Tetesi: Wakenya wanataka waruhusiwe kufanya kazi Tanzania bila Vibali, rais asikubali

Tetesi: Wakenya wanataka waruhusiwe kufanya kazi Tanzania bila Vibali, rais asikubali

Swala la permit Raisi Magufuli hatakiwi kukubali, mimi nilipata nafasi ya kufanya kazi Kenya zaidi ya miaka mitano, Kenya wanasema wanatoa kibali cha kufanya kazi ( work permit) kwa wananchi wa jumuia ya afrika mashariki kumbe sio, ukiwa katika kampuni yeyote Kenya utapewa documents zote za ku apply work permit, baade utazipeleka uhamiaji pale nyayo ,kinachofanyika maafisa wa uhamiaji watapokea zile documents zako na kuzitunza au kuzitupa kabisa, utakaa unasubiri work permit hata miaka miwili hautapata permit, hii ilinitokea mimi kwa kujifanya kuwa ni member of east Africa, nilisubmit documents zangu zikaa zaidi ya mwaka mmoja bila kupata permit, ndipo nikaulizia dada mmoja ambae ana deal na visa/permits katika kampuni niliokuwa nafanya kazi akaniambia ndugu ( Kenya wanatumia sana hili neno wanapoongea na wtz) bila pesa hutapata permit hata kama wew umetoka katika jumuia hii ya afrika mashariki, akaniambia permit Kenya kuna watu /staff wa immigration wanao control the whole process na wanakampuni zao nje ( Agents) bila kupitia kwao huwezi pata permit, na hao huamua nani apate permit nani asipate hivyo ikawa imekula kwangu.

Niliendelea kuongea nae huyo mdada akaniambia andaa 90k Kenyan shillings equivalent to mil 1na laki 8 ya tz ,ujaze form then nipatie documents zako nikusaidie kupata permit, nikamuuliza hiyo 90k ya nini akaniambia hii napatiana agent na watu wa immigration uweze kupata then nitakupatia receipt uweze to claim back ur money to the company, ila akaniambia kabisa katika 90k hii, 10k inakwenda kwa government iliyobaki ni mlungula kwa agent na wahusika wakuu ndani. Kweli nilifanya vile na nikakaa ndani ya miezi miwili au mitatu nikapata permit ya miaka miwili. Kwa hiyo nilikuwa nafanya hivyo pindi nikiwa Kenya kwa zaidi ya miaka sita kwa interval ya two yrs two yrs, wengine wtz ambao hawakuwa na 90k hadi leo sijui kama waliweza kupata permit Kenya, hiyo kampuni tulikuwepo wtz lakini ni mimi pekee ndo nilipata permit kwa njia ya kutoa pesa wenzangu waliotegemea free permit kwa watu wa EAC walisota miaka yote bila kupata permit, hivyo uhuru kama anataka kuleta usawa na anapigania sana permit kwa wananchi wake Tanzania basi kwanza aende pale Kenya immigration awaambie maafisa wake mchezo wanaoucheza kwa wananchi wa EAC, aweke dawati/help desk kwa ajiri ya wananchi wa EAC kupata huduma za business visa/work permit bila kupitia kwa agents na bila kulipa 90k,akifanikiwa hili basi ahamasishe viongozi wa EAC kufuta permit katika nchi husika.

Business visa, ukienda Kenya kufanya kazi ndani ya miezi mitatu hadi sita kabla hujapata permit kuna utapewa kibali cha muda cha kufanya kazi ( business visa) ,hii business visa bila kujali wew umetoka EAC unalipa 5K Ksh, na unapewa miezi mitau, ikiisha unapewa tena business visa ya miezi mitatu kwa kulipa tena 5K ksh, ikifika miezi mitatu hupati unaambiwa apply for permit, hapo ndo shida inaanza, hivyo utaona kuwa Kenyan permit ni ngumu sana kupata kuliko nchi yeyote wanachama wa EAC, kama kuna mtanzania yeyote au mganda au Rwandese amepata permit Kenya bila pesa aseme hapa, sio swala la mchezo kupata permit Kenya , kwa hiyo magufuli awaambie kabisa wao wabadilike, na watoe permit bure kwanza ndani ya miaka mitatu kwa wananchi wa EAC then baadae nchi zingine zifuate, au la sivyo tuendelee hivi hivi kwa Wtz na nchi nyingine kulipa 90k na wao waendelee kulipa gharama za permit nchini tz au kwingineko, wahusika wa magufuli mfikishieni mheshimiwa hii taarifa.
Boss,hiyo taarifa uliifikisha ubalozini ? Au ndio tabia ya "mbwa kubweka mwizi keshakimbia ?"
 
Boss,hiyo taarifa uliifikisha ubalozini ? Au ndio tabia ya "mbwa kubweka mwizi keshakimbia ?"
Balozi za Tanzania miaka 10 iliyopita ni kama zilikuwa zimechomwa ganzi, hata ukipeleka malalamiko no one cares, sijui kwa sasa kama wanafuatilia, lakini nakuambia hivi Kenya unalipia vibali vya kufanyia kazi live live, tena kuna vibali viwili wanatoa, 1) Business visa ,hii unalipia 5K ksh ( laki moja ya tz ) ambayo inatolewa kwa miezi mitatu,ikiisha miezi mitatu unakwenda tena immigration to extend ,unalipa tena 5K, mwisho wake ni miezi sita, baada ya hapo huruhusiwi tena to renew business visa umekuwa qualified to apply for work permit, uliza mtanzania yeyote hii analipa tena bila tatizo ,nawajua wantanzania wote waliokuwa wanafanya kazi Kenya walikuwa wanalipa bila tatizo na haina usumbufu.
2) Work permit, ambayo ni ya miaka miwili ,hii unalipa 90k,hapa wabongo wengi ndo kazi inapokujia kama hawako kwenye stable company, bila kulipa hii hata ukipeleka documents zako kule immigration zitakaa zaidi ya mwaka hupati permit, nakuambia hivi hutapata permit, utakua unaambiwa haijatoka, mara kuna shida ya system iko down ,ama unajua now its elections, hutapata permit Kenya.

Hii EAC inabidi waiangalie vizuri, kuna matatizo mengi, kinachopatikana kwa nchi zote ni normal visa( pass unayopata airport au border) ambayo ni ya miezi miwili ,mmoja au mitatu ambayo huruhusiwi kufanya kazi, nilienda pia Uganda kufanya kazi, just business trip airport nikapewa normal visa nikawa nafanya kazi kimya kimya baadae ilipoisha nikapeleka passport yangu admin akanisaidie to extend visa, nikaambiwa nitoe 100usd kupata business visa ya miezi mitatu, nikamwambia leta passport yangu, then baadae nikachukua tax nikaenda uhamiaji nika extend visa ya kawaida kwa miezi mitatu bure, ningesema nafanya kazi maana yake ningelipa 100 usd na hii kitu ningeifanyia ofsini kwa kumtuma yule mhusika, kwa hiyo hakuna free permit EAC, haipo.
 
Ajifunze kuwa viwanda sio vy serikali ni ya watu binafsi issue kuweka sera nzuri za kuwavutia wawekezai! Kosa kuwa na mfalme anaejifunza mambo uchumi akiwa ofisini....kosa ni la kimfumo jinsi kuandaa viongozi! Sasa anajifunza akiw ofisini uchumi unaporomoka.....hadi akija kuelewa na kukubali ushauri ameshamaliza muda wake ina maana miaka yake atayokaa ameharibu tu uchumi!
 
Hivi mnataka muungano wa Africa mashariki halafu bado mnataka kuwekeana vikwazo vya kipuuzi?

Wewe kama huna connection hata wamikoani waambiwe kuja Dar kwa kibali na bado utaendelea kulialia tu.

Watanzania mmekalia wizi tu ndio maana watu serious wanawaajili Wakenya, badilikeni kwanza badala ya kulialia.
Tizama ndugu hao unaowaita watu serious ndio mafisadi wenyewe wanaajiri wakenya kwa sababu ya kuficha hesabu zao zisijulikane TRA maana wanajua wabongo ni noma watatoa siri. Hebu niambie kuna hoteli moja Arusha ina vyumba 24 je ni kweli inahitaji meneja expatriate toka Kenya? Hoteli ya vyumba 24? Hoteli hiyo hiyo pamoja na hoteli mama yake ilikuwa inaendeshwa na Watanzania kwa miaka zaidi ya 50 wakati ilipokuwa ya Umma, meneja mmoja!!!!
 
Waafrika wanaopiga kazi USA ni kazi uchwara tu kama za kutunza wazee, kudeki, kufua na ukuli, kazi ambazo hazifanywi na wamarekani wenyewe tofauti nw bongo ambapo unakuta mkenya au mnyarwanda anapewa ajira kwenye kampuni na kuwa kwenyr top management, si ushenzi huo, watu kama hao ni kuwafata na kuwatoa ofisini kwa nguvu, wasubiri ajira ziwe za kutosha Tanzania ndo wapewe kazi za kufagia stend na kuwa makuli huku watanzania wakichezesha kipanya na ma-file ofisini. Hatutaki ujinga.
Mkuu mbona watu kibao wanafundisha usa,ni madactari, lecture's sema ambao hawana professional zinazoitajika ndio wanafanya hizo kazi
 
Ushauri wa kimaskini. Tanzania haitakuja kupata maendeleo kamwe kwa mawazo kama haya. Watanzania wamejaa mioyo ya uchoyo, wivu na ubinafsi.

Mwenye moyo wa kimaendeleo angemshauri Rais wetu, naye aombe Watanzania waruhusiwe kufanya kazi Kenya bila vibali. Kama uwezo wetu wa kupata ajira huko ni mdogo, kipindi cha mpito tupewe upendeleo wa idadi fulani ya ajira ndani ya taasisi za serikali ya Kenya, wakati huo tukijenga uwezo wa ushindani.

Huwezi kuendelea kama huwezi kushindana.
 
Naomba ombi hili limfikie raisi wetu Mh. John Pombe Magufuli.

Kesho Jumatatu Raisi wetu ataanza ziara ya siku mbili ya kiserekali nchini Kenya na atatembelea viwanda mbalimbali ikiwemo kiwanda cha Maziwa cha Brokies Diaries kinachomilikiwa na Familia ya Mzee Kenyatta.Hio sio ishu kwetu kabisa.
Kuna habari za kuaminika Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta ana maombi makuu mawili kwa Raisi Magufuli.

Ombi la Kwanza
Raisi Kenyatta atawasilisha ombi la kuungwa mknono na Tanzania ili waweze kupata uenyekiti wa Africa Union Commission ambapo mwanamama na Waziri wa mambonyq nje wa Kenya Bi Aminq Mohamed anapigiwa chapuo achukue nafasi hiyo.Watanzania hatuna shida na ombi hili na tuko pamoja na Raisi wetu akiamua kuunga mkono jambp hili.

Ombi la Pili
Inasemakana Raisi Uhuru Kenyatta ataomba Tanzania ifute sheria zinazowataka raia wa kenya kuwa na vibali vya kufanya kazi hapa nchini yaani work permits.Hapa ndio kuna shida ikumbukwe tumekua na tatizo la wakenya kuja hapa nchini kuchukua fursa ambazo mungu aliwaumbia watanzania sasa kama Raisi Magufuli ataingia kwenye mtego huo basi sina shaka soko la ajira litavamiwa na wakenya ambao kila siku mate ya yanawatoka na ajira zetu.Najua raisi wetu wewe ni mtu wa kufanya maamuzi ya hapo kwa hapo ila kwa hili naomba usiingie kwenye mtego wa Uhuru Kenyatta.
Watanzania wenzangu naomba tupaze sauti na kuhakikishia ujumbe huu unamfikia Raisi wetu haraka iwezekenavyo tusambaze ujumbe huu whats app,twitter,facebook kila kona jamani.

[HASHTAG]#ChochondeMagufuli[/HASHTAG]
For the development of Tanzania His Excellence should approve all of those request. We have been waiting for that. Good example Rwanda what about us
 
Kizuri ni kwamba siku mkizidi mnaotoka nchi zenu kuja Tanzania kudendea vya kwetu tunawafanyie kama south Africa wanavyofanya kwa hio nyie cha msingi
Kila mtu abaki nchi kwake afanye kazi huko huko kwake ndio maana Nchi zikatenganishwa, Wakenya waje Tz kisha baada ya hapo watoto wetu wakose ajira?
Wakenya kila siku huko kwenye EAST AFRICA forum mnatuzarau uchumi wetu uko
chini leo hii mnajipendekeza ha ha ha bakini huko huko mking'ang'a basi hatuna budi tutaanza kuwaua na uzuri kiswahili mnachokiongea hakifichiki.

Mi nitakuwa wa kwanza kufanya organization nikiona mmezidi
Tunawatimiua kama SA wanavyotimua.
 
Ni kweli wana roho mbaya...wachoyo mnooooo ila ya fools mi sijui looo
Ukikutana nao utajua. I dated a certain lady ndani ya siku tatu akaniambia ana mimba nimpeleke kwetu kigoma akamuone Mama, nikamwambia thubutu yako mshenzi wa hovyo na mkanda ukaishia hapo
 
Hilo la wakenya kuingilia ajira zetu ni janga kubwa hata sasa wamo wengi tu hasa kwenye sekta binafsi , serikali iwe na mpango wa kuwa inakagua wafanyakazi wa sekita binafsi ili kubaini watu wanaofanya kazi bila kuwa na vibari vya kazi , na siyo wakenya tu hata wahindi wakaguliwe pia , unakuta mhindi 1 anakibari naye anaingiza wengine hivyo hivyo na wakenya .
Naomba ombi hili limfikie raisi wetu Mh. John Pombe Magufuli.

Kesho Jumatatu Raisi wetu ataanza ziara ya siku mbili ya kiserekali nchini Kenya na atatembelea viwanda mbalimbali ikiwemo kiwanda cha Maziwa cha Brokies Diaries kinachomilikiwa na Familia ya Mzee Kenyatta.Hio sio ishu kwetu kabisa.
Kuna habari za kuaminika Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta ana maombi makuu mawili kwa Raisi Magufuli.

Ombi la Kwanza
Raisi Kenyatta atawasilisha ombi la kuungwa mknono na Tanzania ili waweze kupata uenyekiti wa Africa Union Commission ambapo mwanamama na Waziri wa mambonyq nje wa Kenya Bi Aminq Mohamed anapigiwa chapuo achukue nafasi hiyo.Watanzania hatuna shida na ombi hili na tuko pamoja na Raisi wetu akiamua kuunga mkono jambp hili.

Ombi la Pili
Inasemakana Raisi Uhuru Kenyatta ataomba Tanzania ifute sheria zinazowataka raia wa kenya kuwa na vibali vya kufanya kazi hapa nchini yaani work permits.Hapa ndio kuna shida ikumbukwe tumekua na tatizo la wakenya kuja hapa nchini kuchukua fursa ambazo mungu aliwaumbia watanzania sasa kama Raisi Magufuli ataingia kwenye mtego huo basi sina shaka soko la ajira litavamiwa na wakenya ambao kila siku mate ya yanawatoka na ajira zetu.Najua raisi wetu wewe ni mtu wa kufanya maamuzi ya hapo kwa hapo ila kwa hili naomba usiingie kwenye mtego wa Uhuru Kenyatta.
Watanzania wenzangu naomba tupaze sauti na kuhakikishia ujumbe huu unamfikia Raisi wetu haraka iwezekenavyo tusambaze ujumbe huu whats app,twitter,facebook kila kona jamani.

[HASHTAG]#ChochondeMagufuli[/HASHTAG]
 
Ukikutana nao utajua. I dated a certain lady ndani ya siku tatu akaniambia ana mimba nimpeleke kwetu kigoma akamuone Mama, nikamwambia thubutu yako mshenzi wa hovyo na mkanda ukaishia hapo
Haaaaaa hiyo kali
 
Mkuu mbona watu kibao wanafundisha usa,ni madactari, lecture's sema ambao hawana professional zinazoitajika ndio wanafanya hizo kazi
Wanawafundisha waafrika wanafika USA kusoma, ni sawa na UDSM ikawa na kitivo cha utamaduni wa kichina au kirusi, itabidi wawachukue Warusi na Wachina waje wafundishe ili chuo kiendelee kupiga pesa kwa kuwachungua wanafunzi kutoka nchi tofauti wanaotaka kujifunza kuhusu utamaduni wa Warusi na Wachina.
 
Kizuri ni kwamba siku mkizidi mnaotoka nchi zenu kuja Tanzania kudendea vya kwetu tunawafanyie kama south Africa wanavyofanya kwa hio nyie cha msingi
Kila mtu abaki nchi kwake afanye kazi huko huko kwake ndio maana Nchi zikatenganishwa, Wakenya waje Tz kisha baada ya hapo watoto wetu wakose ajira?
Wakenya kila siku huko kwenye EAST AFRICA forum mnatuzarau uchumi wetu uko
chini leo hii mnajipendekeza ha ha ha bakini huko huko mking'ang'a basi hatuna budi tutaanza kuwaua na uzuri kiswahili mnachokiongea hakifichiki.

Mi nitakuwa wa kwanza kufanya organization nikiona mmezidi
Tunawatimiua kama SA wanavyotimua.
Hakika wewe ni mzalendo mwenzangu. Yaani kama ningekuwa rais hakika ningekuteua uwe waziri mkuu, waziri wa mambo ya nje au waziri wa kazi na ajira ili uwashughulikie wakenya na wanyarwanda warudi kwao.
 
Hakuna free permits hapa wakahakikiwe kwanza maana wao wanaongoza kwa feki Afrika Mashariki
 
Ombi la Pili
Inasemakana Raisi Uhuru Kenyatta ataomba Tanzania ifute sheria zinazowataka raia wa kenya kuwa na vibali vya kufanya kazi hapa nchini yaani work permits.Hapa ndio kuna shida ikumbukwe tumekua na tatizo la wakenya kuja hapa nchini kuchukua fursa ambazo mungu aliwaumbia watanzania sasa kama Raisi Magufuli ataingia kwenye mtego huo basi sina shaka soko la ajira litavamiwa na wakenya ambao kila siku mate ya yanawatoka na ajira zetu.Najua raisi wetu wewe ni mtu wa kufanya maamuzi ya hapo kwa hapo ila kwa hili naomba usiingie kwenye mtego wa Uhuru Kenyatta.
Watanzania wenzangu naomba tupaze sauti na kuhakikishia ujumbe huu unamfikia Raisi wetu haraka iwezekenavyo tusambaze ujumbe huu whats app,twitter,facebook kila kona jamani.

[HASHTAG]#ChochondeMagufuli[/HASHTAG]

Woga, uvivu na ujinga ndio kila siku vinatufanya Watanzanzania kuwaogopa. Unaposema fursa za kazi walizoumbiwa Watanzania una hakika na hilo au ni hisia zako zimekutuma?

Wakenya waruhusiwe haraka sana kuja kufanya kazi na biashara, tutafaidika sana na uwepo wao ktk nyanja za elimu, afya na biashara. Fursa za kiuchumi na ajira zitaongezeka na sio kupungua kwa sababu wataleta mapinduzi ya kifkra na ki utendaji hivyo kuchochea ukuaji wa uzalisha na uchumi.

Kitu kimoja tu ni kuwa Wakenya (na wageni wengine wowote) wasipiwe fursa ya kununua na/au kumiliki ardhi. Jambo hilo liwe nje ya mada hiyo.

Mwisho lazima Watanzania tujifunze kuiga mambo mazuri na kukataa mabaya. Mfano vyama vyetu vya ushirika na hata nyingi ya SACCOs bado hazijaleta matokeo kama ambayo wenzetu Kenya wamekuwa wakifaidika. Sasa kwanini tusiige hata jambo dogo kama hilo? Kwa nini tunaona mabaya tu ilihali fursa ya mema ni kubwa zaidi???

Kwa heshima nyingi naomba Rais wetu Mh. John Magufuli ukubali fursa hiyo muhimu. Ikiwezekana ufute mara moja hilo zuio na tufanye kazi badala ya kushindana na kuwaona jirani zetu hao kama maadui.
 
Ombi la pili linakera. Kama sio kutudharau watanzania sijui ni nini. Watanzania wenyewe tuna shida ajira hazitoshi halafu tuwafungulie kenya mlango. Kwanza hawa ni hodari wa hila na ukabila si ndio watachukua ajira zote tanzania. Kwanza tayari wamejaa kumili ardhi tanzania kiujanjaujanja. Hilo la kazi mr rais tell them NO. Hilo la kwanza halina shida. Tumuunge huyo mwanamama msomali wa kenya.
Huyo mama akuna cha kumuunga mkono wala nini? Mimi siwakubali awa Wakenya walishataka kumuua mshikaji Wangu katika mashamba ya vitunguu, ilivyo bainika. Tuliwafanyia fitina wakafukuzwa na biashara yote ilikufa. Wakenya wana roho mbaya sana
 
Naomba ombi hili limfikie raisi wetu Mh. John Pombe Magufuli.

Kesho Jumatatu Raisi wetu ataanza ziara ya siku mbili ya kiserekali nchini Kenya na atatembelea viwanda mbalimbali ikiwemo kiwanda cha Maziwa cha Brokies Diaries kinachomilikiwa na Familia ya Mzee Kenyatta.Hio sio ishu kwetu kabisa.
Kuna habari za kuaminika Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta ana maombi makuu mawili kwa Raisi Magufuli.

Ombi la Kwanza
Raisi Kenyatta atawasilisha ombi la kuungwa mknono na Tanzania ili waweze kupata uenyekiti wa Africa Union Commission ambapo mwanamama na Waziri wa mambonyq nje wa Kenya Bi Aminq Mohamed anapigiwa chapuo achukue nafasi hiyo.Watanzania hatuna shida na ombi hili na tuko pamoja na Raisi wetu akiamua kuunga mkono jambp hili.

Ombi la Pili
Inasemakana Raisi Uhuru Kenyatta ataomba Tanzania ifute sheria zinazowataka raia wa kenya kuwa na vibali vya kufanya kazi hapa nchini yaani work permits.Hapa ndio kuna shida ikumbukwe tumekua na tatizo la wakenya kuja hapa nchini kuchukua fursa ambazo mungu aliwaumbia watanzania sasa kama Raisi Magufuli ataingia kwenye mtego huo basi sina shaka soko la ajira litavamiwa na wakenya ambao kila siku mate ya yanawatoka na ajira zetu.Najua raisi wetu wewe ni mtu wa kufanya maamuzi ya hapo kwa hapo ila kwa hili naomba usiingie kwenye mtego wa Uhuru Kenyatta.
Watanzania wenzangu naomba tupaze sauti na kuhakikishia ujumbe huu unamfikia Raisi wetu haraka iwezekenavyo tusambaze ujumbe huu whats app,twitter,facebook kila kona jamani.

[HASHTAG]#ChochondeMagufuli[/HASHTAG]
Naomba ombi hili limfikie raisi wetu Mh. John Pombe Magufuli.

Kesho Jumatatu Raisi wetu ataanza ziara ya siku mbili ya kiserekali nchini Kenya na atatembelea viwanda mbalimbali ikiwemo kiwanda cha Maziwa cha Brokies Diaries kinachomilikiwa na Familia ya Mzee Kenyatta.Hio sio ishu kwetu kabisa.
Kuna habari za kuaminika Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta ana maombi makuu mawili kwa Raisi Magufuli.

Ombi la Kwanza
Raisi Kenyatta atawasilisha ombi la kuungwa mknono na Tanzania ili waweze kupata uenyekiti wa Africa Union Commission ambapo mwanamama na Waziri wa mambonyq nje wa Kenya Bi Aminq Mohamed anapigiwa chapuo achukue nafasi hiyo.Watanzania hatuna shida na ombi hili na tuko pamoja na Raisi wetu akiamua kuunga mkono jambp hili.

Ombi la Pili
Inasemakana Raisi Uhuru Kenyatta ataomba Tanzania ifute sheria zinazowataka raia wa kenya kuwa na vibali vya kufanya kazi hapa nchini yaani work permits.Hapa ndio kuna shida ikumbukwe tumekua na tatizo la wakenya kuja hapa nchini kuchukua fursa ambazo mungu aliwaumbia watanzania sasa kama Raisi Magufuli ataingia kwenye mtego huo basi sina shaka soko la ajira litavamiwa na wakenya ambao kila siku mate ya yanawatoka na ajira zetu.Najua raisi wetu wewe ni mtu wa kufanya maamuzi ya hapo kwa hapo ila kwa hili naomba usiingie kwenye mtego wa Uhuru Kenyatta.
Watanzania wenzangu naomba tupaze sauti na kuhakikishia ujumbe huu unamfikia Raisi wetu haraka iwezekenavyo tusambaze ujumbe huu whats app,twitter,facebook kila kona jamani.

[HASHTAG]#ChochondeMagufuli[/HASHTAG]


Kweli itakuwa jambo la kushangaza kama atawaruhusu Wakenya waje Tanzania kufanya kazi maanake wana competitive advantage over most Tanzanian and most Tanzanian would be unemployed here for sure. JAMANI KAMA TU HAWATAKI WATANZANIA WALIO NA RAIA NYINGINE WASIHODHI ARDHI ITAKUWA JAMANI TENA WAKENYA WAJE JUFANYA KAZI PILA VIBARI KWA VIPI TENA.
 
Back
Top Bottom