Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Kwa mujibu wa tafiti wa shirika linalojitegemea la nchini Switzerland, Nchi zinazoonekana hapo chini ndio ambazo raia wake kama wangekuwa na uwezo (If circumstances were right) wangehamia nchi nyingine.
Tafiti ilifanywa katika nchi 30 za Afrika, Kenya ikionekana kuongoza kwa Afrika Mashariki.
Tafiti ilifanywa katika nchi 30 za Afrika, Kenya ikionekana kuongoza kwa Afrika Mashariki.