Wakenya wapeleka malalamiko "UN" kuomba warudishiwe ardhi yao iliyopo mikononi mwa wazungu

Wakenya wapeleka malalamiko "UN" kuomba warudishiwe ardhi yao iliyopo mikononi mwa wazungu

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Hii ni baada ya kuona kwamba, serikali ya Kenya inawasaidia wazungu waendelee kuikalia ardhi yao kwa mabavu waliyoichukua kwa nguvu kipindi cha ukoloni.

Kwasasa hivi ardhi hiyo ndio inayotumika na wazungu kulima chai huko maeneo ya Kericho na kuwaingizia wazungu pesa nyingi, wakati wananchi walitupwa katika maeneo yasiyokuwa na rutuba, hivyo kusababisha kuishi ktk Lindi la umasikini mkubwa na kutegemea chakula cha msaada kila mwaka.
 
kiaina kitabia kwa muonekano wa maongezi yake anafanania DC mbabe wa Kilolo.
 
South Africa wameliona hili tatizo la wazungu wachache kumiliki ardhi kubwa hivyo wameamua kupitisha sheria ya kuwarudishia wananchi ardhi yao.

Kenya waliunda tume ya " Ndungu", ambayo ilipendekeza kwamba, kutengenezwe sheria itakayowezesha wananchi kurudishiwa ardhi yao, lakini serikali ya Kenya imekataa kupeleka huo mswada Bungeni kwa kuwaogopa wazungu na familia ya Kenyatta.
 
Waseme ukweli nani au familia gani inamiliki ardhi
Kama ni rutuba Mbona wanalima gomba?
Au gomba inastawi jangwani?
Kama mnataka ya Zimbabwe chomoeni betri tuone
 
Bora waache tu, wakirudishiwa wataifanyia nini? Angalau hata Muzungu anpanda maua na chai for export!
Tatizo hiyo chai na maua havina msaada wowote kwa nchi, zaidi ya kuonekana katika vitabu vya hesabu, lakini pesa yote inaingia katika benki za wazungu huko Ulaya na Marekani, serikali ya Kenya hata kodi haipati.
 
Hivi uchumi wa tanzania mnampango gani nao..manake naona wahindi tangu muwapokeze wanatamba nao tu
South Africa wameliona hili tatizo la wazungu wachache kumiliki ardhi kubwa hivyo wameamua kupitisha sheria ya kuwarudishia wananchi ardhi yao.

Kenya waliunda tume ya " Ndungu", ambayo ilipendekeza kwamba, kutengenezwe sheria itakayowezesha wananchi kurudishiwa ardhi yao, lakini serikali ya Kenya imekataa kupeleka huo mswada Bungeni kwa kuwaogopa wazungu na familia ya Kenyatta.
 
Wacha ku force ujinga wewe...
Tatizo hiyo chai na maua havina msaada wowote kwa nchi, zaidi ya kuonekana katika vitabu vya hesabu, lakini pesa yote inaingia katika benki za wazungu huko Ulaya na Marekani, serikali ya Kenya hata kodi haipati.
 
Heheee...economic inclusiveness "my foot"
Hku wahindi utajiri wao una shamiri kila kuchao..
Si mbaya pia km mmekubali kuliwa[emoji119]
Hahahaha, Tanzania inaongoza katika inclusiveness, Kenya ni nchi ya mwisho, Tanzania kila mwananchi anamiliki uchumi, sio kwenu huko Wakikuyu na wazungu pekee
 
Heheee...economic inclusiveness "my foot"
Hku wahindi utajiri wao una shamiri kila kuchao..
Si mbaya pia km mmekubali kuliwa[emoji119]
Sasa unabishana na dunia?, wewe lete tafiti ya kidunia inayoonyesha kwamba wahindi wanamiliki uchumi wa Tanzania. Kenya not yet Uhuru
 
Punguza jazba...enedeleeni kuwatajirisha tu hku mkiwaita wazawa wakati watu wenu hohehahe
Hao wahindi na waarabu biashara kubwa walionayo Tanzania ni import business like oil na viwanda, hakuna mtanzania asie na ardhi yenye rutuba, uchumi wa tanzania ni kilimo hasa kwenye nafaka, korosho, kahawa, pamba, tumbaku, chai nk na mashamba yote haya yanamilikiwa na watanzania, ukisikia Tanzania imeuza nje korosho 400k metric tonnes na kupata USD 800 millions jua hiyo pesa ni mtanzania kaingiza mfukoni

Sio Kenya kinara wa kuuza chai na maua na pesa almost yote ni Mzungu katia kibindoni, huo upumbavu Tanzania haupo na ndio maana GDP yenu kubwa lakini wananchi ni mafukara wa kutupwa, pesa yote inayozalishwa inachukuliwa na wageni.
 
Back
Top Bottom