Wakenya wanavyochati

Wakenya wanavyochati

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
FB_IMG_1620465798838.jpg
 
Nakushauri fungua website. Watu kadri tutakavyokuja kusoma habari unatengeneza pesa au akaunti ya Youtube uwe unapost hivi vitu upige pesa.

Naona una kipaji cha kuanzisha mada on standby. Unaua kipaji chako as humu watu watakuambia umenoa au kukusimanga na hulipwi wakati kwenye web yako au youtube kikubwa mtu kaingia na kasoma atukane asitukane wewe unalipwa.
 
Hao wanamgogoro wao wanagombania Bahari
 
Japo Kenya ni nchi ya mabepari ila hizo comment zako nne hazitoshi kusema "wakenya" wanavyochati.
 
Nakushauri fungua website. Watu kadri tutakavyokuja kusoma habari unatengeneza pesa au akaunti ya Youtube uwe unapost hivi vitu upige pesa.

Naona una kipaji cha kuanzisha mada on standby. Unaua kipaji chako as humu watu watakuambia umenoa au kukusimanga na hulipwi wakati kwenye web yako au youtube kikubwa mtu kaingia na kasoma atukane asitukane wewe unalipwa.

Mkuu,, youtube wanakulipaje? Waweza nielimisha kama hutojari!
 
Mkuu,, youtube wanakulipaje? Waweza nielimisha kama hutojari!
Unakuan akaunti ya youtube na akaunti ya adsense.

Unaiunganisha akaunti yako ya youtube na ya adsense.

Kisha akaunti yako inakua inawekwa matangazo na google na kadri viewers wanapoongezeka ndivyo unaingiziwa pesa.

Ni stori ndefu na ina masharti na vigezo. Kwa uelewa mpana wa viewers wa wapi watakupa pesa nyingi, lugha, mada na taratibu za kufuata cheki na google.
 
Unakuan akaunti ya youtube na akaunti ya adsense.

Unaiunganisha akaunti yako ya youtube na ya adsense.

Kisha akaunti yako inakua inawekwa matangazo na google na kadri viewers wanapoongezeka ndivyo unaingiziwa pesa.

Ni stori ndefu na ina masharti na vigezo. Kwa uelewa mpana wa viewers wa wapi watakupa pesa nyingi, lugha, mada na taratibu za kufuata cheki na google.

Asante mkuu. Mungu akubariki
 
Back
Top Bottom