Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Hiyo inaeleweka ni kwanini, hata Mimi ningekua Mkenya nisingetamani kuishi Kenya.Kwa mujibu wa tafiti wa shirika linalojitegemea la nchini Switzerland, Nchi zinazoonekana hapo chini ndio ambazo raia wake kama wangekuwa na uwezo (If circumstances were right) wangehamia nchi nyingine.
View attachment 1114406View attachment 1114406
Tafiti ilifanywa katika nchi 30 za Afrika, Kenya ikionekana kuongoza kwa Afrika Mashariki.
Hivi mleta mada kati ya 54% ya wakenya na 43% ya watanzania ni idadi ipi ya watu ndio kubwa zaidi? Alafu kumbuka kwamba diaspora ya Kenya(sio hao wa kutamani, wale ambao tayari wapo nje ya nchi) ndio wanaongoza ukanda huu kwa kutuma hela na kuwekeza nyumbani .
Ahhahhahahahahhhhhahhahahahaahahhhahahhhahhahahahahhhhahhhahhhahhahahhahahaa kaka kwanini wanena hivyoHiyo inaeleweka ni kwanini, hata Mimi ningekua Mkenya nisingetamani kuishi Kenya.
Uchumi mkubwa wenyewe wa south sio wa watu weusi ni wa boers ni yaleyale.Hapo Mdanganyika umeanguka kabisa, Itakuwa sahihi kusema kuwa pia Wasauzi pia hawapendi kwao au vile vile waGhana na ikumbukwe nvhi za kwanza Tatu ni mojawapo was zile ziko na uchumi mkubwa Sub Saharan Africa. Za mwisho kwenye orodha hiyo ni LDC ila Kama kawaida Tz inavuta mkia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiiiii never Tz iitaman nchi dhaifu km kenya mmh huko ni kuropokaNa ikumbukwe Watanzania wengi humu Kenya ni omba omba. Wanatamani Sana Kenya Kama vile fisi anavyo mwagia mate mnofu.
Hapo Mdanganyika umeanguka kabisa, Itakuwa sahihi kusema kuwa pia Wasauzi pia hawapendi kwao au vile vile waGhana na ikumbukwe nvhi za kwanza Tatu ni mojawapo was zile ziko na uchumi mkubwa Sub Saharan Africa. Za mwisho kwenye orodha hiyo ni LDC ila Kama kawaida Tz inavuta mkia 😂😂😂😂
Sema wanabiashara wengi wazawa wanatoroka ufisadi kenya. Hata Tajiri wa nigeria Dangote alisema kenya haguzi hata kwa mti wa futi kumiHivi mleta mada kati ya 54% ya wakenya na 43% ya watanzania ni idadi ipi ya watu ndio kubwa zaidi? Alafu kumbuka kwamba diaspora ya Kenya(sio hao wa kutamani, wale ambao tayari wapo nje ya nchi) ndio wanaongoza ukanda huu kwa kutuma hela na kuwekeza nyumbani .
Nimewauliza swali rahisi. Kulingana na hizo takwimu hapo juu, kati ya 54% ya wakenya na 43% ya watanzania ni idadi ipi ya watu ndio kubwa zaidi???Sema wanabiashara wengi wazawa wanatoroka ufisadi kenya. Hata Tajiri wa nigeria Dangote alisema kenya haguzi hata kwa mti wa futi kumi
Ahaaa haaa haaa
Anzisha Uzi wa diaspora tutakuja kuchangia.
lkn sasa tunajaribu kuangalia watu ambao wanatoroka kwao na kwenda kuzamia nchi zingine.
Ambayo pia ni dalili za failed states.
Nimewauliza swali rahisi. Kulingana na hizo takwimu hapo juu, kati ya 54% ya wakenya na 43% ya watanzania ni idadi ipi ya watu ndio kubwa zaidi???
0.54× 47000000=25380000Kwa mujibu wa tafiti wa shirika linalojitegemea la nchini Switzerland, Nchi zinazoonekana hapo chini ndio ambazo raia wake kama wangekuwa na uwezo (If circumstances were right) wangehamia nchi nyingine.
View attachment 1114406View attachment 1114406
Tafiti ilifanywa katika nchi 30 za Afrika, Kenya ikionekana kuongoza kwa Afrika Mashariki.
Umeambiwa ukweli mtupu! Sasa hivi county za Kajiado, Narok, Machakos na Nairobi kumefurika na omba omba kutoka Tz hadi kwenye miji midogo midogo. Alafu wanasaidiwa kuomba na watz wenzao ambao sio walemavu. Alafu mwaka huu wachuuzi kutoka Tanzania nao wameingia nchini Kenya kwa wingi. Wanakatiza na kuzunguka kote kote wakiuza bidhaa kama nguo na soksi. Kule Gikomba, Nairobi soko kubwa la nguo ukanda huu wote lugha utakayoisikia ni kichagga. Alafu wote wanaishi Kenya kwa amani bila tashwishi. Ukitaka kutoamini ninachosema ni sawa pia.Aiiiii never Tz iitaman nchi dhaifu km kenya mmh huko ni kuropoka
Na ikumbukwe Watanzania wengi humu Kenya ni omba omba. Wanatamani Sana Kenya Kama vile fisi anavyo mwagia mate mnofu.
We use % to compare 2 different population figures. Rudi shule bratheNimewauliza swali rahisi. Kulingana na hizo takwimu hapo juu, kati ya 54% ya wakenya na 43% ya watanzania ni idadi ipi ya watu ndio kubwa zaidi???
Hahahahaha, kichwa yako ni mbovu sana, hujui hata matumizi ya % . Maana yake ni kwamba, zaidi ya nusu ya wakenya wanataka kukimbia nchi yao, ikitokea hiyo nafasi ujue zaidi ya nusu(Wewe pia ukiwemo), watatoroka nchi.Nimewauliza swali rahisi. Kulingana na hizo takwimu hapo juu, kati ya 54% ya wakenya na 43% ya watanzania ni idadi ipi ya watu ndio kubwa zaidi???
Kwani nimebisha? Swali langu lilikuwa rahisi sana, jibu ndio hili hapa chini.We use % to compare 2 different population figures. Rudi shule brathe
Naaam! Thanks Jane kwa kuwaelewesha hawa vibwengo and hi, long time.0.54× 47000000=25380000
0.43× 60000000=25800000
#jingatype
Kwa hiyo ambao wameweka hiyo in relative term ni wajinga?
Jibu hili hapa, soma comments za wenzako hapo chiniKwani nimebisha? Swali langu lilikuwa rahisi sana, jibu ndio hili hapa chini.
Naaam! Thanks Jane kwa kuwaelewesha hawa vibwengo and hi, long time.