI MAANA HAKUNA KAMPUNI ITAKAYOKUKUBALI KAMA WEWE KUANZIA JUMATATU MPAKA IJUMAA UNAOMBA RUHUSA MARA MAMA ANAUMWA,MARA UNA MSIBA WA BABU MZAA BIBI YAKO MARA UNAUMWA.HAPO NDO PENYE TATIZO HAYO MENGINE POROJO.SI AJABU KUMKUTA KIJANA WA KIBONGO MWENYE MIAKA MPAKA 3O NA WALA HANA HATA UJUZI WALA TAALUMA YA KUTENGENEZA BAISKELI-APATE WAPI MUDA WA KUSOMA WAKATI TANGU ASB MPAKA SAA 12 YUPO MAHAKAMANI ANASUBIRI KUFANYA MAANDAMANO KWENYE KESI YA LISSU.NAHISI HATA VIWANDA VIKIJENGWA WATAJAA WAKENYA - XENOPHOBIC HUKO MBELENII.
 
Nendeni shule aisee.....

Kabla ya kuuliza jiulize kwanza watanzania wangapi wako nje ya nchi na wanafanya kazi......

Sometime tuache uvivu....

Kila siku kulalamika....

Bila kuchanganyikana hatuwezi kuendelea lazima tukubali ushindani angalia us kila RAIA wa nchi zote duniani yupo pale ndio maana wenzetu waliendelea,wanaendelea na wataendelea..........
Hiyo hoja haina mashiko.
Kenya ukihakiki vyeti havuki mtu.
Mdomo tu
 
Afu wakikubali kutoa vibali WEWE NA HAO BAVICHA WENZIO NDIO MTAKUWA MSTARI WA MBELE KULALAMIKA HUMU oooh SERIKALI IMEGAWA AJIRA KWA WAGENI...EBU ACHA UCHAWI.....aiseeeh kweli nyie vijana mmeisharisishwa UNAFIKI NA HAO VIONGOZI wenu......kwa ulichokiandika hapo juu sishangai NDIO FULSA YA KUTAFTA KIKI KESHO YAKE
Mkuu mwambie afukuze Watusi waliojazana mpaka chato .....

Wanaua mpaka ndugu zetu.......

Tuache u Mimi na na u sisi tushindane..........
 
Nendeni shule aisee.....

Kabla ya kuuliza jiulize kwanza watanzania wangapi wako nje ya nchi na wanafanya kazi......

Sometime tuache uvivu....

Kila siku kulalamika....

Bila kuchanganyikana hatuwezi kuendelea lazima tukubali ushindani angalia us kila RAIA wa nchi zote duniani yupo pale ndio maana wenzetu waliendelea,wanaendelea na wataendelea..........
Kwa hiyo huko US unakosema wamechanganyika wanafanya kazi bila vibali.?
 
Afadhali akaonyeshwe viwanda vinafananaje nadhani akirudi hapa zile kauli zake za hii ni Tz ya viwanda zitaisha.

Jirani zetu wana viwanda
 
Twendeni shule aisee.....

Kabla ya kuuliza jiulize kwanza watanzania wangapi wako nje ya nchi na wanafanya kazi......

Sometime tuache uvivu....

Kila siku kulalamika....

Bila kuchanganyikana hatuwezi kuendelea lazima tukubali ushindani angalia us kila RAIA wa nchi zote duniani yupo pale ndio maana wenzetu waliendelea,wanaendelea na wataendelea..........
US uendi bila vibali au unaongelea USA river ya Arusha?
 
Back
Top Bottom