Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,128
Acha miraa budaboss, unaisha mdo mdoKwani nimebisha? Swali langu lilikuwa rahisi sana, jibu ndio hili hapa chini.
Naaam! Thanks Jane kwa kuwaelewesha hawa vibwengo and hi, long time.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha miraa budaboss, unaisha mdo mdoKwani nimebisha? Swali langu lilikuwa rahisi sana, jibu ndio hili hapa chini.
Naaam! Thanks Jane kwa kuwaelewesha hawa vibwengo and hi, long time.
Sina muda wa kutumia mirungi, pombe wala bange. Nilipambana nazo of and on campus nilipokuwa pale UON. I am a teetotaler now, sober than the pope. I only have time for the legacy I intend to leave my nigga, for the wonderful mouths I feed.Acha miraa budaboss, unaisha mdo mdo
Ukijua maana % hutakuwa na haja ya kujua idadi zao hata kama kenya wangekuwa na population ya watu 2 na Tz wako 100 bado kenya ingeonekana inaongoza labda kama ulisoma History, English na Civics tu hukugusa hata BAM. Labda tungejadiliNimewauliza swali rahisi. Kulingana na hizo takwimu hapo juu, kati ya 54% ya wakenya na 43% ya watanzania ni idadi ipi ya watu ndio kubwa zaidi???
Umeambiwa ukweli mtupu! Sasa hivi county za Kajiado, Narok, Machakos na Nairobi kumefurika na omba omba kutoka Tz hadi kwenye miji midogo midogo. Alafu wanasaidiwa kuomba na watz wenzao ambao sio walemavu. Alafu mwaka huu wachuuzi kutoka Tanzania nao wameingia nchini Kenya kwa wingi. Wanakatiza na kuzunguka kote kote wakiuza bidhaa kama nguo na soksi. Kule Gikomba, Nairobi soko kubwa la nguo ukanda huu wote lugha utakayoisikia ni kichagga. Alafu wote wanaishi Kenya kwa amani bila tashwishi. Ukitaka kutoamini ninachosema ni sawa pia.
Mtanzania atatoroka kwao aende wapi?
With their illiteracy, medieval practices and their beliefs, they fear to face the outside world .
Hata megafuli anaogopa kutoka nje ya nchi .Atazungumza aje?language Barrier:'-:
Ungekuwa mtu makini aliye na uelewa ungeanza kwa kuchambua kichwa cha mada ambacho ni cha kimagumashi. Ametaja kwamba Kenya inaongoza, ila hakumalizia. Kwa asilimia au kwa wingi wa idadi? Kisha taarifa inaanza kwa kusema wazi kwamba ni wingi kwa %. % ni moja kati ya vipimo vingi kwenye takwimu kama hizi na kila % ni reflection ya absolute number. Au unadhani walipataje hiyo %? Kwa kuhesabu idadi kwanza kisha wakafanya mahesabu wakitumia, actual no/total x100(hesabu za darasa la pili). NB: Kenya hatutumii mfumo wa O levels. Kwahivyo hayo mambo ya History, English, Civics na BAM yaachie hapo tu.Ukijua maana % hutakuwa na haja ya kujua idadi zao hata kama kenya wangekuwa na population ya watu 2 na Tz wako 100 bado kenya ingeonekana inaongoza labda kama ulisoma History, English na Civics tu hukugusa hata BAM. Labda tungejadili
1. Sababu ni nini
2. Utafiti ulizingatia nini
3. Sample ilichukuliwaje
Lakini unalouliza ni bure kabisa
Hujaacha kutukana watu wewe?Mh hujaongea kitu kwan madaktar bingwa waliokua wakifanya kaz ulaya na kurudishwa huku na kikwete kuja kufanya kaz ktk institute ya cardiac ya Muhimbili wakikuyu wale we kweli huna akli
Hata kingeripotiwa kivipi bado figure ndio inaelezea kuwa Kenya inayo figure kubwa. Kama unaupinga utafiti bora ungetumia hoja nilizokupatia au uje na utafiti wakoUngekuwa mtu makini aliye na uelewa ungeanza kwa kuchambua kichwa cha mada ambacho ni cha kimagumashi. Ametaja kwamba Kenya inaongoza, ila hakumalizia. Kwa asilimia au kwa wingi wa idadi? Kisha taarifa inaanza kwa kusema wazi kwamba ni wingi kwa %. % ni moja kati ya vipimo vingi kwenye takwimu kama hizi na kila % ni reflection ya absolute number. Au unadhani walipataje hiyo %? Kwa kuhesabu idadi kwanza kisha wakafanya mahesabu wakitumia, actual no/total x100(hesabu za darasa la pili). NB: Kenya hatutumii mfumo wa O levels. Kwahivyo hayo mambo ya History, English, Civics na BAM yaachie hapo tu.
We vipi? Nionyeshe ni wapi hapo niliposema kwamba nimepinga utafiti huu. Tunaongoza kwa %, kwa mujibu wa utafiti huu, ila hamna afueni yeyote kwasababu mnaongoza kwa wingi wa watu. Thats whats up!Hata kingeripotiwa kivipi bado figure ndio inaelezea kuwa Kenya inayo figure kubwa. Kama unaupinga utafiti bora ungetumia hoja nilizokupatia au uje na utafiti wako
Kana umekiri. YaisheWe vipi? Nionyeshe ni wapi hapo niliposema kwamba nimepinga utafiti huu. Tunaongoza kwa %, kwa mujibu wa utafiti huu, ila hamna afueni yeyote kwasababu mnaongoza kwa wingi wa watu. Thats whats up!
WaBongo nchi za nje hamuwezi survive, the attitude i see the most educated here display, huko ulaya most of you would starve.We use % to compare 2 different population figures. Rudi shule brathe
Hahahahaha, kichwa yako ni mbovu sana, hujui hata matumizi ya % . Maana yake ni kwamba, zaidi ya nusu ya wakenya wanataka kukimbia nchi yao, ikitokea hiyo nafasi ujue zaidi ya nusu(Wewe pia ukiwemo), watatoroka nchi.
Kwa upande wa Tanzania, mambo ni " opposite ", kwamba chini ya nusu ya watanzania ndio wanaotaka kukimbia nchi, wengi wanataka kubaki Tanzania kuendelea kunyonya maziwa na asali.
Ninawashangaa hao 47% ya wakenya wanaopenda kuendelea kubaki Kenya, sio bure kwasababu 42% ya wakenya ni Kikuyu. Kama wewe sio mkikuyu Jubilee, huna sababu ya kubaki Kenya, hali ya Kenya ni hii;
Kwanini asiende kuomba India, Japan, Taiwan, South Korea, au hata Brazil ambako manpower is fat ahead of Kenya?. Hivi hujiulizi kwanini celebrities kama Madonna wanapenda kuja ku - adopt watoto huku Africa na isiwe bara zingine?, tena wakifika Africa wanakimbilia Malawi, sio Botswa au Tanzania?Waziri Mkuu wa Canada ameomba Wakenya millioni moja (one million/1,000,000) wa kuhamia Canada, wakati alipoitembelea nchi hii kwani Wakenya ni Wasomi na wachapakazi haswa! Lugha ya Biashara, English wameitawala vizuri.
Hivi mleta mada kati ya 54% ya wakenya na 43% ya watanzania ni idadi ipi ya watu ndio kubwa zaidi? Alafu kumbuka kwamba diaspora ya Kenya(sio hao wa kutamani, wale ambao tayari wapo nje ya nchi) ndio wanaongoza ukanda huu kwa kutuma hela na kuwekeza nyumbani .
Na ikumbukwe Watanzania wengi humu Kenya ni omba omba. Wanatamani Sana Kenya Kama vile fisi anavyo mwagia mate mnofu.
Eti tungejua, kwani unadhani watu hawajazuru nje ya bara hili kwenye misheni za kufukuzana na shilingi? Hiyo sasa ndio inaitwa focus. Wakenya wakituma hela na kuwekeza nyumbani ni kwa faida ya maisha yao ya baadaye na jamii zao. Uchumi pia unakua kwasababu ya hela wanazotuma. Sio unazamia ughaibuni kubeba box alafu unakula bata tu na kuuza unga kama wenzenu. Wakenya wana sifa ya uchapakazi na sio kwenye ngazi za chini pekee yake. Wakenya wanashikilia nafasi za juu kwenye kampuni kubwa, wanafunza kwenye vyuo vikuu, wengi wamejiajiri na wana biashara zao huko ughaibuni. Wakenya hawakulemazwa na sera za ajabu ajabu kama ujamaa.Hehehe. Mngejua hao Mnaowaita diaspora wanayopitia huko nchi za watu msingekenua kwa hizo Remittances, Unakuta hapo dada yako ni House Girl huko Saudia halafu baada ya mashida zote waarabu wanampa hako kamshahara kake maskini anakatuma kote Kenya halafu nchi nzima ya Kenya inashangilia,
Boss, hawa si ni omba omba kutoka Tz? Tena wanazidi kuongezeka kila uchao, hadi kwenye miji midogo kama Meru. Hivi majuzi wakazi wa Murang'a wameililia serikali ya gatuzi lao ifanye jambo kuhusu omba omba hao kutoka Tz. Halafu nyinyi na serikali yenu mlivyo watu ovyo mnafumbia macho huu uovu. Mlirogwa nini?Who will wish to stay in Kenya my Friend[emoji2][emoji2][emoji2]